Ndacha mungu akubariki sana umefanya tunawashinda waislamu wameanza kuingiza baridi,wakristo tumeanza kua mbele,mungu akulinde na akupe maisha marefu na guvu ya elimu na afia tumalize uwislamu huu,
@@JohnOuya-w7j kuumaliza uislamu ndilo lengo Lake shetani lakini shetani hawezi mshinda MUNGU alo muumba hata siku moja. Nikiwa na maana Dini ya uislamu ni Dini alo tuchagulia MUNGU hakuna wakuushusha uislamu.
Ndacha injili ya mungu iendelee mbele ktk jna la Yesu shafii ni Mwoga hkuna kitu anajua Quran Muhammad aliyesomea Mjini na kusilimisha Shetani hkuna kurudi nyuma mpaka Kieleweka maneno yao hasikutishe ss ni Yesu Kristo basi
Huyu kijana mwandishi namkubari pia kwa mpangilio wa maswari yake 'utaeda mbali MUNGU akutangulie. Ubarikiwe pia mtumishi Ndacha kwa mikakati hii ya kutufudisha maadiko ubarìkiwe sana MUNGU akutangulie.
Mungu hajaandika kitabu kinaitwa biblia biblia ni nini na wapi andiko mungu hajakiandika wewe mtoto wa muta? Kama siyo adui wa jibril aliyeshusha quran toa andiko mungu aliandika.
Waambie kweli wape kweli ya mungu ya juu hakun mtu anae yajua maandiko dunian wazungu wanashindwa kujibu wewe unaweza sule kakushindw kuusu uungu mazinge kakushindw hao walimu wa kiisilamu wakikufata fata watasilimu bola wake kimya tu
Ndacha kuwabadili waislamu utachelewa sana labda awe hajatokea katika mifupa ya muislam. Tatizo lako ww huna hoja ila unapindisha maandiko..muislam hawezi kumtukana yesu wala manabii wengine wa Mungu ila nyie ndio mnamtukana yesu.
Kweli kabisa hafii hana elimu hata kidogo. Me namfatilia ila hatumii maandiko hata kidogo anatumia maneno yake kichwani. Yani ye analeta umbea badala alete maandiko yao yanasemaje kwa kupiga hoja anazopewa. Ye anatoa maneno kichwani.😂😂😂 Ndacha elimu imelala na anajiamini sana. Shafii mbwembwe kibao😂
Poster ndacha mungu akusamehe na akuongoze uione njia,uuji uislamu na huna hata robo ya elimu ya dinin uislamu mungu ni mmja na hakuna mungu isipokuwa yeye msimamo ni huo,
Walitudanganya sana wakristo wa tanzania wakina sule na mazinge wakampinga kristo wakina mwaipopo wakasilimu kwakua hawakujua maandiko sasa kumbe uislam ni uwongo hoja zako hawagusi wape habari njema 😢😢😢😢😢😢😂
2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Hoja zandacha nindogo Sana, Ila kwakuwa Wahadhiri wetu niwavivu wakusoma vitabu vyakiislaam, wao wamediri Sana kusoma Qur-an na Bible tu, nakwahali hiyo hawatomiweza ndacha kwasababu ndacha anapitia sana vitabu vyawaislaam, maana hizo hoja anazozijenga nindogo sana vitabu vyakiislaam vikowazi navimekunjuliwa maana zake, maana hizo hoja anazozipinga Shafy nikweli zipo ila uwelewa wandacha2 mdogo, Sasa alitakiwa apatikane muhadhiri mwenye elimu mzuri wahadithi amnyoonye vizuuri
Yaani wewe umenikosha,,nikweli ulivyosema!!!!ila kunakitu hujamalizia kusema kuwa wahathir wenu niwazeee wa mshahara....ndio kama akina Sule"wanatembelea mashangingi,mwenzio anasoma...
