Тёмный
No video :(

MBWADUKE: TOBAAH! YANGA KWA KASI HII DHIDI YA VIGOGO BUNDESLIGA HUKO CAF KAZI WANAYO/MAXI, ABUYA... 

Mbwaduke Stats
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 132 тыс.
50% 1

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
KUMRADHI
MAXI KAFUNGA MABAO 11 + ASSISTS 2
Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza kwa kusema Maxi kafunga mabao 9. Usahihi ni kwamba Maxi kafunga mabao 11 na kutoa assists 2.
By Mhariri - Mbwaduke Stats"Spoti Next Level"

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@augustinomkongwa5444
@augustinomkongwa5444 Месяц назад
Tunaoamini kuwa mbwaduke ndiye mchambuzi nguli anayeongea kwa data kuliko wachambuzi wote Tanzania gonga like 👍 hapa. Yanga bingwa 2024/2025
@babazizu1255
@babazizu1255 Месяц назад
Haipingwi
@malietamaliet
@malietamaliet Месяц назад
Kiukweli diarra aimbwi kiviile kama washambuliaji ila ndo nguzo yetu inayotusaidia snastaili ata kua captain wa timu anavyokua golin anakua anaanasisha na wenzake asingekua yeye tungekula ata kono la nyani kivyangu ndo man of the match 💚💛🔥🇹🇿
@HopeMmbando-wb8ci
@HopeMmbando-wb8ci Месяц назад
Uhakika kabisaaa ila yanga Kila mchezaji bhn n Bora na wanaelekezana haswaaaaa
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r Месяц назад
P
@SaraIlomo
@SaraIlomo Месяц назад
​@@user-ln9tk3qr2rkiukweli yanga inatupa Raha sana
@davidndungu8619
@davidndungu8619 Месяц назад
duke abuya we like u too much for good game
@chrisantusnditi8670
@chrisantusnditi8670 Месяц назад
Hii Yanga inayokuja mimi mwenyewe naiogopa.Ingawa watu wanaichukulia poa,lakini tutaonana CAF CL na NBC PL
@HopeMmbando-wb8ci
@HopeMmbando-wb8ci Месяц назад
NBC Kuna watu watakufa
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r Месяц назад
P
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r Месяц назад
4:53😊 5:15 😊
@DavidMessi-h9c
@DavidMessi-h9c Месяц назад
Mm nimwana Simba watani hicho nikipimo tosho, hongeleni.
@user-uf6oe3qi6v
@user-uf6oe3qi6v Месяц назад
Ww mwanaume
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t Месяц назад
🙏🙏🙏🙏🙏
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m Месяц назад
Mzee wa data mchambuzi wangu namba moja tanzania kwa sasa❤❤❤🎉🎉🎉
@MajutoMaunda-de5cj
@MajutoMaunda-de5cj Месяц назад
Nakuelewa sana unatufundisha mazuri tusiyo yajua ❤❤❤❤❤❤
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo Месяц назад
Salamu ziwafikie kilabu bigwa
@dullahdullah2344
@dullahdullah2344 Месяц назад
Mzee wa data tupe takwim za max mpia nzengeli na za Azizi kii
@RashidiNjenga
@RashidiNjenga Месяц назад
Yanga ii iko moto sana msimu ujao
@ManenoJuma-xd3ii
@ManenoJuma-xd3ii Месяц назад
❤❤❤Unajuwa Sana kaka
@user-kk3tv6kw1o
@user-kk3tv6kw1o Месяц назад
Huyu mwamba ndio mchambuzi halisi He is always positive
@user-kk3tv6kw1o
@user-kk3tv6kw1o Месяц назад
Mungu tunaomba uzidi kuisimamia hiiii timu, Iepushe na husda zoote
@perepetuajohn
@perepetuajohn Месяц назад
Asanteeee kaka nyie makolooo mmeisikia hiyo, kazi mnayo hapo ni kuwapiga kipigo Cha mwana ukome kutuzoea😂😂😂😂😂😂
@amanmalima940
@amanmalima940 Месяц назад
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@issaalfani1030
@issaalfani1030 Месяц назад
Huwa najiuliza kwanini wachambuzi wengine hawajifunzi kwako kazi yao kukosoa bila takwim
@user-nm8my6ff5o
@user-nm8my6ff5o Месяц назад
Yanga is the best club in Africa
@gabrielmchau8764
@gabrielmchau8764 Месяц назад
Kazi nzuri
@JacksonFrances
@JacksonFrances Месяц назад
