Тёмный
No video :(

Mbunge wa Starehe 'Jaguar' akamatwa 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 227 тыс.
50% 1

Jaguar amekatwa katika majengo ya bunge kufuatia matamshi ya chuki dhidi ya raia wa kigeni wanaofanya biashara humu nchini
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 515   
@buharimwanga284
@buharimwanga284 5 лет назад
Mi ni mTz huyu mbunge muangalie akimaliza muda wake msimpe kura ataharibu uhusiano wetu wa kindugu baina ya nchi zetu,tunawakenya wengi sana tz habaguliwi mtu no matter they do we considered them as Tanzanian,tunawapenda sana.
@shambebro382
@shambebro382 5 лет назад
Good job Matiagi👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 may God protect Kenya from stupid empty headed Politicians....
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 лет назад
Amen
@godfreysolomon7615
@godfreysolomon7615 5 лет назад
Sure
@ayoubchacha9090
@ayoubchacha9090 5 лет назад
Sisi watanzania tunawapeda wakenya wrote, Hugo jaguar pumbavu sana
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 лет назад
Ayub huu uhusiano ni wa milele na hautatikiswa na watu vigeugeu
@icetruth
@icetruth 5 лет назад
He should resign, and continue singing, kigeugeu, leave us in peace with our neighbors, wewe jagua jagua love thy neighbor
@malkoashaali5430
@malkoashaali5430 5 лет назад
YES YES KENYA IS FREE OF ALL WELLCAME TO KENYA ANYONE WHO WHATS TO CAME KENYA IS PEACE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪☝️☝️☝️☝️✌✌✌✌
@amiinaishmail4788
@amiinaishmail4788 5 лет назад
How many Kenyans are out there working in different countries.........don't destroy our image out here ....
@alimonja1739
@alimonja1739 5 лет назад
YEESS good question !! even here zanzibar we have many kenya in our hotels but we lives together like sister and brother why he say that i think he is crazy
@bakariluhala7332
@bakariluhala7332 5 лет назад
Mahusiano ya Tanzania na Kenya ni makubwa kuliko huyo mpuuzi mmoja tu.
@siznic2156
@siznic2156 5 лет назад
Akili zake anazijua😂😂😂😂 sahii anajutia..
@dorischilla1627
@dorischilla1627 5 лет назад
Kwel kabisa yan
@hassanakida9226
@hassanakida9226 5 лет назад
Hana anachojua
@jaybajay9973
@jaybajay9973 5 лет назад
Hana alijualo huyu mpuzi
@silingasilinga7164
@silingasilinga7164 5 лет назад
Hamtu pendagi siku hizi mbona
@osodeswagg651
@osodeswagg651 5 лет назад
Sukuma ndani....km umekubali like.plz
@khadijahtumna2016
@khadijahtumna2016 5 лет назад
The comedy In Kenya is in high level!..... Ataachiliwa tu
@miriamotundo6479
@miriamotundo6479 5 лет назад
Kwani they needed a whole police unit to arrest one person? Kenya jamani....drama nayo 😂😂😂😂😂
@yusuphharuna1476
@yusuphharuna1476 5 лет назад
Bora mm mungu aliniachisha bangi na pombe sasa namtumikia
@saidahj2543
@saidahj2543 5 лет назад
Welldone heshima ifanye kazi..hawajui wakenya wangapi tuko nje ya nchi struggling to make life..wanadhani kila mtu anakulia kwa golden plate kama hao...kamata wote
@nestorycyprian4112
@nestorycyprian4112 5 лет назад
He learnt only being musician but he knows nothing about international relation policy , it is nestory from tz
@oyay2821
@oyay2821 5 лет назад
Watanzania Huwa wanatubagua Lakini kauli ya Jaguar ilikuwa mbaya kiasi
@kalulu44
@kalulu44 5 лет назад
Jaguar has a point. DIAMOND IS SELLING MORE RECORDS IN KENYA THAN HIM
@bintsaid9313
@bintsaid9313 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 5 лет назад
Huyo Mbunge BWEGE kweli...!!?? Tanzania wafanya biashara number moja Ni Wakenya . Hivi UBAGUZI mtaacha lini ndugu zetu.!!??
