Mjomba umesema ukweli, Yanga hawana uoga wowote hata kama watafungwa itakuwa ni kizidiwa mbinu tu! Nakumbuka wakati Yanga wamepangwa kucheza na Mamelod Sundowns kwenye robo fainali ya CAFCL wengi walisahau mambo yao yote na kupiga domo kuwa Yanga wataloa magoli, lakini kilichotokea marefa na CAF ndio wana mjibu...