Тёмный

Vijana waliokuwa wahalifu Mombasa wabadili maisha 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 122 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 105   
@halimaramadan6406
@halimaramadan6406 5 лет назад
Alhamdhulillah Allah awaongoze Kaka zetu wote in shaa Allah
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
اميم
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 5 лет назад
Ameen rabbilalamiin
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 5 лет назад
Amiin Amiin
@azizmasudi4394
@azizmasudi4394 3 года назад
Ameen yarabby
@magynzioka1122
@magynzioka1122 5 лет назад
Hongera vinjana MUNGU ata bariki kazi ta mikono yenu
@aisharajab5918
@aisharajab5918 5 лет назад
Thank you JESUS CHRIST. .hakuna jambo ngumu Kwako. .twashukur Mungu Kwa ajiri ya watoto wetu
@Nassirmustafa5630
@Nassirmustafa5630 Год назад
@alihamdhulilah kwa kweli
@thescouser9165
@thescouser9165 5 лет назад
Ni kuchapa kazi tu sahii hamna mambo mengine wana💯 Mungu wa kwetu sote kaka zangu🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Allah aibariki kazi ya mikono yetu,Ameen🤲🏼🤲🏼🤲🏼
@jahbless4063
@jahbless4063 5 лет назад
Hawa wote tumeinukia pamoja alhamdulilah wamebadlisha maisha yao
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 лет назад
Alhamdullillah mwenyeezi mungu awaongoze njia sahihi inshaallah 🙏🙏🙏
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 5 лет назад
🤲🤲
@rukiamatano7764
@rukiamatano7764 4 года назад
MASHA ALLAH,Allah awafungulie riziki za kheri kaka zetu na wengine pia wafate mkondo huu huu kama kule likoni pia twawaombea kwa Allah nao wabadilike inshaallah...Yani nimefurai sana kwa kuwajali vijana wetu,Mungu awabariki sana
@shamimhassan590
@shamimhassan590 5 лет назад
ma sha Allah.... Allah azidi kuwaongoza such nice boys big up my brothers😘😘😘
@abdihakiinmahamuud5662
@abdihakiinmahamuud5662 5 лет назад
Allahu akbar. Twende kazi vijana Kula jasho na halali
@taufiqalmarojo2054
@taufiqalmarojo2054 5 лет назад
Nikweli mashallah hawa vijana wamebadilika kweli Alhamdhulilah. Mungu awajalie kila LA kheri .
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Thank God na kazi nzuri kuwapa nafasi hi ya uvuvi badala yakuwafungha gerezani manake kuwafungha inawafanya wanazidi kukuwa sugu
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Poa
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Poa
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Poa
@bimakamohd4432
@bimakamohd4432 5 лет назад
Alhamdulillah Allah awafungulie kila LA kheri
@mummysweet2886
@mummysweet2886 5 лет назад
Thank God, thank almighty brothers have changed. God bless them with daily bread, waiting to see more change.
@mariabahati1264
@mariabahati1264 5 лет назад
Mashalaah mwenye ezi mungu awazidishie inshaalaah
@ahmednaaman9784
@ahmednaaman9784 4 года назад
Alhamdulillah twashkuru. Allah awaongoze na awatilie barka kazi yenu nzuri
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 4 года назад
Masha Allahuh mungu zidishie kuwa watu wema yarrab
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 3 года назад
Mungu atazidi kuwaongoza nawawe na baraka Katika kazi zao namungu atawalinda Amin nawote ambao paka Sasa wapo bado pia mungu awaondolee zahama wamkumbuke mungu wao wawe na Imani .
