Dr hongera sana kwa kweli unajua kazi yako,sababu umeeleza sababu nyingi kiasi kwamba ni rahisi kwa mgonjwa kujitathimini,binafsi nilifnyiwa operation ya tonsil but sasa hivi nasumbuliwa sana na allergy pia pumzi nahisi kitu kinanikaba kooni,msaada please
Doctor ulivoeleza mim nina tatizo la koo la hewa maan hata wakati mwingine napumua kwa shida na haruf ya pafyum nikinusa tu basi kwenye koo naumia mpk ile haruf ya pafyum iishe na mdom wa juu karibu na klim kuna viupele haviish vinawasha kweli kweli nakun mpk natoa damu