@africanchief3523
@africanchief3523 5 лет назад
Wanasiasa vigeugeu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 лет назад
MWANASIASA KIGEUGEU! Amesahau wimbo wake haraka sana! Such a let down;
@johnnzayiramya9339
@johnnzayiramya9339 5 лет назад
YEYE SASA AMEKUWA KIGEUGEU
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 лет назад
@@johnnzayiramya9339 Alikuwa na piont lakini matamshi yake ni Xenophobic. Angefikiria sana kabla ya kuongea, aibu kubwa!
@justelena4517
@justelena4517 5 лет назад
😂😂😂😂
@haweyaabdillahiadhan7621
@haweyaabdillahiadhan7621 5 лет назад
Hahaha lakini mimi si kigeugeu my dear
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 лет назад
@@haweyaabdillahiadhan7621 Lol, nimekuamini!
@vivianwanini5906
@vivianwanini5906 5 лет назад
Yes.. Kenya we love people, Kenya we are not like middle East ama South Africa... Kenya knows God.
@haweyaabdillahiadhan7621
@haweyaabdillahiadhan7621 5 лет назад
Oooh vivian jina nzuri dear
@hammerQ954
@hammerQ954 5 лет назад
Jaguar karibu sana zanzibar uje uone tunavyoishi na wakenya ni kama tumezaliwa tumbo moja . Kuwa makini sana na ulimi wako .... wakenya karibuni zanzibar 🙌🙌🙌🙌
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 5 лет назад
WE TANZANIANS WE HAVE MANY FRIENDS FROM KENYA, WE WERE VERY SAD TO HEAR THIS GUY SAYING THAT, AND WE BEGAN TO MISS OUR GOOD FRIENDS ACORDING HIS WORDS.WE THANK THE GOVERNMENT OF KENYA FOR WHAT HAS DONE.GOS IS GOOD! NOW AGAIN WE STILL HAVE OUR GOOD NEIGHBORS OF KENYA! WE WELCOME YOU TO OUR COUTRY AGAIN.THANK YOU!! GOD BLESS KENYATA! AND THE CITIZENS OF KENYA!!!
@blizzokassim6495
@blizzokassim6495 5 лет назад
Kenya we love u....na bora mlivyokanusha hyo kauli mana nadhani Wabongo mnatuelewa vizuri tutavuruga nchi yenu jumla jumla...Kama Alshababu tuu wanawashindwa msiitest Tz kumalamamake
@joankioko5203
@joankioko5203 5 лет назад
So many Kenyans work outside kenya what a statement is this?what if all other countries talk like him God grant wisdom to this leader's
@afropages2322
@afropages2322 5 лет назад
This guys will never have wisdom. For him to even conceive the idea!!!
@shadadiabdul6689
@shadadiabdul6689 5 лет назад
Huyo jamaa alikua amelewa.Ukiona Watanzania wako Kenya basi ujue kuna Wakenya wapo Tanzania. Tumemsamehe ajifunze kuheshimu uhai wa Binadamu na utu.
@clarionphilips2556
@clarionphilips2556 5 лет назад
Matiang'i you are our next president, kamata wakora wote! No peace for criminals like jaguar, funzo kwa politicians corrupt! Jaguar ni msanii sio minister, arudi kutunga nyimbo
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
Good job East Africsn community parliament for discussing this . Otherwise Serikali ya Kenya sidhani wange hangaika because ange shikwa mara tu baada yaku ropoka maneno yale. But hadi bunge la East Africa na Tanzania kuingilia kati ndio ana shikwa leo
@twalibbakari4338
@twalibbakari4338 5 лет назад
huyu Jaguar ni mjinga hajui sana sasa hivi watu wafikiria kufanya kazi na biashara kwa pamoja yy afikiria ugomvi
@stephenlankai5411
@stephenlankai5411 5 лет назад
Kazi nzuri sana , ...kukamatwa kwa m chochezi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 лет назад
Huyu Mbunge ni Jipu, hakuna maendeleo mkibaki wenyewe, ajifunze kutoka mataifa Makubwa yote yana wahamiaji, ninachoshukuru Serikali ya Kenya iko makini na wameshatoa tamko. Salam kutoka Dar es salaam
@djatm1319
@djatm1319 5 лет назад
Kukamata mwasiasa Kenya ni kama kutafutia kura juu ataachiliwa na aendewe na wafuasi wake....
