Тёмный

MCHUNGAJI MGOGO; NILIDHARAULIWA/NILIMWAGIWA POMBE/KISA MWILI WANGU/RAISI MAGUFULI ANANIFATILIA 

Dizzim Online
Подписаться 769 тыс.
Просмотров 207 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 250   
@salimalimasi1326
@salimalimasi1326 4 года назад
Napenda sana iyi interview nimependa ujumbe uliomo , na dada ulio apo Mungu akubariki vile unavyo jistiri . Umevaa vizuri sana , unadamsh comfortably and elegant . Ukweli umesemwa , unaushuhuda mzuri Pastor wetu . Utafika mbali sana
@blasioshitsirishibachi9739
@blasioshitsirishibachi9739 2 года назад
Huduma yako ni first class. Naomba ifanye na masters kabisa katika kazi ya uinjilist. Nakuoembea sana Mungu aendelee kukuinua
@gladyschiringa5959
@gladyschiringa5959 4 года назад
Ahsante Mch.Mgogo ushuda wako umenijenga Mungu akubariki.
@victoriamallago8307
@victoriamallago8307 6 месяцев назад
Mchungaji, uko vizuri sana. Endelea kutusaidia. Hiyo si hekima ya kawaida, mh! Umenibariki; umenipa majibu ya maswali yaliyonitatiza. Umebarikiwa.
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 4 года назад
Mchungaji Mungu akubariki sana. Nakupenda maana una gusa maisha ya watu. Nimenufaishwa na Kubarikiwa sana na mahojiano haya. Mbarikiwe mno.
@phoebemmanga299
@phoebemmanga299 4 года назад
Ubarikiwe Mch. Daniel Mgogo. Unatuponya roho zetu. Ameeen.
@nelsonsaimon5646
@nelsonsaimon5646 4 года назад
Pastor Mgogo kazi yako n kubwa sana katika kutusaidia sisi vjana na jamii kiujumla mungu akutunze na kkutetea katka huduma yako
@patrickigiraneza6591
@patrickigiraneza6591 4 года назад
Asante Mchungaji kutuelezea historia au njia yako tangu ulipoanzia kumtumikia Mola.
@hawamusumba431
@hawamusumba431 4 года назад
He is nt jst a pastor but a role model to the society
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 4 года назад
Mungu akupe maisha marefu sana mchungaji
@doreenchuwa3630
@doreenchuwa3630 4 года назад
Nafurahi sana nikimsikiliza Pastor yaani napata raha tu nina Enjoy.... nakuwa tu naraha Asante Nice interview
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 4 года назад
My favorite pastor be blessed 🇰🇪
@angelangare863
@angelangare863 4 года назад
God Bless you man of God watching all the way from Kenya mombasa
@michaeldamas9611
@michaeldamas9611 3 года назад
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, kweli utumishi upo ndani yako.
@AppolineAtandjo
@AppolineAtandjo 9 месяцев назад
Baba yangu tunawapenda sana kwakazi Mugu ametiya ndaniyenu,mubarikiwe sana tena sana❤❤❤
@elizabethkaroli3799
@elizabethkaroli3799 4 года назад
Ukisikiliza kwa makini kuna sehem utalia kuna sehem utacheka kuna sehem utajifunza nk barikiwa sana mchungaji
@esperanceruziga1990
@esperanceruziga1990 4 года назад
Iyo ni kweli kabisa
@mtupiruu3252
@mtupiruu3252 4 года назад
Amen
@stevenlayda7847
@stevenlayda7847 4 года назад
Powerfully testimony 🙏🏻Barikiwa sana mtumishi
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 4 года назад
AMEN, Mungu akubariki sana pastor haki huwa wanibariki zaidi
@ezekielmwasamboma9953
@ezekielmwasamboma9953 4 года назад
Mungu akutunze Kaka yangu mpendwa, huduma yako ni njema sana! Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi na zaidi! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
Hawa ndio wale tunaowaita WALIMU tena WALIMU wazuri katika huduma za KIMUNGU.