Yanga is the Best Club in African Currently "
@renatusthomas7819
@renatusthomas7819 Месяц назад
Wakwanza naomba like 100
@annofrancis3697
@annofrancis3697 Месяц назад
Safi sana kazi nzuri
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Месяц назад
Uchambuzi mzuri sana
@melckassey9365
@melckassey9365 Месяц назад
Hatar sana unajuwa mpaka basi
@stephennyamsacha2974
@stephennyamsacha2974 Месяц назад
Uko vizuri mkuu
@allyramadhani9221
@allyramadhani9221 Месяц назад
Hongera kaka
@EvansKalikwela-h6r
@EvansKalikwela-h6r Месяц назад
Hii yanga tutafurahi zaid tusubili
@JacksonKulwa-tr3px
@JacksonKulwa-tr3px Месяц назад
Yang a nihatar
@mgayamwananchi
@mgayamwananchi Месяц назад
Mzee wa data umekosea apo Kwa Max Nzegeli kafunga goli kumi na Moja na sio 9.
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats Месяц назад
Correct. Uko sahihi sana Kiongozi. Mzee wa Data ameteleza na ndiyo maana tumeomba radhi. Maxi kafunga mabao 11 na pia ana assists 2. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono.
@abdallahmuhibu
@abdallahmuhibu Месяц назад
Safi sana mchambuzi wangu
@ValentinePetro
@ValentinePetro Месяц назад
Hakiki sisi ni bingwa yanga noma
@EliwajaYunga
@EliwajaYunga Месяц назад
yanga ni noma simba mtasema msimu ujao
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Месяц назад
Hakika we ni mchambuzi msomi❤❤❤❤
@Sulaymiyahya
@Sulaymiyahya Месяц назад
❤safi
@AngelinaHassan-fe3jp
@AngelinaHassan-fe3jp Месяц назад
Uko vizur sana
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 Месяц назад
We iogope yanga Simba haiogopi Yanga Kucheza na timu ya Ausberg ya Ugerumani hat Simba ilicheza na Sevilla ya la Liga UEFA team
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 Месяц назад
Najua kisirisiri unatuogopa hasa ukikumbuka zile mechi mbili tulizokupiga bao 7. Unacheza na Yanga nini 😂😂
@sadih5333
@sadih5333 Месяц назад
Chenga tumewala
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 Месяц назад
Acha kuwapa confidence, hawana pumzi na wamecheza na wachezaji ambao watatolewa kwa mkopo ispokua walikua wamepewa nafasi kuangaliwa semeni ukweli
@jonathanmindolo61
@jonathanmindolo61 Месяц назад
PAMOJA NA KWAMBA MIE NI WA UPANDE WA PILI, MNYONGE MNYONGENI LKN WANASTAHLI MAUA
@StanyJohn-m5v
@StanyJohn-m5v Месяц назад
Eebhn yang ipoh vizur
@user-mw8qv8wf5c
@user-mw8qv8wf5c Месяц назад
Mbwaduke Mimi namwerewa xana
@longinoSimon-dz2eb
@longinoSimon-dz2eb Месяц назад
Uko juuuu
@user-rz9xx7nx8t
@user-rz9xx7nx8t Месяц назад
Wataelewa 2 maana wapo wanaonyosha midomo bila kuitazama zamu yao
@NelsonMushi-wp8hx
@NelsonMushi-wp8hx Месяц назад
@FredrickSutta
@FredrickSutta Месяц назад
Nyie watu wa Simba akili tope mwisho mtasema makombe yanga mabaya
@amidoibraimo6021
@amidoibraimo6021 Месяц назад
Nakukubali mchambuzi
@begumisachristopher4697
@begumisachristopher4697 Месяц назад
Msimu huu Yanga itakuwa tishio
@mercyfrancis3111
@mercyfrancis3111 Месяц назад
Kwa numbers huyu mchambuzihatari sana
@selemanadamu7596
@selemanadamu7596 Месяц назад
Max amemaliza na bao 11 na sio 9
@user-hn8vj1vn5y
@user-hn8vj1vn5y Месяц назад
Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC
@user-hn8vj1vn5y
@user-hn8vj1vn5y Месяц назад
Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r Месяц назад
😊
@bishopmgambomwenyecheo4610
@bishopmgambomwenyecheo4610 Месяц назад
Hii yanga ya msimu huu kuna mtu atakula 10
@user-jb7nh5pp2e
@user-jb7nh5pp2e Месяц назад
Nilikuwepo live uwanjani...yes nakukubali kwa ufafanuzi...
