Тёмный

MCH. HANANJA ATOA SOMO KUHUSU SABATO YA JUMAMOSI AUNGANA NA USTADHI DANIEL KUMPA SOMO MCH. NDACHA 

SIMULIZI ZONE
Подписаться 212 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

MAMBO YA SABATO NA JUDAISM HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AMETUELEZA KWA KIREFU UMUHIMU WA SABATO NA JINSI ILIVYO NGUMU AFRICA KUWA MSABATO

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 400   
@ackimackim1880
@ackimackim1880 8 дней назад
UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.
@josykogei7647
@josykogei7647 12 дней назад
Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 9 дней назад
Andiko?
@KOLASCLASSICDESIGNS
@KOLASCLASSICDESIGNS 11 дней назад
JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH
@user-wg6pg9bg8v
@user-wg6pg9bg8v 10 дней назад
Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?
@zakayomwalongo9330
@zakayomwalongo9330 2 дня назад
angalia neno la Mungu linasemaje. pia usiangalie waumini wa kisabato angalia kanisa kama mfumo linasisitiza kuazishika amri zote
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 18 часов назад
Yes! Akili za mwanadamu haziwezi kuchunguza Mungu!
@memorataedson7895
@memorataedson7895 12 дней назад
pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi
@AbdallahMpwatile
@AbdallahMpwatile 8 дней назад
Nakuelewa sana mzee rich billionaire
@charlesmpambwe5055
@charlesmpambwe5055 2 дня назад
Mimi nakubali maelezo yake mchungaji!! Ibada ni siku zote katika roho na maisha yetu ya kila siku yanayomcha Mungu. Bwana Yesu alisema hakuja kuitangua torati bali kuikamilisha... Amri kumi za Mungu Yesu alizikamilisha kwa kuzifungamanisha kwenye amri mbili '' Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, kwa akili yako yote na nguvu zako zote. Ya pili kumpenda jirani yako kama Kristo alivyolipenda Kanisa". Hizo amri mbili zimebeba karibu maagizo yote katika torati... Yesu ndiye aliyekuwa wa kwanza kuiharifu sabato na akasema kabisa amwaniye yeye ndiye Bwana wa sabato na atapata pumziko. Waliojifanya kwamba wanashika sabato ndio waliomuua kwa kuivunja sabato. Hivi bado tu waamini wa sabato hamshituki? Lakini mkimpokea Yesu kumruhusu afanyike Bwana na mwokozi kisha kujazwa Roho Mtakatifu atawafundisha na kuwaweka katika kweli yote hamtang'ang'ania sabato huku uovu mwingine unaendelea... Kushika siku havitatuhudhurisha mbele za Mungu kama ilivyo kwa mambo mengine ya vyakula vinavyoingia tumboni na kutoka nje kama makapi... Kuwa ndani ya Yesu ndiyo raha ya sabato Someni WaEbrania. 4:1-11 utaelewa na Mungu atusaidie sana...
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 17 часов назад
Acheni Mungu aitwe Mungu. Waasisi wa Waadventista Wasabato Elen G. White na wenzake walitabiri Yesu kurudi miaka Mingi lakini utabiri wao ulikuwa batili. Kwahiyo tumtafute Mungu maadamu anapatikana. Kama uko kinyume na Mungu nafsi iliyoko ndani Yako itakuhukumu mara moja.
@VascoKasambala
@VascoKasambala 10 дней назад
WASABATO WANAONGOZA KUA NA ROHO MBAYA TANZANIA FANYENI UTAFTI WAO WAMESHIKA SKU TU SIO MENNGINE WANAIJUA AMRI MOJA TU
@zakayomwalongo9330
@zakayomwalongo9330 2 дня назад
@@VascoKasambala ndugu ukiambiwa ukwrl ambao uko kwenyr biblia kubali kubadilika usimwambie mtu anaekwambia ukwel et ana roho mbaya. acha kufwatilia wachungaji au viongoz wa dini . ni wakati wa kurudi kwenye biblia
@BoazJacob-y1t
@BoazJacob-y1t День назад
Kwenye maana kuhusu sabato, maelezo hayo umechemka pastor Mungu akusaidie uelewe tuu
@fredlyimo1263
@fredlyimo1263 6 дней назад
Tunawahitaji sana wazee km hawa Mungu atujaalie neema hyo ishi sana na hekima nyingi mzee ananja.