@cyrusmecha664
@cyrusmecha664 4 года назад
Asante Sana Mch D mogogo unajenga mioyo ya wengi Sana endelea barikiwa na Elohim
@kagoramogi
@kagoramogi 3 года назад
I wish we don't have music on the background to distruct the attention of listening this good message
@dannabiswa1340
@dannabiswa1340 4 года назад
umeniponya moyo wangu mchungaji,hongere kwa kazi nzuri
@aludomakori4230
@aludomakori4230 4 года назад
Dada mtangazaji nimekupenda uko smart,vaa yako Hadi ongea yako
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 4 года назад
Tatizo makuchaaa hyoo
@mecktildatushabe7898
@mecktildatushabe7898 4 года назад
Kweli kajitahid
@michaeldjunior1023
@michaeldjunior1023 4 года назад
Kama hana pete vile, ngoja tuombe posa
@abdullatifnakikolo7433
@abdullatifnakikolo7433 4 года назад
Kweli aiseee.. mtangazaji yuko njema sanaaaa.. big up kwake.
@rehemankungu3511
@rehemankungu3511 4 года назад
Napenda sana mafundisho ya mch,na hasa hongera kwa aliendaa haya mahojiano,ila kimeniudhi huo mziki ni wanini hasa
@wakyomusongo7245
@wakyomusongo7245 4 года назад
Hata mm mziki hapana
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 года назад
Pole kaka
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 года назад
Pole kaka
@beverlymutinya510
@beverlymutinya510 4 года назад
God does not call the qualified,He qualifies those that He has called.He doesn't call the prepared,He prepares those that He has called.Long life Pastor Mugogo.
@ezekielmwasamboma9953
@ezekielmwasamboma9953 4 года назад
Very true
@jafariabwe3434
@jafariabwe3434 2 года назад
@@ezekielmwasamboma9953 hello
@barikielisaktay7404
@barikielisaktay7404 4 года назад
Be blessed pastor you're so unique
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 4 года назад
Neema yaa mungu izidi kuwa juu yako mchungaji napenda nondo zako zinaniponya mno.from Qatar amen
@elizabethchristopherkilumb4729
@elizabethchristopherkilumb4729 4 года назад
Hakika dharau siyo nzuri . Mungu nisaidie nisiwe na dharau ndani yangu , nimpende kila binadamu .
@nyandajppeter4493
@nyandajppeter4493 4 года назад
Mgogo umefika mbali
@tembarooney7899
@tembarooney7899 Год назад
Amen❤❤
@paschalzacharia6708
@paschalzacharia6708 4 года назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,unaneno la Mungu ndan yako
@brightonjohn4393
@brightonjohn4393 4 года назад
Namkubali sanaa huyu Baba Mchungaji
@rosemarynyabenda3131
@rosemarynyabenda3131 4 года назад
Kazana Kuhubili Muchungaji MUNGU AKUBARIKI WEWE NIMUVUNAJI KATIKASHAMBA LABWANA YESU KIRISITO HUWATUNABARIKIWASANA
@adelinaadoloph5311
@adelinaadoloph5311 4 года назад
Ubarikiwe sana Mch.Huduma yako ni nzr napenda kuskiliza mahubiri yako
@raka19853
@raka19853 4 года назад
Hapo umenena mchungaji, great testimony
@manasejames8404
@manasejames8404 4 года назад
Napenda jinsi MUNGU anavyo mtumia kutangaza habari njema ya yesu Mungu akubariki
@evawayesu7848
@evawayesu7848 4 года назад
Amen amen God bless u Pastor l like this papa so much thanks
@samsonkabakasamsonkabaka7773
@samsonkabakasamsonkabaka7773 4 года назад
Walitazama kimwili kumbe rohoni uku vizuri hongera sana
@paulomwalimu6731
@paulomwalimu6731 3 года назад
Ongera sanaa mchngji mungu amekuinua kwa viwango vya juu na vya ajabu sanaa
@bwirechrispus3092
@bwirechrispus3092 2 года назад
I listen to this pastor's teachings all the time Busia Uganda well represented
@imrantheophile7523
@imrantheophile7523 4 года назад
Listening from Kuwait,, You are real man of God.. You talk facts and you believe that we are human
@queenessiekenya6869
@queenessiekenya6869 4 года назад
A very big testimony 🙏🙏🙏napenda mahubiri yako from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yhudahtallam4398
@yhudahtallam4398 4 года назад
Kweri
@mtupiruu3252
@mtupiruu3252 4 года назад
Anatumiwa sana na Mungu
@nicholaskhainza4802
@nicholaskhainza4802 4 года назад
Tunashukuru Mungu kwa kukuinua kutoka kwenye vianzo vidogo hadi uliko leo hii.Mungu azidi kukutumia kutukosoa,kutujuza na kutukomboa.Mungu akubariki 🙏
@bibianajangandu1727
@bibianajangandu1727 2 года назад
Hongera mch mgogo bxarikiwa sana
@arielngabo9016
@arielngabo9016 4 года назад
This testimony is so powerful and helpful. But the music is not necessary. Please leave the testimony be clear and neat.