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Месяц назад
Acha uongo,,uwe mbadala useme ulikuwa nao jmn😂😂😂😂
@fahimkhalifa5904
@fahimkhalifa5904 Месяц назад
Timu ya Yanga ni bora sana lakini wachezaji wasijiamini sana wakaanza kucheza kistaa timu zote zimejiaanda na wanataka kuonyesha uwezo wao
@augustinemainde
@augustinemainde Месяц назад
Hongera Mbwaduke kila mtu anavyoithamini kazi yake,kazi pia itamthamini
@sadickcheyo2324
@sadickcheyo2324 Месяц назад
NAMI nmemkubari hyu jamaa
@perepetuajohn
@perepetuajohn Месяц назад
Kazi wanayo madunduka walipokwenda kujifunza kuogelea na si mpira😅😅
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r Месяц назад
7:40😊 6:40
@EmanuelAman-qb9zx
@EmanuelAman-qb9zx Месяц назад
Mbwaduke hajawahi kuichambua yanga kwenye mechi yote yanga ikafungwa kama ipo nikumbusheni Hata Jana angesimama upande wa yanga tungeshainda nakuelewa sana kaka
@sevarinijrchitandachitanda138
@sevarinijrchitandachitanda138 Месяц назад
🔥🔥💛💚
@HabibuSalumu-iv5wl
@HabibuSalumu-iv5wl Месяц назад
@josephgalandu128
@josephgalandu128 Месяц назад
JAmani mi nawapenda washabiki wa Simba wanaoongea mpira uwanjani,sio Comediany
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 Месяц назад
💛💚💛💚👍👍
@pekomisegese7724
@pekomisegese7724 Месяц назад
Kila Siku Mi Nasema Huyu Ndio Mchambuzi Wale Wengine Ni Wacha Ng'ombe😂.
@rubanimponzi8259
@rubanimponzi8259 Месяц назад
Naona tarehe 8 kuna 8
@f.a6043
@f.a6043 Месяц назад
Yes kutakua na vyura 🐸 8👈🏽😂
@saumbakar7643
@saumbakar7643 Месяц назад
​@@f.a6043magoma FC kazi mnayo dadeki
@henelckneatunga2720
@henelckneatunga2720 Месяц назад
HATA KAMA HAWAKUWA VIZURI UWEZI KUIFANANISHA NA SIMBA
@BabMuniwe-pg7el
@BabMuniwe-pg7el Месяц назад
Simba nayo timu unasema huwezi fananisha na simba
@josephgalandu128
@josephgalandu128 Месяц назад
Hata mimi naigopa kabisaaa
@shomarisangari-rt6le
@shomarisangari-rt6le Месяц назад
Wajipange kufungwa Fungwa Funga Funga karudi likizo
@user-pg5to7xq5g
@user-pg5to7xq5g Месяц назад
uko vzuri kwapembuzi dada vuzi..
