Mchungaji naye mkubali; natowa salamu. sasa mimi Nina swali umesema kuwa Mungu ameshindwa kuishi na shetani; sijaelewa vizuri shetani mwenyewe kaumbwa na Mungu ; na Mungu hashindwi nakitu chochote sasa inakuwaje Mungu (ashindwe) kuishi na shetani ; nafikiri hajashindwa maana neno kushindwa kwa Mungu kuishi na shetani sijaelewa .Asante!