@susankaburu140
@susankaburu140 5 лет назад
Hii ni business iko kenya atawachiliwa bail ya 250 atakosa kweli
@djatm1319
@djatm1319 5 лет назад
@@susankaburu140 sure
@consolataakwabi7321
@consolataakwabi7321 5 лет назад
Hahaa...alidhani yy ni nani...kamatwa kabisa.......anajuwa ni wakenya wangapi wako outs8de KENYA.....
@unclemusaa6188
@unclemusaa6188 5 лет назад
Shinda apo
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 лет назад
Hajui ,asituharibie sisi wenye tuko mbali coz atatusaidia.
@janetkerubo7643
@janetkerubo7643 5 лет назад
@@rachealimoli4653 aki
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 лет назад
Consolata Akwabi Hajui , anaamka tu na kuanza kuropoka , hajui atasababisha wakenya wangapi kupata shida nje ya kenya , anaangalia tumbo lake tu .
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 лет назад
Consolata Akwabi Atulie , ajifunze masuala ya kidiplomasia , shida na majirani si nzuri . Angeshauri serikali ya Kenya kukaa na serikali jirani kuangalia a best way kuhusu biashara za wananchi wao wakiwa nchi jirani .
@jumahili8121
@jumahili8121 5 лет назад
Mimi ni mtanzania. Nilikuwa mshabiki wa song za Jaguar. Kumbe ni pumbavu kabisa. Sisi siku zote tunashirikiana. Kuna wakenya wengi Tz. Benki ya KCB iko hapa, kuna viwanda, magari na biashara nyingi za wakenya. Lazma tujifunze kuvumiliana.
@deusgabri
@deusgabri 5 лет назад
Msingemkamata ningeshangaa sana.....huyu ni mbunge mjinga sana....WANANCHI WANATAKA EAST AFRICA yeye anachochea ubaguzi.....
@denyoshfitness4394
@denyoshfitness4394 5 лет назад
Team Jaguar
@nassibnassib4845
@nassibnassib4845 5 лет назад
Citizen.. Mgepiga ile ngoma yake ya Kigeugeu.
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 лет назад
Haki!
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 5 лет назад
Kitu kibaya ni kuwasema vibaya watanzania na waganda. Hajui kuna wakenya wengi wapo wanaishi Tanzania. Kuna wakenya wengi pia wapo Tanzania pia wakenya na watanzania wameoana sana.
@hassantnikweliameir1233
@hassantnikweliameir1233 5 лет назад
wakenya wamechukua ajira zetu katika sekta utalii hapa Zanzibar je huyu Jaguar anasemaje?
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 лет назад
Its where i get the dought, to choose youth speciffically to MARIJUANA SMOKERS,to hold heavy position!!!!shame on you JAGUAR!!!We are waiting to see you hr in TANZANIA!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿after all your foolish announce!!!!!!
@mgemawilliam4105
@mgemawilliam4105 5 лет назад
Kweli serikali ya Kenya mko vizuri, maana kama mngemuacha huyo mpuuzi akaendelea kupayukapayuka hovyo, angewaharibia mahusiano na nchi jirani hasa sisi ndugu zenu wakaribu na wakihistoria Tanzania. Tunawapenda sana Wakenya
@ben-kings8954
@ben-kings8954 5 лет назад
The government should be tight on this...we have to consider our kenyans in foreign countries
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 5 лет назад
Benjamin Nyangena come to Zanzibar to see the influx of Kenyans who sell their bodies to “Muzungu”
@kosalbai
@kosalbai 5 лет назад
Suleiman Abdallah umalaya sio geni duniani. It’s the oldest profession. Are there no Tanzanian or Zanzibari whores?
@jj7520
@jj7520 5 лет назад
@@SA-xj8hc Yani una andika matako/akuna Manufaktur inkine kwenu?weka eshima kidogo man!