@sabatomafwele1495
@sabatomafwele1495 10 дней назад
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
@sospeterlaurent4428
@sospeterlaurent4428 8 дней назад
Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko
@charlesmpambwe5055
@charlesmpambwe5055 2 дня назад
Yesu aliuawa na washika Sabato... Sabato aliikuta na alienda kuwafuata huko ili kuwafundisha kweli na hakupumzika siku hiyo alufanyakazi kama kawaida ndio maana akaoneka siyo mtu wa Mungu kwa sababu hakuishika sabato...wakamuua...
@charlesmpambwe5055
@charlesmpambwe5055 2 дня назад
Soma Mathayo 12:1-2,5,10-12,21. Marko 1:21; 2:23,24; 3:2.... Injili zote ukizisoma kwa mtizamo wa kutaka kujifunza kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa... Pumzika siku yoyote utakatifu tu Katika Kristo Yesu ndo utakaokuokoa usiende katika ziwa la moto...
@user-ux7kg2bw9l
@user-ux7kg2bw9l 5 дней назад
MAELEZO YAKO YAMENIFANYA NIJUE SIKU YA SABATO NI JUMAMOSI AHSANTE
@JanethAnton-fx1mk
@JanethAnton-fx1mk 14 дней назад
Naomba muweke mdahalo na mwalimu Ndacha sio unajificha kwa kichaka
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 14 дней назад
Huyo ndacha mwenyewe chizi Yani wakristo wote wamechanganyikiwa waisilamu wanaabudu kilasiku acheni kudanyanyana mbona mnaipenda uwongo sana kwani hamtuoni tukianda msikitini kilasiku yanikilakitu kweni niubishitu kitu mnakiona pia lakini bado tumtabusha yesu anasema yeye nimwana wa a damu nyinyi mnasema hapana wewe nimwana wa mungu kazi mnayo
@user-mw3oq4vz6k
@user-mw3oq4vz6k 14 дней назад
Ndacha ndio unae mwamin sana kwamba yeye ndio anajua kula k2 acha izo ww
@petromachanga5538
@petromachanga5538 13 дней назад
Ndasha chiZi
@Wamisangi
@Wamisangi 13 дней назад
Ndacha anaijua kuran kwa msaada wa majini wema.
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 13 дней назад
@@zaidiissa3714 kasome vizuri bibilia
@BoazJacob-y1t
@BoazJacob-y1t День назад
Maelezo kuhusu sabato umechemka Mungu akusaidie tuu
@AlfaMwahasanga-j1q
@AlfaMwahasanga-j1q 10 дней назад
Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi
@mkoyitz2448
@mkoyitz2448 14 дней назад
Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 13 дней назад
Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada
@aquinomsigwa6998
@aquinomsigwa6998 12 дней назад
Acha dhambi
@aquinomsigwa6998
@aquinomsigwa6998 12 дней назад
Iabudu siku
@prochesernest5439
@prochesernest5439 12 дней назад
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
@judithminja770
@judithminja770 11 дней назад
@@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah
@abdallahsiraji9919
@abdallahsiraji9919 День назад
Waislam WANASWALI au WANAABUDU kila Siku na sio Ijumaa tu.... Ijumaa ni Siku kubwa tu ya Ibada..
@user-ct1qp3th5f
@user-ct1qp3th5f День назад
Hananja , unawapotosha watu kwa kuchanganya ceremonial laws na Moral Laws. Ninyi endeleeni na mapokeo yenu, lakini jueni Neno la Mungu litasimama.
@isacklyanga5835
@isacklyanga5835 3 дня назад
Nzee huyu hajui Biblia,dhambi ni uasi wa sheria ya Mungu
@timothmatiku6115
@timothmatiku6115 День назад
Saturday ni jina liliotokana na miungu ya kirumi na kigiriki Saturn day likimaanisha Mungu wa Mauaji au Mungu wa uharibifu.
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 18 часов назад
Nimekuelewa kabisa mchungaji Hananja.
@Jonathankaghese
@Jonathankaghese 14 дней назад
Mungu awabariki
@charlesmaina-t4m
@charlesmaina-t4m 8 часов назад
Hananja uwasomee akolosai 2:16 wajue hamna sabato YESU ndiye sabato.