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 4 года назад
Ma sha Allah.hongereni sana na Allah awaogoze zaidi ya hapo 🤲🤲🤲🇰🇪
@mohamedhamdan4956
@mohamedhamdan4956 5 лет назад
Yale yakitambo yamepita hata nimekutana nao wameniambia “naomba unisamehe kwa yale ambayo yalipita” wamebadilika MashaAllah Allah awaongoze
@zamzamahmed5718
@zamzamahmed5718 5 лет назад
Wallahi MashaAllah
@abdulhamidmahmood3112
@abdulhamidmahmood3112 5 лет назад
Alhamdulillah tuko nao hawa wote mtaani and we feel safe. Alhamdulillah
@kibaopipa3474
@kibaopipa3474 5 лет назад
YES YES YES VIJANA PONGEZI KUBWA KWENU MUNGU AWAONGOZE NA MUSIRUDI TENA KATIKA UHASI HUO WA MWANZO ONE LOVE WASELA
@joycewafula935
@joycewafula935 5 лет назад
Mungu ni mwema
@annasannas6210
@annasannas6210 4 года назад
Asanteni ,,,Mungu awabariki
@samiasalim8322
@samiasalim8322 4 года назад
Alhamdullilah watoto wetu twawashkuri na uamizi huu meema mungu awe radhi nanyi murudi kwa mungy mule jaoo ndururu but ya halali twawategemea nyinyi vijana wetu wapendwa nyinyi ndio ma baba wa kesho inshalla muwe na mungu na mungu hatowatupa
@malekjr9699
@malekjr9699 5 лет назад
Allah atawaongoza kwa njia ya sawa kwa kutafuta rizki za halali, twaombea kwa uwezo wa Allah awaepushe na balaa za dunia Ameen
@rizikimwanyae9490
@rizikimwanyae9490 4 года назад
Amen mungu azidi kuwabadilisha na wengine
@mrsmisifa7908
@mrsmisifa7908 5 лет назад
kheri in sha Allah
@saidamohamed1416
@saidamohamed1416 4 года назад
😭Allah awaruzuku ya halali na afya njema.Furaha kwa watu WA MSA
@samanthaali873
@samanthaali873 5 лет назад
Allahu Akbr
@rukiamatano7764
@rukiamatano7764 4 года назад
ALLAH KAREEM WALLAH
@khadijaabduljalil3107
@khadijaabduljalil3107 5 лет назад
Proud of u shaffi
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 года назад
Allahmdhulilah Mashallah mola awaongoze
@mophious59
@mophious59 3 года назад
Halleluyah, Yesu ni bwana.. Amen
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 5 лет назад
ALLHMDULLAH
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
ماشاله
@nahime9907
@nahime9907 5 лет назад
Mungu awafungulie kila kheri...
@amshlynebaby8495
@amshlynebaby8495 5 лет назад
vizuri sana.... but sio mara ya kwanza kusema wanawacha uhalifu
@yahyamaryamsaid5307
@yahyamaryamsaid5307 5 лет назад
Inshallah washaacha
@amshlynebaby8495
@amshlynebaby8495 5 лет назад
@@yahyamaryamsaid5307 vizuri Allah awafungulie Barak inshaallah
@abduljuma2147
@abduljuma2147 3 года назад
Lakini sai Kuna amani kiasi ukitembea old town
@hamidaabdallah6186
@hamidaabdallah6186 5 лет назад
Alhamdulillah Allah Azidi Kuwa ogoza
@jadam4031
@jadam4031 4 года назад
Hakuna hongera mimi nikiwapata chuma tu
@catekimofficial6425
@catekimofficial6425 4 года назад
Aaiii....wanajifanya tu
@IbrahimAli-vi9ep
@IbrahimAli-vi9ep 5 лет назад
Mtihani wa Allah
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 5 лет назад
Mui huwa mwema
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Ndio uunghwana hu fanya mui kukuwa mwema
@sammysammy2001
@sammysammy2001 5 лет назад
Muhimu sana vijana wangu nasikia furaha kwa minavyo amua sahii
@faizasaleh9783
@faizasaleh9783 5 лет назад
allaha. azidi. kuwaogoza. zaidi
@omaryburhani56
@omaryburhani56 4 года назад
Waongo hawo wanadanganya bado wanakaba Na wanapora Ni juzi Tu Mzee wa watu alipigwa Na kuporwa kila kitu Sasa hawo Mimi nasema siku Yao ipo wasijesema tumewasahau walioyafanya
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 4 года назад
Wazazi mkono wapi msikie hii..Halafu utetee mtoto wako...et si mhalifu..Pongezi vijana chapen kazi Mungu awaone..
