Тёмный

MBWADUKE: MASTERCLASS! SIMBA YACHEZA KIKUBWA IKIUANZA MWENDO KUISAKA FAINALI CAF CC/ ATEBA, KAGOMA.. 

Mbwaduke Stats
Подписаться 82 тыс.
Просмотров 43 тыс.
50% 1

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@brunoh_bx
@brunoh_bx 2 дня назад
Defence ya Simba ni superb aisee, afu huyo Kagoma ndo naelewa kwnn nyuma mwiko wanamlilia sanaa😅🙌
@ummymuya.2060
@ummymuya.2060 2 дня назад
Siku ifike awatokee puani 😂😂😂 kwanza wameshaanza kushuka mdogo mdogo! Nguvu moja! 💪
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 2 дня назад
🤣🤣🤣🤣👏👏👏
@aggreyyilima1917
@aggreyyilima1917 День назад
😅😅😅
@brunoh_bx
@brunoh_bx День назад
@@aggreyyilima1917 😂😂😂
@AbdallahJambia-fo1tn
@AbdallahJambia-fo1tn День назад
Yaaaani yule jamaaa chumaa mno
@MassaiIsaacs
@MassaiIsaacs 2 дня назад
Kwajina la yesu mungu ibariki Simba nguvu Moja toa njia isipo kuwa na njia
@mgetalm
@mgetalm 2 дня назад
MUNGU akubariki wewe pia kwa ombi zuri!
@bakarimakalo7128
@bakarimakalo7128 2 дня назад
Mnyama hongera sana Kocha Fadlu, mchezo wa nyumbani Ushindi ni LAZIMA. Tafadhali tuletee Chasambi kuongeza kasi mbele, badala ya Balua. Ubaya Ubwela. Al-Ahal sio timu yakudharau hata kidogo.
@gabrielnybala2165
@gabrielnybala2165 3 дня назад
Ramadhani mwaduke mchambuzi wangu bora wa soka Tz hauna baya Big up sana
@menaurukivuyo6796
@menaurukivuyo6796 2 дня назад
Uchambuzi wako mzuri sana, tunakupata poa tukiwa Nairobi Kenya,,, pia nisiwe mchoyo kuwapa wachezaji wa Simba nguvu Moja hongera Kwa jitahada za dhati ya droo huko Libya,,, Kwa Mkapa hatoki mtu Ubaya Ubwelaaaaa nawapenda Sana,,by Menauru Kivuyo Toto la kimaasai,
@flaviabaruti7602
@flaviabaruti7602 2 дня назад
Simba mmefany vzr, mmetutangaza vzr huko. Mm n Yanga ila nimefurahishwa na upambanaji wenu
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku 2 дня назад
So lazima utaje yanga
@flaviabaruti7602
@flaviabaruti7602 2 дня назад
@@mitinjemaziku una shida gan na hlo?
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku 2 дня назад
@@flaviabaruti7602 🍏
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 21 час назад
Simba imefanikiwa %89.9 Yusuf kagoma anajua sana mtulivu hamza n hatr zaid 💪🏽💪🏽
@asajilemwamundela1220
@asajilemwamundela1220 2 дня назад
Wewe kaka Mpira unaujua sana hongeraaaaaa sana
@user-fk5pc3md8h
@user-fk5pc3md8h 2 дня назад
Nakubali xnaaaaa Uncle 👏👏👏👏
@MaulidMzaina
@MaulidMzaina 2 дня назад
Best analyst brother mbwaduke
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 2 дня назад
Mwaduke nahis alikua kipanga sana darasan,, kichwa kimetulia mno
@PaulSengo
@PaulSengo 2 дня назад
hahahahaha nilikua nasubiri hii comment huyu jamaa ni T.O
@rahmakassanga9013
@rahmakassanga9013 2 дня назад
Hongera sn baba kwa uchambuz wko mzur👏👏👏
@MassaiIsaacs
@MassaiIsaacs 2 дня назад
Mungu ibariki Simba toa njia isipo kuwa na njia
@BarakaMlawa
@BarakaMlawa 2 дня назад
mwaduke The best
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 2 дня назад
Mabululu wa billion 4 kakabwa na Kagoma wa yanga million 30 Kwa miaka mitatu
@DavidNchimbi-yp3gz
@DavidNchimbi-yp3gz 2 дня назад
Nakukubali Sana mchambuzi wangu bora Tanzania
@mashakasilyvestermakaro
@mashakasilyvestermakaro 3 дня назад
Hongera sana kaka kwa uchambuzi mzuri, hutumiii hisia binafsi katika kuchambua bali unafuata uhalisia na hoja zenye uthibitisho
@CikeTanzania
@CikeTanzania 2 дня назад
Jamaa wanapesa duuuuh.
