Mnyama hongera sana Kocha Fadlu, mchezo wa nyumbani Ushindi ni LAZIMA. Tafadhali tuletee Chasambi kuongeza kasi mbele, badala ya Balua. Ubaya Ubwela. Al-Ahal sio timu yakudharau hata kidogo.
Uchambuzi wako mzuri sana, tunakupata poa tukiwa Nairobi Kenya,,, pia nisiwe mchoyo kuwapa wachezaji wa Simba nguvu Moja hongera Kwa jitahada za dhati ya droo huko Libya,,, Kwa Mkapa hatoki mtu Ubaya Ubwelaaaaa nawapenda Sana,,by Menauru Kivuyo Toto la kimaasai,