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 4 года назад
Thanks you
@arielngabo9016
@arielngabo9016 4 года назад
You welcome my sister.
@dorcasshoo2405
@dorcasshoo2405 4 года назад
That's mgogo much love to you championship
@bernardwald8745
@bernardwald8745 4 года назад
Hongera sana mwamgogo ulongite lukani!
@estherongere2765
@estherongere2765 4 года назад
Amen sana mtumishi unanibariki sana kutoka Kenya
@LeahJoshuwa
@LeahJoshuwa Год назад
Amen 🙏 baba nimesikia kubarikiwa sana ata Mimi MUNGU atanisaidia nijue kuongea kingereza vizuri nisawala la muda tu
@meksonyjoseph8909
@meksonyjoseph8909 4 года назад
Huyo ndo mchungaji wa kweli ana fundisha maisha halisi ya binadam na tabia zake .najinsi ya kumshilikisha mungu kurpuka mabaya
@happinessndunguru5155
@happinessndunguru5155 4 года назад
Mungu anamtumia mtumishi wake barikiwa mnooo
@shadrackmajikwa4770
@shadrackmajikwa4770 4 года назад
Ongera. Sana. Baba. Mchungaji
@medardpeter8372
@medardpeter8372 3 года назад
Ahsante Sana pastor Mgogo ubarikiwe sana
@irenemacha7457
@irenemacha7457 4 года назад
acha mwanadam akushushe chin ili mungu akuinue
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 4 года назад
Ni Mungu sio mungu
@philipowilliamu7974
@philipowilliamu7974 4 года назад
Ubarikiwe pastor.
@abdullatifnakikolo7433
@abdullatifnakikolo7433 4 года назад
Kipindi kizuri sanaaa.. hongera mchungaji na pia mtangazaji mmefanya vema sanaa. Mbarikiwe.
@leahmwasaru3500
@leahmwasaru3500 Год назад
I love your preaching
@josephinejacob5550
@josephinejacob5550 4 года назад
Mchungaji mchekeshaji.uko vizuri.
@edwardkasubi1332
@edwardkasubi1332 4 года назад
Hukufeli darasa la saba bhaaaana isipokuwa shule zilikuwa chache wakati ule
@samsonkabakasamsonkabaka7773
@samsonkabakasamsonkabaka7773 4 года назад
Baba uko vizuri sana kweli mchungaji ana siri kubwa Sana
@goroliainekisha583
@goroliainekisha583 4 года назад
Hakika wewe ni mchungaji mwema,mungu anakutumia
@luciuskomba8824
@luciuskomba8824 4 года назад
Samaki haloi 😀😀😀 ubarikiwe sana mchungaji 🙏🙏
@lauratuya
@lauratuya 4 года назад
Pastor be blessed 🙏🙏
@gwakisanoah2538
@gwakisanoah2538 4 года назад
Haleluya watu wa Mungu. Ahsante kwa ujumbe pia kwa safari ya wokovu mchungaji. Nimesikiliza vizuri,,,, Yako mambo mawili nataka kuongezea hasa kwa habari ya dhambi ya uzinzi. 1. Ni kweli kabisa wengi walijua na wanajua dhambi zote ni sawa ila dhambi ya UZINZI ni kinara cha dhambi zote... Yusufu anasikika akisema nimtendeje Mungu dhambi kubwa kama hii mbele ya mke wa Potifa anakimbia pia dhambi zote ni nje ya mwili wa mwanadamu isipokua dhambi ya UZINZI. "ikimbieni zinaa" mpaka mtu ashiriki dhambi ya UZINZI huyu alikusudia kuitenda kwa gharama yoyote. Kwa swala la kutengwa halafu baadae arudi kundini hiyo si sawa,,,, lugha nyepesi hatakiwi kurudi tena kundini ndio maana siku hizi kuna mizaha sana makanisani maana wanajua watarudishwa tena. Wakirudu bado wanarudi na tabia zile zile za kale. MTU akibainika amezini asitengwe tu bali AFUKUZWE kabisa. 