Тёмный

MCH. HANANJA AIBU MAPYA/AWALIPUA WATUMISHI WANAOTUMIA MAJI YA UPAKO/AMVAA ALIYEDAI KWENDA MBINGUNI 

SWAHILI GOSPEL TV
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@TwahiliJabu
@TwahiliJabu Месяц назад
Mzee asante sana kwa ufafanuzi mzuri
@neemakalugila7674
@neemakalugila7674 3 месяца назад
Mtangazaji jifunze etiquette ya jinsi ya kukaa wakati wa interview. It adds a lot. Watching from Holland 🇳🇱
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 8 месяцев назад
Safi sana mzee wangu kwa mahubiri yako mazuri.
@moussoda7901
@moussoda7901 8 месяцев назад
Mchungaji naye mkubali; natowa salamu. sasa mimi Nina swali umesema kuwa Mungu ameshindwa kuishi na shetani; sijaelewa vizuri shetani mwenyewe kaumbwa na Mungu ; na Mungu hashindwi nakitu chochote sasa inakuwaje Mungu (ashindwe) kuishi na shetani ; nafikiri hajashindwa maana neno kushindwa kwa Mungu kuishi na shetani sijaelewa .Asante!
@MahmoudMussa-x8j
@MahmoudMussa-x8j 8 месяцев назад
Katika uislamu shetani alifukuzwa katika ufalme wa allah baada ya kuto tii amri ya kumsujudia adamu
@DATUSKAMINYOGE-p4t
@DATUSKAMINYOGE-p4t 9 месяцев назад
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@neemakalugila7674
@neemakalugila7674 3 месяца назад
Pastor 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@heritier5119
@heritier5119 9 месяцев назад
Mungu anaangalia roho ni funzo la shetqni
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 8 месяцев назад
Nimecheka sana Leo 😂😂, unasema ukweli mtupu mchungaji
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 8 месяцев назад
Mchungaji namuelewa sana aisee.
@SigifridiTarimo-tw3bl
@SigifridiTarimo-tw3bl 6 месяцев назад
Mchungaj ubarikiwe Sana
@hanifaoman2972
@hanifaoman2972 2 месяца назад
Jaman ukwel wote
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 10 месяцев назад
Mchungaji nakuelewa saana abarikiwe
@OscarDzombo
@OscarDzombo 8 месяцев назад
Eti hata panyalodi huwez muuwa kwa maji 😂😂,huyu mchungaji kiboko
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 10 месяцев назад
Jamani natuma teena Nina mauwa yako
@newlightmoviesproduction3598
@newlightmoviesproduction3598 6 месяцев назад
Mzee huyo angetokea kipindi cha magu akifanyiwa ulinzi wa serikali.
@sophiaesmarcharo9775
@sophiaesmarcharo9775 2 месяца назад
❤I 🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@nickolatharwelamila776
@nickolatharwelamila776 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 10 месяцев назад
Wewe ndiyo mchungaji unaesema ukweli wengi wao ni matapeli wanaokula za ajinga ndiyo waliwao
@benjaminreternyau30
@benjaminreternyau30 8 месяцев назад
ukomboz wa fikira na maarifa, watu wanaangamia kwa kukosa maarifa na uchaji
@MeditriceKabahizi
@MeditriceKabahizi 7 месяцев назад
❤🎉🎉🎉
@engelbertkiondo4014
@engelbertkiondo4014 7 месяцев назад
mch. mungu akupe ufunuo zaidi ....watu hawasomi kabisa biblia. wanasoma vimistari 2/3 wanahubiri sokoni na kujiita askofu...mtume...
@DATUSKAMINYOGE-p4t
@DATUSKAMINYOGE-p4t 9 месяцев назад
Hakia!
Далее
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38
А я с первого раза прошла (2024)
01:00