@JeremiahMtaki-u5t
@JeremiahMtaki-u5t 20 часов назад
Mungu siyo kigeugeu, malaki 3:6, yesu hakuja kutangua torati mathayo 5:17
@samsonpopat1474
@samsonpopat1474 17 часов назад
Amri kumi ndo kiooo sabato ni amri ya mwenyezi Mungu siku ya jpli ni siku ya kwanza ya juma hiyo ni Biblia
@davidndyamukama3148
@davidndyamukama3148 2 дня назад
Kasema: Utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu. Kataja baadhi ya mambo ya ki Mungu.
@ivanbusumbiro6429
@ivanbusumbiro6429 7 дней назад
Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.
@PaulRuben-eu5nh
@PaulRuben-eu5nh 13 дней назад
Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 13 дней назад
Wewe potosha wenye hawajui maandiko
@denismugisha2
@denismugisha2 10 дней назад
Haya twambie wewe unayesoma na kujua neno, mitume walisali sabato ipi na wapi baada ya BWANA kufufuka na kupaa mbinguni
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 18 часов назад
Mmmmmmh sasa naelewa mitume na manabii hawa wanajitafutia utukufu wao.
@davidmguji4409
@davidmguji4409 21 час назад
Mchungaji unakiri kuwa hizi dini sisi tumeletewa. Je, kabla sisi tulikuwa na dini gani. Na je, mpagani na mdini ktk ulimwengu nani ana nguvu kubwa. Maana tulikuwa tunashuhudia mababu walikuwa wanaleta mvua na miujiza mingine lakini kwa hizi dini mbona hatujawahi kuona hivi vitu vinatokea. Kweli kusali ni siri ya mtu siyo kujitangaza au kumzomea mtu kuwa hasali.
@isseshedrack1071
@isseshedrack1071 3 дня назад
Mmefanya hivyo, jumapili kwa maelekezo ya nani? Kama Mungu haangalio siku, juma2 acheni nayo na yenyewe siku
@user-ov6nq2wp6w
@user-ov6nq2wp6w 6 дней назад
Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.
@ColneryWella
@ColneryWella День назад
Sasa hananja naomba kufaham kama sabato ni kulusha jiwe linapo ishia asoteke mazingila hayo sasa wanafikaje makanisani na wanafikaje huko kusali siku ya sabato
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w 14 дней назад
Amina
@laickwilinerd5375
@laickwilinerd5375 10 дней назад
Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 8 дней назад
Nakubali Sana mzee wng
@panduafricangiant4902
@panduafricangiant4902 9 дней назад
Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu
@Ayyub_Semtawa
@Ayyub_Semtawa 14 дней назад
Naamini majibu yako ndio akili yako ya mwisho kufikiria Ukiulizwa swali jibu kwa kujenga hoja yenye ushahidi wa maandiko
@kambaragemuya8167
@kambaragemuya8167 13 дней назад
Ukifuata maandiko, hakuna aliyekuwepo wkt dunia uumbaji, wala kalenda hazikuwepo, kwa hiyo majina ya siku yametungwa hivi karibuni na siku za mwaka zimekuwa established juzijuzi, hivyo siku yoyote inaweza kuwa siku ya saba, huko nyuma kulikuwa hakuna week wala mwezi, ilikuwa majira tu!
@MichaelMagige
@MichaelMagige 16 часов назад
Tufuate Biblia inavyosema,Ni kweli kabisa Sabato haimpeleki mtu mbinguni,lakini Mungu aliweka Sabato kwa ajili Wanadamu,Yesu alipumzika cku ya Sabato,mitume wote,waliingia katika sinagogi cku ya Saba,Hananja anajifaliji tu tu
@user-px7qw3hs2h
@user-px7qw3hs2h 9 дней назад
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
@RichardMachuki
@RichardMachuki 9 дней назад
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
@Mchitaman-vs1lc
@Mchitaman-vs1lc 4 дня назад
Hajawambia muach sabato ila je mnafat maandiko ya sabato ekewe kitu ndo ujibu
@MeshackMisungwi-w8q
@MeshackMisungwi-w8q 10 дней назад
Pole sana mzee somo gumu kwako
@ScardySangah
@ScardySangah 4 дня назад
@@MeshackMisungwi-w8q ni vigum kumuelewa mchungaji Hananja, ila ukimuelewa utauona ukweli wa hiki anachokizungumzia.
@PaulChambala
@PaulChambala 12 дней назад
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
@albertvalentino130
@albertvalentino130 13 дней назад
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
@chillogeorge1383
@chillogeorge1383 13 дней назад
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili. Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
@georgesamweli9852
@georgesamweli9852 13 дней назад
Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.
