Тёмный

Mgundini: Sheikh Kipozeo Aeleza Ruksa Mume Kumpiga Mkewe | Mwanamke Hawezi Kumpa Talaka Mumewe 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Sheikh Kipozeo anatoloea ufafanuzi juu ya mwanamke anaweza kumuacha mumewe kama ambavyo Shilole alipost kwenye instagram account yake, na je mwanamke anatakiwa kupigwa na mumewe, na vipi watu kuingilia ndoa za watu ni sawa?

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@yusufjuma264
@yusufjuma264 4 года назад
Comment zote ni ngoma ngoma munaskiza.maneno ya Sheikh ama ngoma
@saidaally5105
@saidaally5105 3 года назад
huu muziki sio mahala pake
@faridahalil4456
@faridahalil4456 3 года назад
Reduce the volume of music damn!!! Inaleta disturbance or destruction please
@muddyaforeal1145
@muddyaforeal1145 4 года назад
Huyu dada mbona mzuri mpaka chenji inabaki
@manenojongo3470
@manenojongo3470 4 года назад
Nyinyi wapuuz mziki wann xx
@abuibra
@abuibra 3 года назад
Kuna hukumu ya wazinifu ambao hawajafunga ndoa na pia kunahukumu ya waliofanya zinaa wakiwa katika ndoa kwanini hufafanui hata kupiga huwezi mpiga usoni mkeo,wala kumuumiza fafanua vizuri shaikh kipozeo wengi tunakusikia mtandaoni.
@suleymanially974
@suleymanially974 4 года назад
Sasa hayo magoma ya nn?
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 4 года назад
Mm nashangaa sana, hiyo Mingoma ya nn,heshimuni mnachokiongelea na mnaeongea nae,mnakera mazungumzo ya maana mnaweka muziki washenzi nyinyi
@hanssabiti3625
@hanssabiti3625 3 года назад
Jamani,sasa mambo ya mwenyezi Mungu mnaisindikiza kwa mziki ?
@jumamohammed5378
@jumamohammed5378 2 года назад
Inallilalahi miziki mingi ila mawaidha mazuri Allah akupeni ufahamu wakuna
@johsea122
@johsea122 3 года назад
Shekhe anamaneno mazuri, yakufurahisha
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 года назад
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 3 года назад
Mimi naongezea watu washa shibana kila jambo kabla ya ndoa wakiowana ndio ifae nini shida tuliambiwa tuowe wanawake wenyewe dini twaenda owa wanamuziki wacheza kigodoro ili mupate kiki mitandaoni matokeo ndio hayo
@mbembelatv
@mbembelatv 4 года назад
Nmeupenda muzik huo background 👏😅
@hashtagdarling4738
@hashtagdarling4738 4 года назад
Sasa iyo solo beat niyann wakati mada apo imebase kwenye dini.mbona hamna heshima na dini .?
@assoumnassor2930
@assoumnassor2930 4 года назад
By the way,nimependa ndugu ntangazaji ulivojitahidi kujistiri,umependeza sana,ila next time jitahidi kuzidi kujistiri maeneo ya shingoni,manake nakuona Masha Allah umefunika viganja ambavo ni sawa kuonekana kwa dini yetu ya kiislam,lkn kdg umeshindwa maeneo ya kwe shingo while ndi ni haram kuonekana kiislam.
@ummialey6391
@ummialey6391 4 года назад
Mmechemsha mziki
@ummialey6391
@ummialey6391 4 года назад
Shehe umeeleweka
@lionking3015
@lionking3015 4 года назад
Mnakosea hebu jirekebisheni.. sheikhe anatoa mawaidha ya dini afu munapiga mziki background.. mawaidha yanataka utulivu ili watu wapate faida ya maneno ya Allah..