@josephgalandu128
@josephgalandu128 Месяц назад
Tinu ya damu changa😂😂😂
@MarckyCholla
@MarckyCholla Месяц назад
Broo game nimeangalia yote ila sifa nyingi unwapa yanga ni uongo unaanza kunidanganya
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t Месяц назад
Huyu hanaga tabia za kusifia hovyo bali atakwambia ukweli ambao utakuweka huru na mapungufu ya tim pia utayajua
@johninnocent3270
@johninnocent3270 Месяц назад
Kwa Mimi mwenye e flat nimekuelewa sana
@IslahiMohamed-qi2jf
@IslahiMohamed-qi2jf Месяц назад
I Chambue na azam
@greatest_of_africa
@greatest_of_africa Месяц назад
Na azizi kii aligonga mwamba
@shabanimuya1878
@shabanimuya1878 Месяц назад
hata simba sasa tanzania ni timu b utaiona tarehe 8 utajua Aug ni timu b
@boniphacemwasambungu
@boniphacemwasambungu Месяц назад
Tunadeni nao
@Issanuru83o
@Issanuru83o Месяц назад
Simba wasilete timu
@f.a6043
@f.a6043 Месяц назад
Ushindi wa 🐸🐸🐢🐢 ni kufungwa 2-1
@ChanganyaJaphetjr
@ChanganyaJaphetjr Месяц назад
nakubal san
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 Месяц назад
Ww kolo chakavu,acha wivu
@abuuomari2377
@abuuomari2377 Месяц назад
Max msimu ulioisha alimaliza akiwa na goli kumi na moja sawa na saidoo ntibazonkiza
@user-hn8vj1vn5y
@user-hn8vj1vn5y Месяц назад
Ni kweli aisee. Mzee wa Data ameteleza kidogo na ndiyo maana wameomba radhi hapo juu.
@allytwalib7787
@allytwalib7787 Месяц назад
mbwaduke nimekuvulia kofia unajua boli wewe
@user-qo6bk1zs8m
@user-qo6bk1zs8m Месяц назад
Kama usburg wangekuwa silius kama yanga ingekuaje?
@erastojacob17
@erastojacob17 Месяц назад
huna akili kwa hawakuwa siliasi.
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Месяц назад
Jiulize na ww😂😂😂😂
@faroukwamba
@faroukwamba Месяц назад
🔥 📛 👨‍🚒 🚒 🧯
@josephgalandu128
@josephgalandu128 Месяц назад
Mi katiaka wachambuzi mi huwa nakuamini wewe tu Mchungaji wa data
@user-gn4lc5sk6p
@user-gn4lc5sk6p Месяц назад
Mimi sijaona mpira wa maana jana.Zaidi ya kukimbiza kimbiza tu.Na wale jamaa hawakuwa na pressure.Kama walijua wanacheza na mandondocha.
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 Месяц назад
Kolo unaichukia yanga ukiwa wapi subili tarehe 8 ndio tutakuadabisha
@nyotaphina8167
@nyotaphina8167 Месяц назад
Mnyama FC ndo zenu
@HassanRamadhan-cv8de
@HassanRamadhan-cv8de Месяц назад
Ukizeeka utakua mchawi
@SilmanOfficial-ss6oq
@SilmanOfficial-ss6oq Месяц назад
Je, Augsburg waliweka first 11 yao dhidi ya Utolopo iliyoweka first 11 yotee!? 😂😂
@mussahassan8751
@mussahassan8751 Месяц назад
Mzee wa data umeanza kuzingua hamna mpira walocheza yanga hapo walikuwa wanajikanyaga tu
@nyotaphina8167
@nyotaphina8167 Месяц назад
😂😂😂😂
@HassanRamadhan-cv8de
@HassanRamadhan-cv8de Месяц назад
Unaenda kua mchawi uzeeni
@madmaxx1180
@madmaxx1180 Месяц назад
Ukweli ni kua Augusburg iliofanya vibaya bundesliga ilichezesha vikosi B na C,bado Tanzania tuko nyuma sana kwenye mpira
@Lubida
@Lubida Месяц назад
Kwa taarifa kikosi cha kipindi cha pili cha Augsburg ndicho kikosi cha kwanza kule Bundesliga yaani kikosi chao cha kwanza
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 Месяц назад
Nitajie first eleven ya augusburg ambae unahs n kkos B
@Raphael51312
@Raphael51312 Месяц назад
Usiongee kw kukalili
@augustinomkongwa5444
@augustinomkongwa5444 Месяц назад
Muda ni hakimu mzuri kitaeleweka tarehe 8 na kuendelea
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 Месяц назад
Duuh unachuki na yanga ukiwa pade ipi
@user-nm8my6ff5o
@user-nm8my6ff5o Месяц назад
Yanga is the best club in Africa
@sadickcheyo2324
@sadickcheyo2324 Месяц назад
Kachambua vizuri
@dullahcelly2870
@dullahcelly2870 Месяц назад
Далее
MO DEWJ  UBAYA UBWELA
10:50
Просмотров 400