@solomonmugao4733
@solomonmugao4733 10 дней назад
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
@ahz6907
@ahz6907 9 дней назад
​@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.
@msemakweli243
@msemakweli243 14 дней назад
Sasa hapo inabidi ujiulize wakati yesu yupo hai amri na sheria alizitii nyinyi shangwe baada ya kufufuka aingii akilini
@lwezaurawilliam4498
@lwezaurawilliam4498 12 дней назад
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada WAKOLOSAI 2:18 YOHANA 2:21-22 YEREMIA 31:31-34. WAEBRANIA 10.
@pascopaul909
@pascopaul909 8 дней назад
nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko
@zakayomwalongo9330
@zakayomwalongo9330 2 дня назад
kiini cha ibada kwa Mungu ni siku ya sabato
@user-gg9xo8lf8w
@user-gg9xo8lf8w 3 дня назад
Hatari, ati anasema wakati mwingine utawala wa dunia una nguvu kuliko utawala wa Mungu. Watu wa Mungu tuwe makinieeee.
@davidndyamukama3148
@davidndyamukama3148 2 дня назад
Amesema, utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu
@machindafadhili3186
@machindafadhili3186 13 дней назад
KWAIYO UMEAMUA KUVUNJA AMRI YA MUNGU? KWA NINI MSIVUNJE AMRI YA 5 YA WAESHIMU BABA NA MAMA ILI SIKU ZAKO ZIPATE KUONGEZEKA. HACHENI UPOTOSHAJI MZEE
@sospeterlaurent4428
@sospeterlaurent4428 8 дней назад
Hakuna amli iliyovunjwa ilabiblia imegawanyika ko jitaidi kumuelewa mzee
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 3 дня назад
Umuhimu nikujikumbusha kufufuka kwa Yesu sio jumamosi jameni. Mchungaji uko sahihi kabisa
@georgesamweli9852
@georgesamweli9852 13 дней назад
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
@mpandandaki
@mpandandaki 7 дней назад
Hananja Acha kupotosha watu elezea uhalisia WA biblia ulivyo,sabato NI Dini ya Mungu na ndiyo daraja la kukufikisha Kwa Mungu hiyo ni amri ya Mungu unayoongea hayo unapitosha watu,wapi biblia inasema jumapili NI siku ya ushindi? Tupe andiko Acha kubwabwaja
@JanethAnton-fx1mk
@JanethAnton-fx1mk 14 дней назад
Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 14 дней назад
kbs kbs umenena
@venancenkoronko9250
@venancenkoronko9250 14 дней назад
Na utajuej kama unafuata kilicho sahihi?
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 14 дней назад
@@venancenkoronko9250 mm najuwa maana mm na amini biblia pekee yake
@Abudulungazah-zf8ii
@Abudulungazah-zf8ii 8 дней назад
Watu wangu watapotea kw kukosa maarifa
@joseaugust2805
@joseaugust2805 14 дней назад
Hesabu 15:32-36 Mathayo 12:1-21 Wagalatia 2:1-21 Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,. Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu , Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
@abdallahhamisiiddi4513
@abdallahhamisiiddi4513 17 часов назад
Ukiona Mungu kapumzika ujuwe niwamchongo
@KelvinOmbeniMathew
@KelvinOmbeniMathew 7 дней назад
Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12
@ibrahimwigina
@ibrahimwigina 6 дней назад
@@KelvinOmbeniMathew Kaka, usidokoe dokoe baadhi ya vifungu na kuvisimamia hivyo tu. Hakikisha unasoma Biblia yoyote, soma pia na WAKOLOSAI 2:16
@ibrahimwigina
@ibrahimwigina 6 дней назад
Ndugu soma Biblia yote. WAKOLOSAI 2:16
@lwiticomwalukumba4148
@lwiticomwalukumba4148 День назад
amesema sawa sali unapojisikia
@AneckAdronico-p2k
@AneckAdronico-p2k 11 дней назад
Somo zuri mch.