@user-nw8lm1qb8u
@user-nw8lm1qb8u 5 лет назад
@@SA-xj8hc umetumaliza waaaaaaa
@phylliswanjiku7719
@phylliswanjiku7719 5 лет назад
we salute you honorable Moses kuria and Korir for speaking for the business men and women
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 лет назад
Wanjiku go to Tanzania & Kampala or even Juba & find out who is selling newspapers if not Kamau or Njuguna wake up
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 лет назад
I can see team tangatanga hand in this.The fools being used don't know that after the completion of expelling foreigners their paymaster may well use the same medicine against their folks.2007/8 is again a likelihood !
@kassimjuma8713
@kassimjuma8713 5 лет назад
Mimi ni mtz. lakini nafanya kazi na wakenya hapa tz. na ninawapenda maana wanajituma xana na wako na bidii ktk kazi
@eunicemutinda2484
@eunicemutinda2484 5 лет назад
Hapo sasa
@susankaburu140
@susankaburu140 5 лет назад
tupendane dunia nikusongeana
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 лет назад
Sure
@maureenbisieri6776
@maureenbisieri6776 5 лет назад
Kashim kweli kabisa👍👍👍
@sylvestermatinde7527
@sylvestermatinde7527 5 лет назад
We are here 4revalution,si fitina wote east Africa why jaguar aanze bifu za kisenge na ye juzi tu hapa ndio kapata ubunge, aache nyodo mbio zake zitaishia ukingoni.
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 5 лет назад
Jaguar amesahau kuwa yeye Kazi yake kubwa ni music, ubunge unapita. Atafanyeje music wake kwenye nchi zingine kama mbaguzi hivyo? Kachemka sana huyo mbwa
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 лет назад
Amejikaanga
@trendingupdatechannel7757
@trendingupdatechannel7757 5 лет назад
Just love my country
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Yule Ambassador wa China hapa Kenya hivi majuzi alizunghumza vizuri na kutengheneza uhusiano kati ya nchi mbhili so kwani huyu Jaguar angheminghilia huyu Ambassador pia?
@njengakamau1058
@njengakamau1058 5 лет назад
Acha iwe funzo kwa wengine wote....uhusiano wa Kenya na Tanzania ni mkubwa kuliko jaguar
@reubenfavour
@reubenfavour 5 лет назад
That Was A Reckless Statement From JAGUAH..... KWENDA KABISA
@unclemusaa6188
@unclemusaa6188 5 лет назад
Wewe ndio utakwenda
@Ita_Martin
@Ita_Martin 5 лет назад
Kenya hatuna chuki na Watanzania...karibuni...matamshi ya Jaguar hayaambatani na msimamo wa wakenya..🇰🇪
@isayajilala1645
@isayajilala1645 5 лет назад
Martin K. yameisha joh hata sisi tz hatuna noma na nyie
@johnmohblaxta
@johnmohblaxta 5 лет назад
hope pia Tz watatukaribisha vile unawakaribisha huku
@imaniseverini1538
@imaniseverini1538 5 лет назад
Me mtanzania .. Hatujui tumemfanyia nini huyo mbunge
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Sio wote watu wa nje ni wabaya kuna wenghine wanatakia Kenya mafanikiyo na mtu kama huyu Jaguar ni adui wa uhusiano zakuleta maendeleo katika inchi wacha akakule sembhe ya bure
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 лет назад
Wanasiasa vigegeu! kawa kigeugeu mwenyewe, hivi tukimuweka Diamond bungeni yatakuwa haya haya? maana huyu alikuwa mwanamuziki kama Diamond!
@mayamayasa4447
@mayamayasa4447 5 лет назад
Why are you humiliating a Kenyan for talking for his citizens? What are MPs for? To represent us. Which country have you ever heard of jailing its citizens for speaking against illegal immigrants? Kenya is the first one to be against its Citizens to support immigrants. This is foolish! Release Jaguar!
@Prisca.W
@Prisca.W 5 лет назад
"Anafululizwa sijui anapelekwa wapi"😂😂😂😂😂
@abdyaly2413
@abdyaly2413 5 лет назад
Matiangi ameifanya kazi nzuri.. Manake huyu jaguar anatuebisha sana, chuki si kitu kizuri, maneno zake za jana zilikua na ujinga mengi..
