Football doesn't operate more on theory it need more practices , consistently ,and good chemistry among players , so players must take their time for preparation right now, God bless Tanzania 🇹🇿 God bless young African 💛💚 I real wish young to lead in the group stages 🙏
Ila wee jamaa, kwahiyo Simba kapangiwa Team zenye majina ya watu, team zenye majina yake ni kama madawa🤣🤣, team zenye majina ya vichocholoni🤣.... Yaan Kwamba Bravoh ni Nomino duuuh Shekheeeh Bas tusamehe tuache na Simba yetu🤣🤣
Kamwe wewe haichezi.. kundi hili ni gumu.. japo majina ni mepesi mepesi huu ni mpira usitengeneneze mazingira magumu kwa timu mpira una mchezo mchafu tusije tukajikuta na kulia....😂😂😂😂
Kwweli kabisa Ali hilali Ina wachezaji wazuri Sana na Wana fitnes kubwa kwahiyo yanga yetu wasiwe na maneno bila vitendo tuna tuungane tena kweli kweli wanayanga wenzangu
Huyu ni mwehu mwandishi amekuuliza kuhusu vilabu vya Tanzania !! ligi haikupandishwa ubora kwasababu ya simba? Watu kama hawa ndio wanatukanisha vipofu! Kwa kauli ya kipofu akiona mwezi.....
Nimescreenshort sms yako,yani nilijua pengine unazungumzia TP Mazembe mwenye kisasi na sisi na kwa namna alivyojiimarisha,kumbe unahenyeka na Al Hilal?