MFAHAMU DKT MPANGO: MTOTO wa MKULIMA Aliyeutosa UPADRI na KUTEULIWA Kuwa MAKAMU wa RAIS...
KIFO Cha Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, kimepelekea aliyekuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Kuapishwa kuwa Rais mpya wa Tanzania..
Jambo hilo limepelekea nafasi ya Makamuwa Rias kuka wazi kwa siku kadhaa mpaka tarehe 30 Machi ambapo Rais Samia aliteua jina la PHILIP MPANGO Kuwa Mkamu wa Rais na Bunge kulipitisha kwa asilimia 100.
Tarehe 31, Dkt Philip Mpango aliapishwa kuwa Makamu wa Rais na hivyo kuanza kuhudumu rasmi katika wadhifa huo.
Hata hivyo, Dkt Philip Mpango, Mkamu wa Rais wa Tanzania, hakuibuka kutoka kusikojulikana baali safari yake tangu utotoni imekuwa ikigubikwa na milima na mabonde mengi.
Global Tv Online tumekuandalia makala hii fupi kuangazia safari ya Dkt PHILIP MPANGO kuanzia enzi za utoto wake mpaka kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
5 сен 2024