@davisamark8515
@davisamark8515 5 лет назад
Anaharibu siasa za kenya na mahusiano ya nchi rafiki na kenya
@joyann985
@joyann985 5 лет назад
Let me look where Hon. Babu Owini is🙌🙌💃💃💃
@tutasorthiostory
@tutasorthiostory 5 лет назад
He’s working for his people , check him out !
@shabanborondi6526
@shabanborondi6526 5 лет назад
Amewaongelia wa TZ tu?...mbona kuna wakenya kibao wanafanya biashara hapa Bongo...huyo jamaa was just having a bad day he didn't mean what he said
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
MUSI PUMNAZE WATU AKILI WASIO KUWA NA PESA NDIO HUKAMATWA NA WAOZEE JELA WENYE HELA NI KUTUFUNGA MACHO TU JU ATATOKA HAKUNA KITU HAPO
@bonnybonny8337
@bonnybonny8337 5 лет назад
How about Kenyans who get harassed by Tanzanian authorities everyday? What is Uhuru's PR govt doing about that?
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 лет назад
Jaguar's remarks are Xenophobic but I remember Tanzania burnt our live chiks and took cattle yet it wasn't such a big deal to them.
@wizydeko1496
@wizydeko1496 5 лет назад
Niko na rafiki yangu kutoka Kenya tuncheka tu ili boya linavyokamatwa pumbafuu
@zachgodfst7421
@zachgodfst7421 5 лет назад
Payukeni 2,,,,,,,,,, kuku zetu ?? Cow zetu??? 🏃‍♂🏃‍♀🏃‍♂🏃‍♂🏃‍♀ ......🏋‍♂🏋‍♀🏹🏹
@margaret8940
@margaret8940 5 лет назад
Ebu watuambie. Wamejaa hapa wanapayuka payuka. Mbona hawakupayuka wakati kuku na ngombe zetu ziliangamizwa. Kenyans wamechoka na wameamua.
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 5 лет назад
Waliingia illegally bila kufwata utaratibu wa boarders
@sylvestermatinde7527
@sylvestermatinde7527 5 лет назад
Acheni fitina nchi haijengeki bila wageni,Tz wanalisha Kenya kW njia nyingi,kazi nzuri kwa waziri Wa ulinzi ,Sikh zote mkikuyu ana fitina ya kijinga bila kujua kidole kimoja hakivunji njawa.
@stonecold4630
@stonecold4630 5 лет назад
Sylvester Matinde .acha ukabila mkikuyu anatokezea wapi? Kwani nyinyi wa bongo pia mumeambukizwa ugonjwa wa ukabila na chuki dhidi ya wakikuyu? Jua wakikuyu ni wateule
@mrope348
@mrope348 5 лет назад
@@stonecold4630 mna uteule gani nyie chuki na choyo zimewajaa tele
@mercypedha5519
@mercypedha5519 5 лет назад
I hope hii ni ukweli na anepekekwa Polisi na Sio kwa Hoteli kufumba watu Macho😏 wapi Matiang'i he need ku pinch mapua ya Jaguar
@jayramadhan4584
@jayramadhan4584 5 лет назад
Kumtioa bunge haiwezekani cz ame changuliwa na wanchi sio serekali.
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 лет назад
@@jayramadhan4584 😅😅😅
@hajiismaily3401
@hajiismaily3401 5 лет назад
Acha akamatwe mahusiano yetu yalikuwa tangia zama hizo yeyeniwajuzi tu
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 лет назад
True
@geoffreywaiyakimugure3816
@geoffreywaiyakimugure3816 5 лет назад
tanzania ni wanyonyaji
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 лет назад
Usha wait nyonywa au nikuropokwa tu
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 лет назад
Usha wahi nyonywa au nikuropokwa tu
@maremidundo6997
@maremidundo6997 5 лет назад
@@geoffreywaiyakimugure3816 acha wakunyonye rabda ukona mazima mingi😠😠😠😠😠
@shirowdestinys5775
@shirowdestinys5775 5 лет назад
Hapo sawa
@wisdomband8677
@wisdomband8677 5 лет назад
Dah tz tupo vizuri Kenya siji tena
@janenana9579
@janenana9579 5 лет назад
Hiyo ni kufungwa macho kwa raia maskini, Ole wenu amepelekwa 5 Star Hotel.Sisi raia wanyonge jela imejengewa wanyonge. 5 Star PAP.
