Тёмный
No video :(

MCHUNGUJI| ATOBOA SIRI YA WACHEZAJI WAPYA WA SIMBA MSIMU HUU TUMEJIPANGA TUNATAKA UBINGWA 

Maximum Tv Online
Подписаться 450 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Mo Matola hafai kuhamia simba marafiki sana pia anakuwa na makundi
@judithmsumba9808
@judithmsumba9808 Месяц назад
Amen, Mchungaji Mungu azidi kuwapa baraka zake na NEEMA na Wengine wanakuwa mawakala wa Uchawi kutoka nje,zidi na pambana kuwaombea hizo roho za kichawi zipate kushindwa katika jina lake yeye mwamba wa miamba yaani Mungu baba mwenyezi, Amen.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Hapo umesema mchungaji. Kweli uchawi upo sana. Yaan sisi simba tulikuwa tunarogwa sana.❤❤❤ 👍👍👍🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Majina hayo anayaweza sana kutaja Ahmadi Ali❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l Месяц назад
Mimi naungana na wewe Stefano mange hawa viongozi simba wanamtia hasara MO ktk makocha wanapofukuzwa, matola matola ndiye anafamya mazingara makocha wasifanye vizuri, wakati yeye hana lolote, nyie wazee mlio kuja simba mtaoneka mnafeli kwa matola mzee Rage,magoli amkeni matola sio
@OmbeniMkumbwa-yg1vg
@OmbeniMkumbwa-yg1vg Месяц назад
Namimi naungamkono mchungaji🎉❤
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu Месяц назад
Nakukubali saaaana mchungajiii
@marthamsacky6973
@marthamsacky6973 Месяц назад
Amina, Na ikawe hivyo kwa uwezo wa Mungu kinywa chema kinaumba Mungu atatenda
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад
Ni kweli timu inarogwa xana wala co uwongo mchezaj kwao unafanya vizur akija tu bongo anafeli tunajiuliza "WHY,"
@AlphonceNganzi
@AlphonceNganzi Месяц назад
Simba ya mwaka huu kweli ni balsa:
@jumamwita8180
@jumamwita8180 Месяц назад
Kuna uwezekano ht mo dewji alilogwa aikimbie tim
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
HATA BABRA NA YULE LETE MZUNGU UONDOKAJI WAO NI WA KIROGO KIROGO TU MATOPOLO MACHOGO FC MAHASIMU WA NA MAADUWI WA JADI NA SIO WATANI WA JADI MATOPOLO MACHOGO FC NI FITINA MAJUNGU NA WATOWA RUSHWA WANATUROGA MPAKA TUKICHEZA NA TIMU NYINGINE ASHURA CHEUPE ALIKUWA AKITANGULIA MIKOWANI MECHI ZOTE KWENDA KUTUVURUGIA TUSHINDWE SHENZISTAN KABISA
@dottobartazarymdororo
@dottobartazarymdororo 27 дней назад
sawa mkuu
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Месяц назад
Umenooga sana umekuja kupotea hapo kwa Mama yenu aisee. Huyo mama mchukue tu sisi hatumtaki
@kabazitv4293
@kabazitv4293 Месяц назад
Yanga ndo wanaturogea timu pale mo arena
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 Месяц назад
Usajili tunamaliza na mpanzu yaani Simba hii moo hatumdai kitu Chochote hata tukishuka daraja Mimi safali hii nasubili bweha yoyote atakaesema moo hatowi hela kunawajinga baada ya vyuma vinashuka wameanza ngwiii moo atapata hasara kwani hela za babaako pumbavu mkubwa weeee😱😱😱😱😱😱😱😱😱
@jawahiriaelmy
@jawahiriaelmy Месяц назад
Kweli wachezaji wana logana sana omba baba
@Stephano722
@Stephano722 Месяц назад
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tukimtoa selemani matola hapo alipo ndiomchawi wa simba
@sittamwigulu8395
@sittamwigulu8395 Месяц назад
Ujinga mtupu huo
@AzizMangara
@AzizMangara Месяц назад
KISOMWE KISOMO KWA VIONGOZI NA WACHEZAJI. ILI MWENYE KULITAFURA MWENYE KULIPATA.