@user-lx3eg8iy6j
@user-lx3eg8iy6j 2 дня назад
Big up mwaduke
@johnjingo8124
@johnjingo8124 2 дня назад
Uko vzr, uchambuzi safi sana.
@godfreylucas-b3o
@godfreylucas-b3o День назад
Dhaaaa!!! Good sana huu uchambuzi Kuna majitu hayajui uchambuzi hii Tanzania sijui hata mpira yameujulia wp?ila bwanuke ni master tz
@ASHURAYAMBI
@ASHURAYAMBI 2 дня назад
Master wa takwimu Tz big up
@JumaRashid-k6d
@JumaRashid-k6d 2 дня назад
Congrats statistics man👏
@NeemaMasawe-vb2qu
@NeemaMasawe-vb2qu 2 дня назад
Simba ❤
@jofreymhagule7505
@jofreymhagule7505 2 дня назад
Big up
@hamzaminangu1053
@hamzaminangu1053 2 дня назад
hawa jamaa wa libya sio fair kabisa kwenye football
@happykulanga6696
@happykulanga6696 2 дня назад
Tukutane kwa Mkapa 🔥
@VitusLawa
@VitusLawa 2 дня назад
Maneno mengi ninayo ila itoshe tu kukupongeza kwa kazi yako bora kabisa
@SamwelKija-m3h
@SamwelKija-m3h 2 дня назад
Kiukweli wewe ni professional sana itapendeza Kwa Tim zetu ukiwa kwene bench la ufund
@ZaydShafii
@ZaydShafii 3 дня назад
Nakupata mzee wadata
@majidkhamis5485
@majidkhamis5485 3 дня назад
Safii sanaa
@MaulidMzaina
@MaulidMzaina 2 дня назад
Uchambuzi bora brother
@Enos-vc5yf
@Enos-vc5yf 2 дня назад
Uchambuzi wako uko vizur
@happykulanga6696
@happykulanga6696 2 дня назад
Haswaaa Simba ni Lidude likubwa mno
@user-ip8xh3uw2t
@user-ip8xh3uw2t 2 дня назад
Inshallah Simba itaingia hatua ya makundi kwa kishindo
@jumaMohammedi-rt2ys
@jumaMohammedi-rt2ys 2 дня назад
Mung azid kukubark kk ang unaujua san mpir
@MakwanaJr
@MakwanaJr 2 дня назад
Umechambua vizuri brother ... Sas kama ungepewa nafasi ya kuishauri Simba mchezo wa nyumbani je ungemshauri Nini kocha wa Simba...??
@SamwelWanchage
@SamwelWanchage 2 дня назад
Big up mchambuza, ila ikikupendeza cyo vibaya ukammega Fadlu Davis mawazo yako kupelekea mchezo wa marudiano, mpigie hata simu tu.
@MwajumaMhidini
@MwajumaMhidini 2 дня назад
Safi sana
@ElishaNamorwo
@ElishaNamorwo 2 дня назад
Semaj la cafe waambie hao maubwa. Wamrudishe mwabululu kwao
@mohamedkige2535
@mohamedkige2535 2 дня назад
❤❤❤❤
@HarunaHamisi-vq5cz
@HarunaHamisi-vq5cz 2 дня назад
Simba big team
@dullyjabri8393
@dullyjabri8393 3 дня назад
Safi
@rashidikingazi4354
@rashidikingazi4354 2 дня назад
uwe unatuwekea na vipande vya vidoe ili tuzid ku-enjoy uchambuz wako nakukubali sana
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 2 дня назад
Hapa kwetu Kaka tutauana nao. Lazima muarabu apasuke tu kwa Mkapa. Pale lisilowezekana kwetu Wana lunyasi huwezekana.
