Тёмный
No video :(

SIFA ZA MWANAMKE MWENYE BUSARA KWENYE NDOA YAKE 

Pastor Daniel Mgogo
Подписаться 299 тыс.
Просмотров 117 тыс.
50% 1

Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RU-vid : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

Опубликовано:

 

14 апр 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@AngelaBungoma
@AngelaBungoma 14 дней назад
Yeah Mimi pia nilikuwa hivyo kwangu,nashukuru nitabadilika.
@IrineJoseph-dd1vv
@IrineJoseph-dd1vv 4 месяца назад
Mungu akubariki
@florencewandabwa8320
@florencewandabwa8320 2 года назад
Wanaume wote wangekuwa kamawewe paster Dunia ingekuwa safi sana
@kiswaumwita3525
@kiswaumwita3525 3 года назад
duh mko vizuri hiyo semina ya ndoa ninzuri sana dah mama uko na busara na hekma na rehema dah ubarikiwe sana
@abedkirway8668
@abedkirway8668 3 года назад
Nimekupenda sana mama Mungu akubariki sana unahekima na busara sana
@sintawaisiku8308
@sintawaisiku8308 4 года назад
Huyu mama ana hekima sana mana anayosema ni kweli kabisa na tunamwitaji Mungu na neema yake ili kuwa sawa
@toutpassefrancisaime3698
@toutpassefrancisaime3698 Год назад
Aksante saana MUNGU akubariki
@hassanikalio9676
@hassanikalio9676 Год назад
Warisema kwamba wachafu wengii wana taabia ya kuva nguo safi past.
@salomesamwel6041
@salomesamwel6041 Год назад
Mmenijenga sana tena barikiwa sana nilikuwa nafikiria kuondoka kwangu now nimeairisha kwa ajili ya hilo somo
@alipanduali5947
@alipanduali5947 3 года назад
Mm muislamu,lkn huyu Pastor namkubali sana.natamani nionane nae angalau dakika moja.tubadilishane mawazo.
@lazaroonyango8859
@lazaroonyango8859 4 года назад
Mbarikiwe watumishi kwakweli ni mafundisho ya kuponya familia na, sio ndoa tu,.
@teresiandungu673
@teresiandungu673 3 года назад
Nashukuru kwa mashauri yako... Mimi niliwacha wangu kwa sababu singevumilia uchungu huo. Hakuna haja niishi Hapo kwa machozi. Najua Mungu atanibariki na Mwingi a ambaye atanipenda...
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Kabisa kamwe usiruhusu presha ya moyo muache aende Mungu atakupa wa kufanana nawewe
@noeldstanford9578
@noeldstanford9578 3 года назад
Karbu sana
@angeljumla4344
@angeljumla4344 2 года назад
Imenijenga sana ... be blessed
@irenesusan2597
@irenesusan2597 3 года назад
Asante sana Mchungaji Mgogo,asante law chakula cha roho.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Год назад
Mabaya ntahesabu mnona yeye anaendelea kufanya mabaya halafu mimi eti vumilia ndugu yangu sitakaa kimya nitaongea kuvumilia hakutatatua tatizo kulikabili na kuliongea kwa nguvu zote mpaka kieleweke
@paulinabhoke9828
@paulinabhoke9828 3 года назад
Mchungaji mgogo Yuko vizuri anatuponya, mungu ambariki sana
@desderiasoko158
@desderiasoko158 3 года назад
Ni kweli mme wangu kila cku anakuwa w kunilalamikia ila yye unipa maumivu to mpaka celewi
@pastordanielmgogo9704
@pastordanielmgogo9704 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (OMOJADE MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349064257150) tell him I sent you to him. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
@josephmantago2837
@josephmantago2837 2 года назад
Mme akikosa kipato mwanamke hamheshimu kabisa wanawake waliowengi wanatamani wanaume wakifanikiwa ndo maana mme wake akikosa kipato huanza kuwinda waume waliofanikiw na hpo huanza dharau kwa me wa ndoa. tunao tunaishi nao kwan tabu kubwa mwanamke huwezi kusema jambo kama mwanaume akusikilize au akutii yaani inakibidi ww mwanaume uwe mke yeye awe mme ili maisha yaende kimsingi wanaume tunachangamoto sana hasa ndoa za kikristo
