Wengine mnatukana tunieni akili Mimi mwenyewe nilitaka haya yatokee kwa sababu hatuwezi kuwa na timu bila kujua inawekezwa vipi , waweke wazi uwekezaji wao mbona kidogo sana.
Jamani wana simba kama ishu ni hela tuichangie basi simba yetu, kama mpanzu shida ni hela tuchange ili mpanzu aje simba na si aje kwenye mkutano kama manzoki