Тёмный

MEDICOUNTER: Unafahamu ni kwanini kuna wakati unakaukiwa na sauti? Sikiliza chanzo na matibabu... 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 30 тыс.
50% 1

Спорт

Опубликовано:

 

12 сен 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@user-gr9cc9li2k
@user-gr9cc9li2k 3 месяца назад
Dr hongera sana kwa kweli unajua kazi yako,sababu umeeleza sababu nyingi kiasi kwamba ni rahisi kwa mgonjwa kujitathimini,binafsi nilifnyiwa operation ya tonsil but sasa hivi nasumbuliwa sana na allergy pia pumzi nahisi kitu kinanikaba kooni,msaada please
@NGOLOMASUNGAMASANJA-wx7hz
@NGOLOMASUNGAMASANJA-wx7hz 9 месяцев назад
Asante sana doctor nimejifunza mengi sana
@estelinandeme8481
@estelinandeme8481 Месяц назад
Kweli mm nasumbuliwa na acid kwenye Koo nifanyeje
@christinekago9164
@christinekago9164 11 дней назад
Habari daktari,je mnapatikana wapi?
@EmiyIssa-yt6jy
@EmiyIssa-yt6jy Месяц назад
Mm nasumbuliwa na koo yan linakwaruza ht kula nakula kwa shd pia linakauka San naomb nisaidie
@alodiahgelad5832
@alodiahgelad5832 3 года назад
Asante doctor
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 3 года назад
Dokt nimwjifunza kitu amina nimekupenda sn sn na ns na ns barikiwa
@user-ku4jh3pr3u
@user-ku4jh3pr3u 11 месяцев назад
😢 doctor habari na m natatizo kama Hilo nilianza kukata saut na Sasa mais maumivu kwa Koo na ata kukauka
@zainabumussa5960
@zainabumussa5960 Год назад
Hata mm ni nailo tatzo la koo kukukaa nkinywa maji na kuwa sawa na makohoz yana toka muda mwingi yanakuwa na damu
@user-kw8fc4nu3w
@user-kw8fc4nu3w 4 месяца назад
Docter unapatikana wapi naomba namba namba kwa mawasiliano zaid hilo tatizo la kooo nalo
@Layla_Sulaiman88
@Layla_Sulaiman88 Год назад
Naomba namba kaka
@user-dt2kd7ri8u
@user-dt2kd7ri8u 11 месяцев назад
Mwez wa tatu huu koo linanisumbu😢
@AminaJacob-vu9fe
@AminaJacob-vu9fe Год назад
Mimi kaka Koo linakauka nashindwa kumeza mate na pumzi zinakata
@lrene4442
@lrene4442 10 месяцев назад
Unamda gani jamani ilo tatizo me
@husinahalidi4913
@husinahalidi4913 Год назад
Dokta ninaweza kupata namba zako tukawasiliana
@irenekatumwa5963
@irenekatumwa5963 3 года назад
Mimi sauti ilikata afu ikarudi lkn koo linauma sana
@leilasaid3623
@leilasaid3623 Год назад
Doctor ulivoeleza mim nina tatizo la koo la hewa maan hata wakati mwingine napumua kwa shida na haruf ya pafyum nikinusa tu basi kwenye koo naumia mpk ile haruf ya pafyum iishe na mdom wa juu karibu na klim kuna viupele haviish vinawasha kweli kweli nakun mpk natoa damu
@lovenesssamweli8426
@lovenesssamweli8426 2 года назад
Naombeni namba zasimu nimutafute
@sharonyasin7521
@sharonyasin7521 2 года назад
Kweli mimi sinywi maji
@user-nr3cg6kb5d
@user-nr3cg6kb5d 6 месяцев назад
Mm mefanyiwa oppression ya koo lkn ndo sauti aitoki sijui shida ni nn
@user-so1sj5mj1l
@user-so1sj5mj1l Месяц назад
Naomba namba
@careensam9245
@careensam9245 3 года назад
Samahani docta Mimi nipomeza chochote nahisi kama Nina kidonda inaweza kuwA tatizo gani?
@manaseyona9260
@manaseyona9260 2 года назад
Infection s .caused by bacteria . nashaur ufike Hosp kuchunguzwa
@Kalssambabo-gv6uh
@Kalssambabo-gv6uh 7 месяцев назад
​@@manaseyona9260number zako sasa tutazipata vp
@husnanyundo110
@husnanyundo110 Год назад
Mm niko na tatizo nahisi kunyogwa kwa koo hadi kifuwa kujaa je nitasaidika vipi na kuteuka sana
@sharifumanili8627
@sharifumanili8627 3 года назад
Badilisha namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu namba hizo ni 0744243577
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
He kwanini Sasa wadanganye kutoa namba zao kumbe si zao
@leilasaid3623
@leilasaid3623 Год назад
@@hanifatanzania7258 ni kweli watu wanao toa no zao qakat sio doctor matapeli hao
@sharifumanili8627
@sharifumanili8627 3 года назад
Badilishen namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu ni 0744243577
@nicorausshemdoe4071
@nicorausshemdoe4071 Год назад
Habali
@johnchimaguli7501
@johnchimaguli7501 3 года назад
Huyu doctor anajua Sana kazi take.
@mussarupia159
@mussarupia159 3 года назад
Dr nakupataje ninashida na wewe no zako yafadhar
@mussarupia159
@mussarupia159 3 года назад
Dr naomba namba zako nasikitika uko kimya juu ya mawasliano
@leoniaoswardleonia5513
@leoniaoswardleonia5513 2 года назад
@@mussarupia159 tunahitaji msaada Dr ninayi hiyo shida ya kupata sauti namaumivi wakati wa kumeza
Далее
MAUMIVU YA MGONGO, CHANZO ,DALILI NA TIBA
19:17
Просмотров 21 тыс.
Mzee Mwinyi Jaku - Cancer ya Koo inatibika
17:27
Просмотров 7 тыс.
Epic Throw In Moments 😂
0:30
Просмотров 4,6 млн
Cristiano Ronaldo  Ona 🫀
1:00
Просмотров 2 млн