@MariamuOboto-vc1sh
@MariamuOboto-vc1sh Год назад
We we mama unajua unacho kiongea kweli? Mungu akuhurumie sana nahayo unayoongea yakupate tukuone
@sintawaisiku8308
@sintawaisiku8308 4 года назад
Mungu awabariki mana wametoa points za kuponya ndoa nyingi
@josephmantago2837
@josephmantago2837 2 года назад
Wanawake waliowengi huwa hawatupendi wanaume wanatafta mtu wa kuwaawekea misingi ya maisha lkn akisimama vzr mme hahitajiki tena mwanamke akisha pata watoto wakasima wakawa wakubwa mme hatakiwi tena kuonekana mbele yke
@magnifiquentkrtmna320
@magnifiquentkrtmna320 4 года назад
Asante sana wewe baba unanicangamusha sana
@marayiokedi6978
@marayiokedi6978 4 года назад
Hayo ni mawaida ya busara kabisa ya kujenga family nyingi
@sayunitenga8309
@sayunitenga8309 3 года назад
Asante kwa ushauri mzuri Mungu atusaidie
@pastordanielmgogo9704
@pastordanielmgogo9704 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (OMOJADE MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349064257150) tell him I sent you to him. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
@mellissauwase5514
@mellissauwase5514 3 года назад
U said exactly maisha yangu 😒
@samuelbajutatv5913
@samuelbajutatv5913 4 года назад
Ni kweli Mchungaji unayozungumza ubinafsi umezidi
@yesunijibunguba3020
@yesunijibunguba3020 3 года назад
Kweli Kabisa
@emmanueljackson3101
@emmanueljackson3101 3 года назад
Nilipenda
@vinnyog1987
@vinnyog1987 4 года назад
Nzuri mtumishi
@anethkanyabuhula9656
@anethkanyabuhula9656 3 года назад
Aminaaa
@pastordanielmgogo9704
@pastordanielmgogo9704 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (OMOJADE MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349064257150) tell him I sent you to him. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
@desirekitumaini261
@desirekitumaini261 3 года назад
Hallelujah
@SN-wb3gm
@SN-wb3gm 2 года назад
Kupa heshima mume nisawa arakini utamupa heshima mume anakutukana anakupiga anaenda arudi utamupa heshima namna gani utavumiriya ju yawa toto arakini hakuna heshima
@josephmantago2837
@josephmantago2837 2 года назад
Nikweli kuna wasiovumilika lkn wanawake wengi hawawapendi waume zao wanapenda walichonacho wanaume yali mali
@magnifiquentkrtmna320
@magnifiquentkrtmna320 4 года назад
Kwakweri natamani ungekuwa Babangu muzazi.
@pastordanielmgogo9704
@pastordanielmgogo9704 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (OMOJADE MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349064257150) tell him I sent you to him. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
@coasternkidd2544
@coasternkidd2544 3 года назад
Kweli mwizi atami kuibiwa
@mosesomoit4980
@mosesomoit4980 2 года назад
Nime
@kageshsantrah9520
@kageshsantrah9520 3 года назад
Powerful message
@etomere3716
@etomere3716 3 года назад
🙏🙏🙏🙏
@ndayiragijecyriaque9454
@ndayiragijecyriaque9454 4 года назад
Mugogo kuna wanaume ambao ni Bokoharamu hata ukimubeba mugongoni hawabadiriki
@pastordanielmgogo9704
@pastordanielmgogo9704 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (OMOJADE MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349064257150) tell him I sent you to him. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you..
