Sheikh Kipozeo anatoloea ufafanuzi juu ya mwanamke anaweza kumuacha mumewe kama ambavyo Shilole alipost kwenye instagram account yake, na je mwanamke anatakiwa kupigwa na mumewe, na vipi watu kuingilia ndoa za watu ni sawa?
Kuna hukumu ya wazinifu ambao hawajafunga ndoa na pia kunahukumu ya waliofanya zinaa wakiwa katika ndoa kwanini hufafanui hata kupiga huwezi mpiga usoni mkeo,wala kumuumiza fafanua vizuri shaikh kipozeo wengi tunakusikia mtandaoni.
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
Mimi naongezea watu washa shibana kila jambo kabla ya ndoa wakiowana ndio ifae nini shida tuliambiwa tuowe wanawake wenyewe dini twaenda owa wanamuziki wacheza kigodoro ili mupate kiki mitandaoni matokeo ndio hayo
By the way,nimependa ndugu ntangazaji ulivojitahidi kujistiri,umependeza sana,ila next time jitahidi kuzidi kujistiri maeneo ya shingoni,manake nakuona Masha Allah umefunika viganja ambavo ni sawa kuonekana kwa dini yetu ya kiislam,lkn kdg umeshindwa maeneo ya kwe shingo while ndi ni haram kuonekana kiislam.
Mnakosea hebu jirekebisheni.. sheikhe anatoa mawaidha ya dini afu munapiga mziki background.. mawaidha yanataka utulivu ili watu wapate faida ya maneno ya Allah..
Wazungu wanasema "The pen is mightier than the sword" Sasa wapenzi watazamaji na waskilizaji wenzang tushaona kdg wtaarishaji kipindi wamekosea kutuwekea music,kwnn hatujaribu kuwaambia politely hadi tutoe maneno makali makali namna hii? Siku zote maneno mazuri humtoa nyoka pangoni,lkn kwa hvi tunavofanya itakuwa hatulinganii badala yke ni tunaonesha tunataka mvutano...Tubadilikeni! Hadithi sahihi inasema (ktk uislam),ukiona uovu ktk jamii anza kwa kusema,ikishindikana ondoa uovu huo kwa mikono yako,na ikishindikana bc chukia ktk nafsi yako.Shukran
mnaongea masaili ya kidini sasa huo mziki wa nini? kwa nini hata maswala ya serious mnafanyia mzaha,? Katika editors wenu wote hamna Muislam aliyesema kuuondoa huo mziki?
mnajadili juu ya kupigwa mwanamke wakati mwanamke alikwenda kwa muhhamad ngozi yake imebadilika imekuwa ya kijani kwa kigigo.. na muhhamad akasema anastahili... sasa unasemaje?? uislam hauruhusu.. kupiga??? pili kuna Aya..kwenye Quran inasema Allah ndio kaleta... uchawi kwaajili ya kuvunja ndoa tu.. sasa mbona anashangaa wakati Allah ndio kaushusha uchawi ili mke na mume wawe wansachana kwahiyo kwenye uislam ni kazi ya Allah
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html