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 2 дня назад
Huyu ndo mchambuzi Tanzania waliobaki mabwabwa tu
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 2 дня назад
😅
@MauBonde
@MauBonde День назад
Simba wanachotakiwa wajikaze la sivyo wataenda kutuharibia uwanja tuu ,kuna penat tripol walinyimwa.😂😂😂😂😂
@mussaenock8928
@mussaenock8928 2 дня назад
We ni mchambuz bola kuwahi kutokea tanzania hauna baya
@SempuleKhalfan
@SempuleKhalfan 2 дня назад
Nilikuwa yanga sasa naomba kadi simba last.
@richarddaudymbogo-yg1tq
@richarddaudymbogo-yg1tq 2 дня назад
Ww nibora kuliko wachambuzi wachafuzi hao
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 2 дня назад
Mchamvuzi bora
@MalulaMgasa
@MalulaMgasa 2 дня назад
Uko sawasawa mkubwa.
@NtolokwaNtambi
@NtolokwaNtambi 2 дня назад
Kumbe Kagoma ni WA muhim sàna sana kuwatumikia majirani zetu MIKIA wa msimbazi. Wasinge mchezesha hiiiii wangevutwa SHARUBu.
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 2 дня назад
kagoma ni muhimu kwa yanga maana ni mchezaji wa yanga ndio walimsajili
@sangaelly8548
@sangaelly8548 2 дня назад
Kenge wewe 😂
@HusseinHussein-f7n
@HusseinHussein-f7n 2 дня назад
kagom ni muhimu sana kwa nyuma mwiko maan mpk leo nyuma mwiko wanaranda na talak
@Fgldesigns
@Fgldesigns 2 дня назад
​@@HusseinHussein-f7nMuhimu kwa Simba ndomaana hawakuogopa kuoa mke wa mtu
@meryceanaadrian3593
@meryceanaadrian3593 2 дня назад
Kama n muhimu sana kwa Simba mbona nyuma mwiko hamkubali kuachika😂😂😂😂
@samsonpopat1474
@samsonpopat1474 3 дня назад
Kwa kweli nawapa kongole
@AidanNsasu
@AidanNsasu 2 дня назад
Simba wasifurahie kutoka sale tunahitaji timu ya simba iweke majaro (magoli) yakutosha hatuhitaji salejama😂😂
@NyasanaTv-ol4ix
@NyasanaTv-ol4ix 2 дня назад
Hao wanatakiwa wafungiwe ili wajifunze
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 2 дня назад
BADO TIMU imecheza VIZURI sema wachezaji walipeana MAJUKUMU ILA chemaloni PASI zake zina madhara
@SalimHassan-w3d
@SalimHassan-w3d 2 дня назад
Huna mpizan kaka kwauchambuz wa mpira 5:19
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 2 дня назад
🤝
@aminieljames3315
@aminieljames3315 2 дня назад
Watu kama wewe ndo muwe mnaongea mpira sio zile kenge
@Goodluckkayuni
@Goodluckkayuni 2 дня назад
Sauti inakua haisikiki mchambuzi wetu
@dentomedicalresourceslimit4602
mbwaduke, Simba wamechezaje kikubwa?. sidhani kama ni kweli.
@PaulSengo
@PaulSengo 2 дня назад
huwez elewa
@salesale9888
@salesale9888 2 дня назад
Mauwa yako wewe ndio mnyumbulikaji bora wa uchambuz wa siku zote
@abedymtore2707
@abedymtore2707 2 дня назад
Simba awez kuvuka apo
@KhadijaKhadijamussa
@KhadijaKhadijamussa 2 дня назад
We kenge nn
@frayy5595
@frayy5595 2 дня назад
Labda km we ndo unacheza mchimba chumvi mmoja😂
@abedymtore2707
@abedymtore2707 2 дня назад
@@KhadijaKhadijamussa sawa ngoja ifike j,pili tuta rudi online tuendereze mjadala
@stevennicholaus
@stevennicholaus 2 дня назад
tumekuachia uvuke wewe
@R10_Rajab
@R10_Rajab 3 дня назад
We Mshkaji una Madini yakutosha bro! Wacha tu Subscribe tu ..
Далее