Ndacha si lolote wala si chochote kakalia ubishi tu anawabisha hadi wakristo wenzake sabato si dini sabato ni siku Docta sule mwenyewe kamshinda Ndacha kwa hoja Mwalim ndacha rudi shuleni
Ndacha haumueez shafii hata kidogo,maana yeye hanaga kuungaunga kama wewe,tunachojivunia sisi waisalaam ni vitu viwili tu ambavyo tumepewa ambavyo ndio muongozo kwa kila muislaam,navyo ni QURAN na Sunnah, ukija kichwa kichwa tu na kuparamia viwili hivyo bila kusomeshwa ukajisomesha mwenyewe basi lazima upotee kama huyu ndacha na group lake.
Ndacha ww wacha mchezo,ww na msomaji wako,mm ni Muislam lakini nawakubali sana akina Yohana omari,lakini sio ww,hufanyi mjadala kufundisha watu bali kuharibu maandiko kabsaa,unasoma andiko alafu mnaanza kujibizana na msomaji wako,andiko linasema vingine ww na msomaji wako malnaingiza mambo mengine...alafu unapenda sana maneno ya mtaani ya uzushi..huko si kufunza watu...unaboesha sana
ndo maana unaambiwa acha vitu vya Kuokoteza okoteza, sasa unanukuu maneno ya mtu kisha unasema hiyo ni dalili ilihali huyo mtu hakunukuu hayo maneno kutoka kwenye reference yoyote, hili nalo ropokaji
Huyu ndacha aisee ni mtihani anaonekana hana akili timamu Sasa kama hicho kitabu kimeandikwa wananukuu katika hadithi sahihi vitabu vya hadithi sahihi vipo kwa nini usilete hicho kitabu cha hadithi unaleta kitabu cha babu sijui ulimwengu wa majini halafu anaonekana ana hoja
Ikisha ndacha unajichanganya, unasema tafsiri ya ahmadiyya haikubaliki kwa sunni ikisha hiyohiyo unakuja kuitumia kwa defend sasa hao wafuasi wako wafahamishe wafahamu huo uongo wako
SHAFFII MUOGA😂😂😂 KESHAONA ATADHALILIKA,HAKUNA DEBATE YA KUCHAGUA VITABU😂😂😂😂 HADITHI NA QURAN ZOTE NDIO MSINGI WA UISLAMU SASA ANAANZA KURUKARUKA KAMA MAHARAGE KWENYE SUFURIA
Ukristo umetokana na ukatoliki ,ukatoliki umetokana na roman empire tangu kwenye vitabu vyenu ,na ukatoliki ndio unatangaza ushoga duniani ,jitambueni ,ukija kwa lutheran nitakupa hoja ukija kwa matayo nitakupa hoja ukija paulo nitakupa hoja.....
😂😂😂😂😂 yaan ndio nazid kuamin maamuz ya kuhama Ukristo nilikuwa sahihi, yaan nimesikiliza maneno Shekh Shafii nime msikia na Ndacha😂😂😂halafu kwenye comment wakristo wanajifarij
Wewe humsikilizi ndacha ili uelewe, au huenda jini karini anakutoa akili ukianza kumsikiliza, yani hata kiziwi akimsikiliza ndacha bila ushabiki anamuelewa 😂😂
Yule muratad paulo ipo clip yake RU-vid anaelezea kilichompeleka ukristo anaongea mwenyewe na jinsi wanavyopindisha hakuna mkristo anaweza kumuingiza muislam aliesoma kwa hoja ndacha kilaza na muongo maandiko mengi anaongopa
ustadh shafii yuko sahh, ww ndacha unapenda kutumia vitabu vya vichochoron kusambaza uongo kw lengo la kupotosha watu, tembeen kwnye biblia, Quran na vitabu sahh vya hadith uone km utachukua round, acha uongo utaenda chomwa
Yan ww umechanganyikiwa kwel wap yesu anasema najuwa Quran ?wap yes kasoma sura za Quran?wap yesu kaenda maka kuiji kama waislamu wanavofanya ili awe kwel muislamu kama ulivosema?acha kukariri najua ulichokalilishwa nakungoja