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 5 лет назад
Alhamdlillah
@sahromohamed4375
@sahromohamed4375 5 лет назад
Allaah ya hadik👌👍
@fauziaabdullah3733
@fauziaabdullah3733 3 года назад
mungu mkubwa atawalinda hapo na penginepo
@josephnjuguna6839
@josephnjuguna6839 5 лет назад
Vijana kazini...tieni bidii na mungu atawasaidia
@saidismailhamad3229
@saidismailhamad3229 3 года назад
Walipe kote walikoiba iliwasamehewe
@tababdulla2877
@tababdulla2877 5 лет назад
Allihamdulilah munqu azidi kuwaepushiya
@hashimali9549
@hashimali9549 3 года назад
Kama huwezi Kusema boti nyamaza
@jibrilzaitun9981
@jibrilzaitun9981 4 года назад
Allah awaongoze
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 лет назад
Allah awakoe kabisa na msali sana
@richhommiekhalifah2032
@richhommiekhalifah2032 2 года назад
Boti la bure hilo limeandikwa bendera ya Japan
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 Год назад
alhamdulillah🙏
@anisamogani1050
@anisamogani1050 3 года назад
Mashaallah
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
Ambheele yuko wapi mbhona haonekani ama sura yake imebadilika mpaka hatambhuliki?
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
👍
@cattivostanco4579
@cattivostanco4579 5 лет назад
Sawa boss
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 лет назад
@@cattivostanco4579 Thank you for your like
@usamaidd5752
@usamaidd5752 5 лет назад
MashAllah MashAllah MashAllah
@BiashaElefu
@BiashaElefu 4 месяца назад
Mashallh❤
@alexfernandohuenten1374
@alexfernandohuenten1374 4 года назад
shafiq nice
@aay2925
@aay2925 5 лет назад
Alhamdhulillah
@mwendapoleee
@mwendapoleee 2 года назад
Wamerudi tena!
@JustBilly23
@JustBilly23 5 лет назад
Nice
@vineszakenya
@vineszakenya 3 года назад
Aka choka mbaya 😂🤦‍♂️
@shiekhmohammed7249
@shiekhmohammed7249 4 года назад
K
@azontozonto8855
@azontozonto8855 5 лет назад
Wasingetulia mungewazika makaburini pumbavu nazi
@yahalamalik7024
@yahalamalik7024 5 лет назад
Kwani wewe ukifa utazikwa wapi?
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 5 лет назад
Badilika pia wacha matusi
@Lucyferandtheson003
@Lucyferandtheson003 5 лет назад
Bullshit! Bullshit! Bullshit! What about those of us who have suffered in the hands of those terrorists??? Where do we get justice?? Mimi nikapata nafasi nzuri namaliza hao mikora kabisa, nkt! Still feeling the pain I went through in the hands of those thugs.
@mohamedabubakar3631
@mohamedabubakar3631 5 лет назад
Kama mungu unamkosea kila leo na bado anakusamehe na unavuta pumzi zake na siku ukiomba msamaha anakusamehe ww kiumbe wa mungu kwanini usisamehe na kuacha yaliopita maana chuki na kiswasi haviishi unapolipiza na wao watalipiza je kumepatikana amani hapo? Kama ww ni muislamu ama mkristo then dini zote mbili zinatufundisha kusamehe na kusimamisha amani.
@bazishegow7761
@bazishegow7761 5 лет назад
j
@bazishegow7761
@bazishegow7761 5 лет назад
post
@bazishegow7761
@bazishegow7761 5 лет назад
post
@mohamedhamdan4956
@mohamedhamdan4956 5 лет назад
Yale yakitambo yamepita hata nimekutana nao wameniambia “naomba unisamehe kwa yale ambayo yalipita” wamebadilika MashaAllah Allah awaongoze
@mohamedhamdan4956
@mohamedhamdan4956 5 лет назад
Yale yakitambo yamepita hata nimekutana nao wameniambia “naomba unisamehe kwa yale ambayo yalipita” wamebadilika MashaAllah Allah awaongoze
Далее
MWANAFUNZI MTUKUTU (PART 2)
15:24
Просмотров 2,7 млн
MAGIC TIME ​⁠@Whoispelagheya
00:28
Просмотров 9 млн
The Giants of Egypt 🇪🇬
8:17
Просмотров 35 млн
Darajani Market Stone Town Zanzibar
34:06
Просмотров 36 тыс.