@januarimagobe59
@januarimagobe59 3 года назад
Mwombee huyo mwanaume Mungu atambadilisha maana wakati mwingine ww kama ww huwezi kumbadilisha ila Mungu tu. Omba juu ya MTU huyo bila kukoma Mungu atambadilisha
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Год назад
Mwanamme asiye muaminifu Ana hatari ya kukuletea ukimwi wanawake wengi wamekufa kwenye ndoa zao na maombi waliomba na ukimwi walipata Mungu katupa akili akianza kucheat maombi hayakukingi na ukimwi atakupa ukimwi tu wanawake jaki afyå yako alale na mtu mwingine halafu usiku anakuja kulala na wewe are you mad 😠 bora muache aendelee kulala na yule yule wa nje huku mlango funga acha ujinga.
@saimongodian1754
@saimongodian1754 2 года назад
Mmeamkajee
@modestaissa1947
@modestaissa1947 4 года назад
Mm nadhani hapo tunatanguliza ubinafsi kwanza.MUNGU atufanye wepesi wa kujali wenzetu
@lisayasmine1283
@lisayasmine1283 3 года назад
Am sorry the lady is misleading. You can't change a grown man. Respect is two way traffic. Most men will take advantage of your patience and kindness to being stupid. One if the major red flag is a disrespectful man.
@janethcharles5917
@janethcharles5917 4 года назад
Sema tupone baba nikwel kabisa ubinafsi umekisili kwa kizazi hiki
@jesusfirst8464
@jesusfirst8464 4 года назад
Ila naona bibi kizee ana choma nywele piya mitindo za kuiga. Je uo ndio utamaduni wetu wa Africa au Tanzania??? Je mamako akiwa hivo utafurahu???, nywele zimekunjwa eti maendeleo ya utandawazi na kisasa... pole sana.
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 4 года назад
Jesus First Wewe achana na nywele huyu mama anaonekana anajiheshimu angalia maneno yake
@samwelisaya470
@samwelisaya470 4 года назад
Mwombe Mungu hekima yakufikisha ujumbe ili umfae mwitaji nawengine pia
@anethjoseph6551
@anethjoseph6551 4 года назад
Acha basi mama wa watu ana jiheshimu kabisa
@judithmgaya7733
@judithmgaya7733 3 года назад
Eti JESUS first acha uongo Je haikuandikwa usihukumu usije ukahukumiwa.wewe utakatifu kwako ni outlook rudi kwa Mungu katubu angalia njia yako
@lidamethod2981
@lidamethod2981 3 года назад
@Jesus First, mwanamke pambo ee
@ruthpreciousk24
@ruthpreciousk24 3 года назад
Hizi maandishi are not in line with the good interview going on.
@paulinabhoke9828
@paulinabhoke9828 3 года назад
Natamani kupata no yake ya cm
@gracewaziri3221
@gracewaziri3221 4 года назад
Natamani ningemuwa mshirika wa kanisa unalochunga, nisingekwazika kwa jambo lolote!
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 3 года назад
Kukwazika kupo kwa kila Binadamu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 года назад
Yaani nimheshimu mume hata katka upuuzi? Wewe mama wewe
@claraelengabulunda6750
@claraelengabulunda6750 2 года назад
Mbona ni fupi
@samdaboss5543
@samdaboss5543 4 года назад
Amina Mchungaji
@alayagietipaya973
@alayagietipaya973 4 года назад
Absolutely!!!!
@omwengapeter6251
@omwengapeter6251 4 года назад
Kweli hapo Sawa
@evamvanga4691
@evamvanga4691 2 года назад
Mbarikiwe sana
Далее
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
Просмотров 11 млн
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 1,8 млн
Pastor Daniel MGOGO in Las Vegas Day 1 Part 2
58:15
Просмотров 1,4 тыс.
OMBA USIPATE MKE WA JINSI HII-MCH;DANIEL MGOGO
15:02
Просмотров 585 тыс.