@DavidMujimba
@DavidMujimba 13 дней назад
uko sawa mchungaji
@JonasMathias-s6m
@JonasMathias-s6m 13 дней назад
Ubalikiwe mtumishi
@PaulRuben-eu5nh
@PaulRuben-eu5nh 13 дней назад
Amina sana
@PaulChambala
@PaulChambala 12 дней назад
We nae acha uxhabiki
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 14 дней назад
Shida huna andiko
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 14 дней назад
Type wewe andiko
@GodfreyMwendawila-ff7on
@GodfreyMwendawila-ff7on 10 дней назад
Nakuelewa sana
@user-rk6wu2gw1n
@user-rk6wu2gw1n 14 дней назад
This one is a believer of sun worship(shetani)....
@denismugisha2
@denismugisha2 10 дней назад
Constantine alitangaza jumapili wakati huo mitume wa Yesu walishaanza kuumega makate siku ya kwanza ya juma huku wakisakamwa na wayaudi wazee wa sabato, kwa hiyo ukisema costantino unakosea
@obedilizer3412
@obedilizer3412 8 дней назад
Endelea kujidanganya.wee sema hakuna sabato shauri yako.ila ni vyema kutokuwapotosha wengine maana ni mbaya sana huko unapotea.Mungu akisema Jambo usitafute uchochoro.Kumbuka hata gharika iliwakumba watu kwa kua hawakutaka kumsikiliza wakapona 8 kati ya watu zaidi ya billion 11 Sasa wewe endelea kushangilia kufufuka wakati hakuibadilisha
@AudaxNgarama
@AudaxNgarama 3 часа назад
Hapo ni kusali Kila siku
@williamgabrielmassawe3654
@williamgabrielmassawe3654 14 дней назад
Mchungaji Hananja ni Mgodi unaoishi
@JohnMashamba
@JohnMashamba 9 дней назад
Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 13 дней назад
Mchungaji hananja kwa mengine uko sahihi na ndio imani yetu sisi waisilamu na hio iko sawa kabisa
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 7 дней назад
Mchungaji unajichanganya maana wewe unasema hizi dini tumeletewa tu na sasa mbona unasema unaiamini biblia wakati wenzako walioisoma zamani na wakaleta imani hauwaamin
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 13 дней назад
Kwa mara ya kwanza naona mzee wetu anapanic 😂, mzee umenikata leo😢
@andrekaforha4454
@andrekaforha4454 5 дней назад
Biblia inasema je . Tufwate muelekezo ya Biblia siyo maoni ya watu!
@MaryBuzingo
@MaryBuzingo 13 дней назад
Mzee umechemka,hiyo amri inasema mungu alistarehe,aliibariki,Sasa mbona unapingana naye,Rudi kwenye maandikoa.
@josykogei7647
@josykogei7647 12 дней назад
Usimpinge hananja maandiko Inatuambia yesu NDIYE BWANA wa sabato Sasa kila siku ni siku ya MUNGU
@josykogei7647
@josykogei7647 12 дней назад
Anasema ROHO ni Moja ila utendaji ni tofauti amen amen
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 12 дней назад
Wasabato wamechemka .
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 12 дней назад
​@@josykogei7647wasabato wote ni vichwa maji ,
@Abudulungazah-zf8ii
@Abudulungazah-zf8ii 8 дней назад
Kutatokea makrisot wa uwugo
@joseaugust2805
@joseaugust2805 14 дней назад
Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake , Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style , Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,. Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 14 дней назад
Waislamu wanaabudu majini na Allah ni Giza sisi ni Nuru ijumaa ni yao sisi haitihusu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 14 дней назад
Ni giza kwa lugha gani?
@ashrafnuru6402
@ashrafnuru6402 13 дней назад
Kafiri ni kafiri tu ndo maaana anaenda chooni na makaratasi,
@josephlorri431
@josephlorri431 12 дней назад
Hata ukitawaza kwa dawa na kupiga perfume kinyeo chako..bado kitazikwa ardhini.. dini ni imani,usafi wa roho yako ndo muhimu ​@@ashrafnuru6402
@user13375
@user13375 14 дней назад
😮
@emmanuelpeter6742
@emmanuelpeter6742 12 дней назад
Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza
@emmanuelpeter6742
@emmanuelpeter6742 12 дней назад
Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato
@JohariLozano
@JohariLozano 14 дней назад
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
@Wamisangi
@Wamisangi 13 дней назад
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote. 1Wakorintho 15:14 Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma. Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 12 дней назад
SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.