@alvismumkaranja3360
@alvismumkaranja3360 5 лет назад
Basi na sisi tutafukuzwa kwao
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 5 лет назад
Great job Fred Matiang'i. We are proud of you. These empty headed politicians should face the music
@evalenad6256
@evalenad6256 5 лет назад
Safi sana safi sanaaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾akafungiwe mbali huko
@lucassalvatory7251
@lucassalvatory7251 5 лет назад
Unaleta ujinga kwa kuwasema watanzania hovyo afu ubaki salama ??? Nice Matiang
@ednacharles524
@ednacharles524 5 лет назад
alifanya vibaya Sana, kusema watawafukuza na wachape hao wachina, lakini jaquar anafaa ajue pia kuna wakenya wengi wako inje ya nchi na tuko free sana
@peterirungu2904
@peterirungu2904 5 лет назад
Weh kwenda you don't know what you're saying,.tembea middle east ujione who kenya treaded
@reginakaloki6590
@reginakaloki6590 5 лет назад
The singer kigeugeu. Ndani sasa may be he never knew about kigeugeu
@Josethekenyan
@Josethekenyan 5 лет назад
release jaguar
@sheegitonga8836
@sheegitonga8836 5 лет назад
Waaah.... cogratulation acha alale ndani....kwani Kuna Nini....Hawa wamechizikah hawana adabu
@starlight_channel
@starlight_channel 5 лет назад
Tukipiga Tz kesho kwa Afcon watanzania wako kenya warudi kwao,wakitushinda tuitishe marathon, wakitushinda tuitishe collabo ya OG na Simba,wakitushinda tuitishe magufuli 🔒tuwafungie huku Kenya.
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 лет назад
Hahhahaha huyu mlevi wenu jagua mwambieni akome tukilianzisha huku mtatafutana ako magu hataki utani na raiya wake
@jj7520
@jj7520 5 лет назад
Heee 😂😂😂😂waaa kenya 😎
@mbarukgude5335
@mbarukgude5335 5 лет назад
Stupid politician, mbona huyu mtu ni falaa wa ina gani? Hajui kwani wakenya wangapi wako worldwide wafanya maendeleo ya kenya huyu akiwachwa asijaribu kuibisha kenya ..akifanya hivyo alivyo sema basi abiria tutamfunzaa adabu mjinga
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 лет назад
Utashangaa Kenya ikinyolewa bila wembe
@starlight_channel
@starlight_channel 5 лет назад
@@sospeteranyango6274 🤣🤣🤣🤣🤣
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 5 лет назад
tz Kenya mbona ni ndugu
@nimky1422
@nimky1422 5 лет назад
Enyewe vle Aliongea sio poa lakini Kenyans we must wake up and protect our small business men and women
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 лет назад
Protect what has any of them hindered u 4m putting up your mahindi choma jiko.Hawa watu wanajituma.Wao sio serikali saidia.
@francisjkidua8303
@francisjkidua8303 5 лет назад
Well done
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 5 лет назад
Jaguar, kigeu geu! "anatugeukia"
@mumblessed001
@mumblessed001 5 лет назад
Jaguar umefudishwa kuongea matope na kina kuria acheni za ovyo hio ckazi yako mehemehe majirani wetu wameishi kufanya biashara na pia wakenya hufanya biashara Tz acheni upuzi mumekula mkajza matumbo sasa mtukosanishe na majirani bure kabisa
@jerryomish4581
@jerryomish4581 5 лет назад
Huyu aende aozee kamiti . How many jobs has he offered to the youths
@madamcolethaa641
@madamcolethaa641 5 лет назад
Huyo anampango wakuvuruga amani yawakenya mkemeeni hafai ikibidi na Ubunge avuliwe hanasifa yauongozi
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. 5 лет назад
Sukuma ndani huyu NGURUWE
@peterolal249
@peterolal249 5 лет назад
Vijana ambao wameingia bunge wakijifikiria na kujijaza na chuki isiyifaa. Let him face the law and be answerable to his words. Am just requesting top leaders to keep off from this.
