Napenda sana iyi interview nimependa ujumbe uliomo , na dada ulio apo Mungu akubariki vile unavyo jistiri . Umevaa vizuri sana , unadamsh comfortably and elegant . Ukweli umesemwa , unaushuhuda mzuri Pastor wetu . Utafika mbali sana
Mungu akutunze Kaka yangu mpendwa, huduma yako ni njema sana! Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi na zaidi! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
God does not call the qualified,He qualifies those that He has called.He doesn't call the prepared,He prepares those that He has called.Long life Pastor Mugogo.
Haleluya watu wa Mungu. Ahsante kwa ujumbe pia kwa safari ya wokovu mchungaji. Nimesikiliza vizuri,,,, Yako mambo mawili nataka kuongezea hasa kwa habari ya dhambi ya uzinzi. 1. Ni kweli kabisa wengi walijua na wanajua dhambi zote ni sawa ila dhambi ya UZINZI ni kinara cha dhambi zote... Yusufu anasikika akisema nimtendeje Mungu dhambi kubwa kama hii mbele ya mke wa Potifa anakimbia pia dhambi zote ni nje ya mwili wa mwanadamu isipokua dhambi ya UZINZI. "ikimbieni zinaa" mpaka mtu ashiriki dhambi ya UZINZI huyu alikusudia kuitenda kwa gharama yoyote. Kwa swala la kutengwa halafu baadae arudi kundini hiyo si sawa,,,, lugha nyepesi hatakiwi kurudi tena kundini ndio maana siku hizi kuna mizaha sana makanisani maana wanajua watarudishwa tena. Wakirudu bado wanarudi na tabia zile zile za kale. MTU akibainika amezini asitengwe tu bali AFUKUZWE kabisa. 2. Nimezini nakufuata ofisini kwako ili wengine wasijue na unikingie kifua kwa sababu ya wadhifa nilionao yaani tajiri, msomi, mwimbakwaya, kiongozi wa ibada, sorolist maarufu, mtoaji sana, maskini nk... Dhambi ni dhambi tutafanikiwa kuficha mimi na wewe lakini KAMWE hatafichwa Mungu, maadamu mtu amekiri kuzini iwe ni kwa mchungaji au kiongozi mwingine huyo AFUKUZWE kwa staili yoyote ile... Kizazi cha leo utatenga wangapi na utarudisha wangapi ona watu wanavyovaa makanisani, wanavyosuka, wanavyonyoa, hakuna tofauti na wahuni wengine walioko mtaani tofauti ni Bwana asifiwe tu. Kanisa SIO sehemu ya kufanyia mizaha. Kanisa ni sehemu serious kwa watu serious. Mwishoni, Injili kabisa kabisa haikumwacha mwenye dhambi anacheka ilimpa afanye maamuzi mawili tu yaani KUMWUA aliyehubiri ama KUTUBU dhambi na kuanza maisha mapya... Njia ni Ile Ile bado haijabadirika. MATENDO 2:37, 5:33-42, 7:51-60. Amen
kabisa halafu eti utakuta anazaa mtoto wa kwanza anarudi kundini anabeba zaidai ya mimba tatu zote zinaa zote anarudi kundini Mungu anajua ila zinaa skuizi yani wameifanya kawaida kule kwa nabii Mkuu wanaenda waombewe ili wazae wakati hawapo kwenye ndoa dada yetu Wema analia apate mtoto lakini hajaolewa. onaona sasa mtihani huo leo kijana anakutongoza siku moja hiyo anataka uzini nae subhanaallah.
Ni kweli kabisa mtumishi,Dhambi ya uzinzi tumeona makanisani km kitu cha kawaida tu,na wakati ndo dhambi inayo beba mambo mabaya mengi cn, na km hilo la dharau,na mizahaa,ndo limekuwa nguzo kuu ndani ya makanisa.
Ni nakukubali san nayakumbuka mahubili yako yalisababisha baba na mama waokoke iringa makambako myaka ya tisini huko mwaka wa kwanza somo ni pombe ni kikopo mwaka wa pili wachungaji munapenda mikate makanisani, mwaka wa tatu ulisema mm ni nessi katumwa na dackital mungu agawe doz mbili mala tatu myaka hiyo