@AlexMungathia
@AlexMungathia 9 дней назад
Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu
@AmosKusaga
@AmosKusaga 17 часов назад
Kutoka 12:16 hakuna kupika wapi tuache kuisingizia biblia
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 12 дней назад
Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9
@jacobnghwani1891
@jacobnghwani1891 7 дней назад
Umesaidia wengi sana hasa uliposema wanadamu kitu hasa tunatakiwa ni tumwamini zaidi siyo kumdodosa, wasabato punguzeni ubishi hakuna aliewahi kufa akarudi
@ahz6907
@ahz6907 9 дней назад
Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote. Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.
@rickiefisher1085
@rickiefisher1085 7 дней назад
kama unaamin dini zililetwa unapataje Imani kwenye Mungu na dhambi
@Life10061
@Life10061 12 дней назад
BABA USIWE NA KUKUMBUSHIA KILA WAKATI KUHUSU MTOTO WAKO KUAWA ,BASI TU SAMEHE RUHUSU MUNGU MPE NAFASI YAKE MUNGU ,WEWE SIYO KESI YAKO TENA HIYO ..UKIMUACHIA MUNGU INAKUWA KESI YA MUNGU NA WALIO UA MTOTO WAKO
@MageniDaniel-jl5nh
@MageniDaniel-jl5nh 13 дней назад
Et siku bora kwako ni ipi siku ya ushindi swali ni maelekezo ya Mungu??
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 13 дней назад
Dah waongo wanatia huruma kweli
@isaacwafula7792
@isaacwafula7792 13 дней назад
siku sio siku tu Bali kunasiku imebarikiwa kuliko zote na ni jumanozi uwezi jiwekea siku kwani ni yako mungu aeshimiwe na Sheria zifuatwe ,huyu mchungaji tunamtaka Kwa mdhalo 19-16yesu anasema ukitaka kuenda binguni lazima ushike amri,na yakobo 2,10 ukivunja Moja umezivunja zote
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 8 дней назад
Kanisa Katolic wanasema Sunday is mark of our authority je Kuna uhusiano gani kati ya siku ya jumapil na ukatoriki?
@obedilizer3412
@obedilizer3412 8 дней назад
Wewe jitokeza ufanye mdahalo na ndacha uelewe maandiko maana umeanza kupotoka Soma kutoka 20:8-11 Kama Mungu hakustarehe au unatumia biblia yako
@BenardPaul-t4x
@BenardPaul-t4x 12 дней назад
Mungu akubali mch hananja
@isayalemberua9195
@isayalemberua9195 12 дней назад
kwa kweli unajibu sawasawa
@GeorgeMjema
@GeorgeMjema 8 дней назад
Huyu tunamjua kwa comedian zake.
@user-wm9hr7fx9l
@user-wm9hr7fx9l 11 дней назад
😂😂😂 unajificha kwenye shina la karanga wakirsto ndio huwa wanapotezwa na wachungaji acha kupotosha
@emmanuelpeter6742
@emmanuelpeter6742 12 дней назад
Maandiko yanasema sabado ni Kwa waisrael na vizazi vyao vyote,pia mungu ni mmoja tu, ila anatenda kazi kupitia mwana , na roho takatifu
@elishampoki8751
@elishampoki8751 14 дней назад
Wasabato wanaikosea sana siku ya sabato waliambiwa na Mungu wapumzike baada ya kufanya kazi siku sita wasabato hawapumziki ila wanakwenda kusali kwenye nyumba za ibada , hapo upumziki umeabudu ,
@msemakweli243
@msemakweli243 14 дней назад
Kwenda kusali ni kufanya kazi?
@DannyJoseph-dr1ep
@DannyJoseph-dr1ep 14 дней назад
Mzee unasoma maandiko nusu nusu , sabato ni siku ya kusanyiko takatifu ndio siku ya kufanya ibaada na sio kazi
@PaulChambala
@PaulChambala 12 дней назад
Miongon mwawatu hawaelewi niwewe ipo iv Mungu alixema tupumzike kwakaz zetu lakin kwakaz ya Mungu tunapiga
@DannyJoseph-dr1ep
@DannyJoseph-dr1ep 12 дней назад
@@PaulChambala . Mzee tofautisha kati ya kaz zako na kaz ya Mungu ,siku zote huwez kukusanyika kwa ajl ya ibada ,sasa swal kwako ni siku ipi n ya ibada na sio kaz ?
Далее
СДЕЛАЛА БРЕКЕТЫ ДОМА
01:01
Просмотров 920 тыс.
В GEOMETRY DASH СДЕЛАЛИ GTA
00:27
Просмотров 380 тыс.
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20