@rehemadani3600
@rehemadani3600 5 лет назад
Mimi naomba anyongwe nikama muuaji vile, kinachomchanganya nimbunge mfanya biashara ndiyo Maana anakulupuka kuzungumza
@lilamhanzi1929
@lilamhanzi1929 5 лет назад
Use the link to get the app for "free top up"
@magesatv9659
@magesatv9659 5 лет назад
Kumbe wakenya ndo mlivyo sisi tunaishi na ndugu zenu Kama ndugu zetu nyinyi mnawatenga ndugu zetu najua jaguar atakuwa amefikisha kilio Cha wakenya walio wengi ila Nini fresh toka tanzania
@timelessbeauty5677
@timelessbeauty5677 5 лет назад
Juzi tu mwanamke alikuwa analia jinai ambavyo jagua amemu abandon na watoi ...we asked him to pray God to take over from her ...now look at machozi ya mwanamke what it does, this is the beginning....
@kamaumuritu4713
@kamaumuritu4713 5 лет назад
Make kenya great again.
@oduorevans3493
@oduorevans3493 5 лет назад
Mad leader
@johnnzayiramya9339
@johnnzayiramya9339 5 лет назад
JAGUAR AMEGUKA KIGEUGEU HHHHH SHAME ON HIM
@akibarahamadi5058
@akibarahamadi5058 5 лет назад
mbunge rofa sana uyo ajuwi chenye anafany
@adhiambonyasuna4043
@adhiambonyasuna4043 5 лет назад
Jaguar is not apolitician,akuje polepole,ama aende aimbe.these young Kenyan politicians are giving us headache.kupayuka
@joethige
@joethige 5 лет назад
No one is above the law. Let him pay for his sins
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 5 лет назад
Huyu Jaguar nimemchukia kuanzia leo kasahau kama yy alikuja sana Tanzania enzi zile anaimba na kasahau kuwa kuna wakenya wengi tu na tunawajua wako Tanzania pia???? Huyu mbunge mavi mchochezi na kichwa chake kama pumbu... Kenya na Tanzania ni majirani wema atuache....
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 5 лет назад
What a shame mzungu na mchina Mnawasujudia ijapokuwa wengi wao wanaharibu Afrika yetu kwa namna moja ama nyingine, alafu ikija kwa waafrika wenzako unaleta fitina na chuki, We cant wait to see Africans unite and be brothers and sisters lakini kwa ajili ya watu Kama nyie tunafeli kabisa, wenzetu huko Ulaya hawana boda wala chuki wanafanya kazi bega kwa bega ili kuona Ulaya yao inaendelea. Ndio maana wanasema black people with black mentalt shame on you again
@shedrackboniphace7755
@shedrackboniphace7755 5 лет назад
Kwan jaguar ni binadam au mnyama,atajua hajui
@limolimo4701
@limolimo4701 5 лет назад
mkiwapiga wabongo huko kenya mimi naanza naanza na huyu mpangaji wangu ningumi 2
@dyddadizzo
@dyddadizzo 5 лет назад
Hiyo ni nyumba ya Wazito👊.akae huko😂✋
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 лет назад
wakati mataifa makubwa wakiungana kumpiga mnyonge mataifa fukara wanabaguana waafrika tunanongwa kweli kweli
@franga7870
@franga7870 5 лет назад
Sasa mtu mmoja amekuwa taifa?duh!
@eliudijastini8372
@eliudijastini8372 5 лет назад
Kalewa uyoo bwege maisha hayaendi ivoo na watu hawaishi ivoo
Далее
Vijana waliokuwa wahalifu Mombasa wabadili maisha
2:36
Yana bir yangi qo'shiq YORAM BIYO | Yaqin kunlarda
00:57
Waandamanaji wenye ghadhabu waliingia ndani ya Bunge
2:18
WAJINGA NYINYI  |  KAMENE AND KIBE
21:55
Просмотров 64 тыс.