@@FrankAloyce-ic6rq ndo mana mnaambiwa msome, sasa yesu ameteremshiwa injili kwa wakati sio quran, ni sawa nakusema wapi Mussa alisoma injil au daudi alisoma injil hivyo huwezi kupata ila yesu ni yake lkn biblia haijuwi...soma uelewe kama hujui tafuta mwalimu usibishe ulichokuwa hujui ikisha unajiona unajuwa
Kuna watu wanaitwa Ahlu hadith waliobobea kwenye elimu ya Hadith ya kuweza kuchambua Hadith kujua Hadith na daraja lake, wewe mropokaji wa Kuokoteza okoteza vitu hauyajuwi hayo
Then mungu aliteremsha torati kwa musa,akatemsha zaburi kwa dauudi na yesu(isa)akateremshia injili,ikikusanywa pamoja inaitwa bibilia Nathani umeelewa sasa
Kitabu cha wenye akili ndio Ilo bíblia la upotofu? Wacha upagani wewe ndacha. Tena ukime. Biblia ni kitabu cha wajinga na maneno yote Kwa kireno tunaita poesia. Tânia ni kama nyimbo za wasanii.
Ndacha wewe unachojua ni kuweka viraka huna hoja shafii fundi ikitaka dizaini yoyote anakushonea lakini ndacha fundi viraka hana ilm ata anza kutukana mitume
Wewe uanamuona shafii anajua sababu hujui chochote zaidi ya usihabiki, ila mwenye uelewa akiwasikiliza anagundua shafii ni janjajanja tu na mashabiki zake ndio nyie😂
Sasa mugahalo ufanye wewe ikiwa Huna kitabu wewe ,,sema kitabu gani unacho unacho kifwata wewe ,,wacha nikuuleze basi ikiwa no biblia basi hiyo biblia mwanzo hata hakitambuliki kwanini nasema hivyo mwanzo hio ni translation of translation of translation of translation of translation of translation,,sasa unakuja na kitu translation hata hujui mwanzo wake iko wapi kabisa hujui wala hujaiona wala hutaiona sasa kuna faida gani hapo ati kujadiliana hio ni waist of time unafwata kitu hata hukijui ,,lakini tuje kwa quran iko original na tafsiri yake kitu kiko sawa
Na wewe tafakari hii, hiyo Biblia ambayo unasema ina translation nyingi iliandikwa kabla ya quran, sasa swali la kujiuliza kwa nini hiyo hiyo Biblia maandiko yaliyoandikwa humo na quran imekuja kuyaandika hayo hayo? Kwa hiyo hii inamaanisha walioandika Biblia waliongozwa na Mungu na walikuwa sahihi mpaka quran ikakopi yaleyale 😂😂 Ila mnadanganywa eti Mungu alimtuma malaika kuishusha quran,kwa hiyo malaika alikuwa anashusha maandiko ambayo yapo kwenye Biblia ambayo ilikuwepo hata kabla ya Mohamad , halafu mnasema wahyi 😂, someni vitabu vyenu vizuri mtajua mlipopotezwa 😂
@@mobutu3884 ati quran imekopi kitu cha translation of translation of translation of translation,,,quran iko madhubuti haina upungufu hata kidgo inekamilika mkamiliko wakisawa mwenye ezi ashasema yeye ndio atahifadhi quran na paka sasa million of million wamehifadhi quran hata ikapotezwa hio quran,,sasa hivi iteregeshwa manake watu wanaisoma bila kuiona hio quran,,tuje biblia maskini ikipotea ndio imepotea ,,hivi tiari imepotea imebaki hio translation of translation of translation hata hamujui mumeandikiwa nini nani ameandika hajulikani nini author hakuna hakuna amjuae author hata ni aibu kitabu hakina author pengine hata hujui hivo nanajua hujui hio wewe poleni sana