wanawaomba w/nchi kura ili wakale wenyewe, wakishachaguliwa wanatuangalia kama sio wazawa, kuja kwao ni kura tuu..sie tukienda kuomba haki zetu wanatufukuza. Mungu Tusimamie MUngu wangu
Tatizo uchawa kiasi hakuna kutwnda bila kutaja mtu hilo ndo linawapa shida. Fanya kazi kwa uwezo wako na kwa kufuata sheria na maelekezo kama yapo kwa uwezo wako pasi na kutaja aliyekutuma kwa sababu hakuna the one man show bali uqajibikaji wa pamoja
Sijui anajichekesha nini wakati wapiga kura wana maamuzi labda ccm impitishe kwa uchafuzi tu mana mlijua Mbeya ina mwenyewe, mkambananisha kwa nguvu ati mzaliwa. Hata huko uwezekano mdogo safari hii labda atangazwe tu na chombo chenu...
Hata pua ya mlevi wa Akili inaongozwa na akili sio uwezo wa kunusa iliyonao Sugu ni Sugu Tulia ni Tulia vitu viwili tofauti SANA ni Ajabu kipofu kubishana na mwenye UONI
INATAKIWA NCHI NZIMA ISICHAGUE CCM HATA KURA MOJA KWA WABUNGE,,IWE WAPINZANI TUU wakatuongelee bunge mle. Tuone kama Samia atabana hela kusipelekwe maendeleo kokote..CCM bhana wanatuchosha kweli hawa
@@DiwaniMwafongo utumwa wa fikra wepesi wa Mtazamo huu sio wakati wa komaa kamanda swaga nyingi umeshapita Chawa hufikili Kila mwenye Mtazamo tofauti ni Kama yy kisa bosi kapingwa povu unafikili kingereza ndio usomi au ndio ujuaji bc wachina wangekuwa gizani afazari ungebaki na ukana nongi wako ungeonekana wa maana uchawa wako unabadilisha utajo wako