2. Nimezini nakufuata ofisini kwako ili wengine wasijue na unikingie kifua kwa sababu ya wadhifa nilionao yaani tajiri, msomi, mwimbakwaya, kiongozi wa ibada, sorolist maarufu, mtoaji sana, maskini nk... Dhambi ni dhambi tutafanikiwa kuficha mimi na wewe lakini KAMWE hatafichwa Mungu, maadamu mtu amekiri kuzini iwe ni kwa mchungaji au kiongozi mwingine huyo AFUKUZWE kwa staili yoyote ile... Kizazi cha leo utatenga wangapi na utarudisha wangapi ona watu wanavyovaa makanisani, wanavyosuka, wanavyonyoa, hakuna tofauti na wahuni wengine walioko mtaani tofauti ni Bwana asifiwe tu. Kanisa SIO sehemu ya kufanyia mizaha. Kanisa ni sehemu serious kwa watu serious. Mwishoni, Injili kabisa kabisa haikumwacha mwenye dhambi anacheka ilimpa afanye maamuzi mawili tu yaani KUMWUA aliyehubiri ama KUTUBU dhambi na kuanza maisha mapya... Njia ni Ile Ile bado haijabadirika. MATENDO 2:37, 5:33-42, 7:51-60. Amen
@wardawarda3427
@wardawarda3427 4 года назад
kabisa halafu eti utakuta anazaa mtoto wa kwanza anarudi kundini anabeba zaidai ya mimba tatu zote zinaa zote anarudi kundini Mungu anajua ila zinaa skuizi yani wameifanya kawaida kule kwa nabii Mkuu wanaenda waombewe ili wazae wakati hawapo kwenye ndoa dada yetu Wema analia apate mtoto lakini hajaolewa. onaona sasa mtihani huo leo kijana anakutongoza siku moja hiyo anataka uzini nae subhanaallah.
@joynkungu7630
@joynkungu7630 4 года назад
Ni kweli kabisa mtumishi,Dhambi ya uzinzi tumeona makanisani km kitu cha kawaida tu,na wakati ndo dhambi inayo beba mambo mabaya mengi cn, na km hilo la dharau,na mizahaa,ndo limekuwa nguzo kuu ndani ya makanisa.
@joynkungu7630
@joynkungu7630 4 года назад
Mungu atufanye tupone
@dafrozasangi3038
@dafrozasangi3038 4 года назад
Mchungaji nimekuelewa ubalikiwe sana
@ananiamkasu8847
@ananiamkasu8847 4 года назад
Watumishi kama wewe ndio nguzo ya taifa,kwani biblia inasema akiwepo mcha Mungu moja wa kweli ktk taifa Mungu hulinda taifa hilo!!
@fredrickodongo8570
@fredrickodongo8570 4 года назад
I love listening to him!!! .He touches our hearts.
@jafariabwe3434
@jafariabwe3434 2 года назад
Verry nice God bless
@agneswayua5738
@agneswayua5738 3 года назад
Napenda maubiri yako from Kenya God bless you
@mugemadesire8286
@mugemadesire8286 4 года назад
Mchungaji injiliyako inahekima, mungu azidi kufungua mlango injili itangazwe
@gressmaganga3551
@gressmaganga3551 4 года назад
God bless u pastor Daniel
@arcadensenguwera894
@arcadensenguwera894 4 года назад
Asante sana kwa kipindi kinanijenga upya
@mwajejasson6995
@mwajejasson6995 4 года назад
Mchungaji mgogo unatakiwa uwe mbunge Wa chama chochote maana mungu anakusimamia
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 4 года назад
Love you baba mchungaji
@abbybixa6972
@abbybixa6972 4 года назад
Ubarikiwe mtumishi
@ceverinlyimo8291
@ceverinlyimo8291 4 года назад
Ubarikiwe sana mchungaji..
@marychao3039
@marychao3039 4 года назад
Napenda Huyu pastor sana. Mahubiri yake naipenda sana na yananitia moyo nikiwa German.
@esperanceruziga1990
@esperanceruziga1990 4 года назад
Pastor napenda Sana injili yako. Natamani sana nikitumiwa maubiri yako yawe full Mzee
@msafirimhehe
@msafirimhehe 4 года назад
Wow! Amina.. Umezungumza ukweli kabisa wa Utumishi. Barikiwa..
@enestaasanga2715
@enestaasanga2715 4 года назад
Nimebarikiwa sana na kipindi hiki barikiwa mtumishi unaeleza vizur sana
@samwelsamwel2692
@samwelsamwel2692 4 года назад
Hivi unaimba gospel? ??
