Тёмный
No video :(

MBWADUKE: VERY SERIOUS! AISEE SIMBA KWA STRAIKA HUYU WATU WAJIPANGE/ ANATISHA MABAO, ASSISTS... 

Mbwaduke Stats
Подписаться 78 тыс.
Просмотров 50 тыс.
50% 1

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@jacobando7186
@jacobando7186 Месяц назад
Mungu awatie nguvu tupate furaha kwenye Simba yetu
@user-zv2cp5bz3t
@user-zv2cp5bz3t Месяц назад
Mung walind wachezaj wet na hasad za yanga
@marthamsacky6973
@marthamsacky6973 Месяц назад
Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu wakinge na maradhi na uwalinde na hatari zozote ❤❤❤❤❤💪
@WalterJosephat
@WalterJosephat Месяц назад
Heshima ya simba msimu huu ni viongozi kuwa na wachezaji karibu nao
@user-su1gt7gn4g
@user-su1gt7gn4g Месяц назад
mwenyezi mungu tumelia sana tunaomba uwapenguvu wachezaji na uwalinde na majeraha Simba nguvu moja
@justinmwanyingili8073
@justinmwanyingili8073 Месяц назад
Sana ndugu zangu nikuomba sana kwa mwenyezi mgu Tim yetu ya simba nipende kuwatakia usajili mzuli
@rahmamussa5683
@rahmamussa5683 Месяц назад
Mayele watamtambulisha mwisho niko hapa mje mnipe maua yangu❤❤❤ simba nguvu moja
@FreniceFrenice
@FreniceFrenice Месяц назад
Mungu wasidie wachezaji wa simba msimu huuu
@AmiryHamza-gs8pp
@AmiryHamza-gs8pp Месяц назад
Mungu atusaidie wachezaji waipende simba
@makalikuwili6889
@makalikuwili6889 Месяц назад
Asante kwa uchambuzi
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 Месяц назад
Huyu mwamba Mimi Nina imani kubwa naye, akimpata na mpanzu moto utawaka
@f.a6043
@f.a6043 Месяц назад
Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Месяц назад
Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii
@danfordbarnaba4423
@danfordbarnaba4423 Месяц назад
Good analysis sir
@KapelahassanKapela
@KapelahassanKapela Месяц назад
Allah bless ximb
@Cutenaah
@Cutenaah Месяц назад
💚💚💚💚💛💛💛💛💛
@Cutenaah
@Cutenaah Месяц назад
💚💚💛💛
@Cutenaah
@Cutenaah Месяц назад
💚💛
@user-gz2or2ui9n
@user-gz2or2ui9n Месяц назад
Duh huyu jamaa kwa uchambuzi tuko vzr sana
@VenastusMuganga
@VenastusMuganga Месяц назад
Utasubuliwa sana na simba.
@justinmwanyingili8073
@justinmwanyingili8073 Месяц назад
Sana apo nimoto tuu kama tuta fanikiwa 😊
@justinmwanyingili8073
@justinmwanyingili8073 Месяц назад
Tuko pamoja tusikate tamaa
@BazuuKanakarha
@BazuuKanakarha Месяц назад
We huyu ni moto 🔥🤣
@darlingtonekagose2750
@darlingtonekagose2750 Месяц назад
Kabla yote nshaota hii kiru😊
@silasmeshilieki2975
@silasmeshilieki2975 Месяц назад
Hahahahha! Hongera kwa ndoto nzr
@JumaBakari-pt9lr
@JumaBakari-pt9lr Месяц назад
❤❤❤
@NasmaMwarabu
@NasmaMwarabu Месяц назад
Wachawi wampitie mbali
@danielmgina7375
@danielmgina7375 Месяц назад
Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 Месяц назад
Mo Tafadhali huyo Mangungu akileta kujua na au kugawa wachezaji ataolewa hapo kwa njia asizoweza kuhimili atachota kilichomchelewesha kujiuzuru.
@maxgerad5083
@maxgerad5083 Месяц назад
❤❤❤❤
@HamzaMbatto
@HamzaMbatto Месяц назад
jamaa anamkwara 😂😂 9:48
@V24hrs
@V24hrs Месяц назад
Yanga wakimloga mtamkataa
@user-ys4zk3hx4f
@user-ys4zk3hx4f Месяц назад
Huyu ndo mchambuzi sio kina baba levo
@princetongejr
@princetongejr Месяц назад
Hahahahaha Kwan baba levo mchambuzi wa nin jmn hukoooooooo 😂😂😂😂😂😂
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 Месяц назад
Ile somba ya kina kagere kahata mugalu naona inarudi tena kwa maranyingine
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 Месяц назад
Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha
@rashidimalolo3894
@rashidimalolo3894 Месяц назад
Uyu mukwala ni mali haswa
@AndrewLikiti-yb2ws
@AndrewLikiti-yb2ws Месяц назад
Uko VEMA Mkuu Mchambuzi mbobezi.
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Месяц назад
Wasimloge tu majirani hahaha
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo Месяц назад
Hawezi kutusumbua sisi yanga
@taseleli9181
@taseleli9181 Месяц назад
Sawa
@HamzaMbatto
@HamzaMbatto Месяц назад
jamaa anamkwara 😂😂
@HamzaMbatto
@HamzaMbatto Месяц назад
jamaa anamkwara 😂😂
@HamzaMbatto
@HamzaMbatto Месяц назад
jamaa anamkwara 😂😂
@HamzaMbatto
@HamzaMbatto Месяц назад
jamaa anamkwara 😂😂
Далее
Ajdarlar...😅 QVZ 2024
00:39
Просмотров 391 тыс.
Ajdarlar...😅 QVZ 2024
00:39
Просмотров 391 тыс.