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Месяц назад
Kweli kabisa mchungaji
@williamissaya8091
@williamissaya8091 Месяц назад
Ulijuaje mwamba!?duuuu! Haya yapo kitambo tuu!
@justinazakayo6152
@justinazakayo6152 Месяц назад
Sawa mtumishi
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 Месяц назад
Imani potafu nilitegemea uatakuwa na mwanga
@AlphonceNganzi
@AlphonceNganzi Месяц назад
Tukifungwa tukimbilie wapi mchungaji
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 Месяц назад
Amen Amen ila mchungaji mbn unatoa siri ya kambi 😂😂😂
@kasongoIDDi-mx7gz
@kasongoIDDi-mx7gz Месяц назад
Wewe uko sawa
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад
Ushirikina upo bhana usikatae au kwa sababu halijakukuta?
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Месяц назад
Unaongea fact sana
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g Месяц назад
Mchungaji na mpira wapi na wapi, au mchungaji wa ccm!
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Месяц назад
Mchungaji mbali na wachezaji wao kwa wao kurogana, utopolo wamekuwa wakiturogea wachezaji na kuifunga timu nzima wawe Wazito. Kwahiyo kila utakapokuwa unawaombea kama timu wafunike kwa DAMU ya YESU. Fukuza majini na mapepo yote kutoka yanga. Ila Simba angalieni huyu Mchungaji anatia mashaka kama ni Simba kweli au ametumwa kwa kazi maalumu. Mbona alikuwa haonekani huko nyuma?
@thomaskitemi3283
@thomaskitemi3283 Месяц назад
Na kweli pale viungo Kati Kati bado misimari ipo
@stellamboya8673
@stellamboya8673 Месяц назад
Siku zote viongozi wa simba hawawezi kushindana kwenye usajili yaani wanamtaka timu kubwa lazima washindwe hata huyo mpanzi msiweke matumaina ninachowapongeza wamekubali kuachana na wachezaji wasumbufu usajili tunaimani ni mzuri na age nzuri wamepungua wanaokata mpunzi haraka
@georgesteven5185
@georgesteven5185 Месяц назад
Acha ujingaaa ww
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l Месяц назад
Kama msaidizi mgunda yuko wapi, jamani jamani nawahurumia hao makocha na matola sio kwani jakuna kwakwenda wewe Rage na wenzako mimi mtanikuta paleee kwa huyo matola hakuna mpya mtayakanyaga mavi muda sio mlefu,
@kishimbaboy5403
@kishimbaboy5403 Месяц назад
panzu icjekuwa kma ya manzok tu,kilack deal done,mpaka avae jez ya cmba
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 Месяц назад
Bado mbinu moja ya kununua marefa km yanga
@fmleli.tz2004
@fmleli.tz2004 Месяц назад
Huyu anavunja morali je anaweza mtaja anaye roga Asipewe na fasi afukuzwe simba
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m Месяц назад
Hafukuzwi shahidi ni mayele
@user-nc1me5vv5f
@user-nc1me5vv5f Месяц назад
Wacha ujinga katafute pakufanyia utapeli
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m Месяц назад
Hamna utapeli tumeshawagundua tutajaa wachungaji wote mashabiki wa simba pamoja na mashekhe wote maxhabiki wa simba njooni vijana wakirudi
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 Месяц назад
Uyu jamaa anafana na magori wana undugu Nini.?
@2641956
@2641956 Месяц назад
Mchungaji mbona unaturudisha nyuma wanasimba. Unazungumzia ushirikina badala ya kuzungumzia Sayansi na kumuomba mungu. Ktk Karne ya 21 bado tunaadvocate Uchawi!!! Tubadilike
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
ALIE KUAMBIA NI NANI KARNE YA 21 UCHAWI UTAKUWA HAUPO??? FITINA NA UCHAWI NDIO SAYANSI YA MU AFRICA
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m Месяц назад
Mayele alisemaje safari hakuna uchawi tumewagundua
Далее
Wife habit 😂 #shorts
00:16
Просмотров 61 млн
Музыкальные пародии
00:28
Просмотров 22 тыс.