@enestaasanga2715
@enestaasanga2715 4 года назад
@@samwelsamwel2692 hapana siimbi ndugu yangu
@happybruno1764
@happybruno1764 4 года назад
Ni nakukubali san nayakumbuka mahubili yako yalisababisha baba na mama waokoke iringa makambako myaka ya tisini huko mwaka wa kwanza somo ni pombe ni kikopo mwaka wa pili wachungaji munapenda mikate makanisani, mwaka wa tatu ulisema mm ni nessi katumwa na dackital mungu agawe doz mbili mala tatu myaka hiyo
@franciswasajja6831
@franciswasajja6831 4 года назад
Am following you from Uganda
@geofreythobias5864
@geofreythobias5864 4 года назад
Hongera mchungaji
@emsalilwa4900
@emsalilwa4900 4 года назад
Barikiwa sana Mtumishi!
@nyekingobwire7993
@nyekingobwire7993 4 года назад
MCHUNGAJI jitaidi uje na kigoma napenda Sana mahubiliyako
@albertludago7374
@albertludago7374 4 года назад
Nabarikiwa sana na huduma yako pastor wangu
@josephmaleto4286
@josephmaleto4286 4 года назад
Mungu akubariki,akuzidishie hekima na afya njema ili uendelee kutenda kazi ya Bwana
@GODisable7573
@GODisable7573 4 года назад
Zidi kubarikiwa Mchungaji Daniel Mgogo na MUNGU azidi kukutumia zaidi🙏🏾
@zawadimwanyuke3053
@zawadimwanyuke3053 4 года назад
Jamani nampenda sana mungu aendelee kumu inuwa
@fei3668
@fei3668 4 года назад
my favourate pastor
@k.kswitzerland4168
@k.kswitzerland4168 4 года назад
This guy is really..plz the music is too ......
@prosoerngelangela8046
@prosoerngelangela8046 4 года назад
Watanzania tumekuelewa sana Mchungaji na ludia tumekuelewa hatakama wengine hawajasema ila wamekuelewa kimoyomoyo
@LisaLisa-wd8oy
@LisaLisa-wd8oy 4 года назад
Be blessed pastor maubiri yako huwa yananikusa sana nikiwa Saudi Arabian
@barakamwema6980
@barakamwema6980 4 года назад
Nataka namba ya huyu mtumishi wa mungu mgogo
@devothabishagazi2390
@devothabishagazi2390 4 года назад
Pastor nakupenda mno Mungu azidi kuinua huduma yako
@HurumaMugumana
@HurumaMugumana Год назад
Ulinitowa mbali sana mchungaji wangu
@ameniameni617
@ameniameni617 4 года назад
Pamoja Sana mchungaji mgogo nakukubali sana
@josephkafumu6921
@josephkafumu6921 4 года назад
Nakukubali sana huyu mtumishi wa mungu
@elifurahayofika6754
@elifurahayofika6754 3 года назад
God bless you pastor
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 4 года назад
Nabarikiwa saaanaa mchungaji😊
@juliusakilimali3038
@juliusakilimali3038 4 года назад
Udumu ktk utumishi!! CC tulio wengi tunakuelewa.Amen.
@deusbenedicto3244
@deusbenedicto3244 4 года назад
Nakukubari mtumishi endelea kuponya , mioyo iliyopondeka.
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 4 года назад
Palitokea mtu,palitokea mtu.......😂😂😂
@aludomakori4230
@aludomakori4230 4 года назад
Umejitahidi kujibu vzr
@isaacjackson7667
@isaacjackson7667 2 года назад
Lkn nimefurai Sana sema hapo t kwany kupenda Arsenal mmmh jamn tunakupenda lkn hii timu dah
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 года назад
nakupenda,sana mch mgogo yani nakukubali sana
@monaishm9445
@monaishm9445 3 года назад
Najisikia haman nikimsikiliza mtumishi wa Mungu
Далее
MCH.DANIEL MGOGO-KAMA UTAKI KUSUMBULIWA ULIKOSEA KUOA
20:46
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
Three NEW MAPS in Update 0.31.0 Nightmare | Standoff 2
01:48
SIFA ZA MWANAMKE MWENYE BUSARA KWENYE NDOA YAKE
12:28
Просмотров 117 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [59]
21:52
Просмотров 45 тыс.
PLAN B _ Episode 22
1:02:01
Просмотров 97 тыс.
MCH.DANIEL MGOGO-ENEO LA NDOA SHETANI KALICHEZEA SANA
14:18
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00