#MpumalangaPremiersInternationalCup2024: “Kufungwa goli 2-1 ni kama tumeshinda” maneno ya mmoja wa mashabiki wa Yanga waliozungumza muda mchache baada ya kumalizika mechi ndani ya dimba la Mbombela Mpumalanga Afrika Kusini.
Matokeo ni FC Augsburg 2-1 Yanga SC
#MpumalangaPremiersInternationalCup2024 #Mpumalanga #YangaSC #FCAugsburg #AUGYNG
14 окт 2024