@aishagakurya1964
@aishagakurya1964 3 года назад
🎶music wanini kwa mawaidha
@bignation3959
@bignation3959 4 года назад
Mnaenda kumhoji sheikh kuhusu mambo muhimu thn background mnapiga beats sijui kinanda, sijui singeli hio
@bignation3959
@bignation3959 4 года назад
Haipendezi rekebisheni kdg
@assoumnassor2930
@assoumnassor2930 4 года назад
Wazungu wanasema "The pen is mightier than the sword" Sasa wapenzi watazamaji na waskilizaji wenzang tushaona kdg wtaarishaji kipindi wamekosea kutuwekea music,kwnn hatujaribu kuwaambia politely hadi tutoe maneno makali makali namna hii? Siku zote maneno mazuri humtoa nyoka pangoni,lkn kwa hvi tunavofanya itakuwa hatulinganii badala yke ni tunaonesha tunataka mvutano...Tubadilikeni! Hadithi sahihi inasema (ktk uislam),ukiona uovu ktk jamii anza kwa kusema,ikishindikana ondoa uovu huo kwa mikono yako,na ikishindikana bc chukia ktk nafsi yako.Shukran
@walidalesry7482
@walidalesry7482 2 года назад
Sasa yanini mziki
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 года назад
Mtangazaji umefanya vizuri kwa kumkabili sheikh kwa kujistiri
@azizaabdallah6491
@azizaabdallah6491 Год назад
Mimi sijaelewa sasa nasikiliza mawaidha na nyimbo au vipi Chagueni moja basi jamani aidha mawaidha ama nyimbo.
@sarahhabib5902
@sarahhabib5902 3 года назад
Wimbo? na mawaitha inatolewa ?
@hmwdy_1173
@hmwdy_1173 2 года назад
Mziki wa kishenzi inaonesha nyinyi siyo wema
@babikirmusa6963
@babikirmusa6963 3 года назад
Nimepata mafunzo
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 года назад
Music wako anakera daada.yani apana kabisa
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 года назад
Music kero
@sarahhabib5902
@sarahhabib5902 3 года назад
Aslaamlekum. Shekh sithani kwanza Kama ni vizuri kumpiga mke wako au mwanamke bora kumu talaka ? Pia vipi huyo mwanamke atakupenda kama unampiga?
@MakameFaki-b3m
@MakameFaki-b3m 22 дня назад
Mwanamke hapiigwi pigo lakuumiza
@Ab-kq7ql
@Ab-kq7ql Год назад
Dinî ya ajabu
@alithabit7617
@alithabit7617 3 года назад
Achen ushamba kuweka mziki wakati Sheikh anaongea vitu vya Maana
@mujyu3438
@mujyu3438 4 года назад
mnaongea masaili ya kidini sasa huo mziki wa nini? kwa nini hata maswala ya serious mnafanyia mzaha,? Katika editors wenu wote hamna Muislam aliyesema kuuondoa huo mziki?
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 года назад
Maharage yambie hawana kheri 😀😀
@jesusislord9190
@jesusislord9190 2 года назад
mnajadili juu ya kupigwa mwanamke wakati mwanamke alikwenda kwa muhhamad ngozi yake imebadilika imekuwa ya kijani kwa kigigo.. na muhhamad akasema anastahili... sasa unasemaje?? uislam hauruhusu.. kupiga??? pili kuna Aya..kwenye Quran inasema Allah ndio kaleta... uchawi kwaajili ya kuvunja ndoa tu.. sasa mbona anashangaa wakati Allah ndio kaushusha uchawi ili mke na mume wawe wansachana kwahiyo kwenye uislam ni kazi ya Allah
@saajasnews576
@saajasnews576 3 года назад
samahani ingependeza music ikapunguzwa ili tukaweza kujifunza kutoka kwa shekh
@mayangeramadhani8497
@mayangeramadhani8497 2 года назад
Mdundo upuuzi mtuupu mnakera
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 Год назад
Jat the background music for? Can't listen to this mess. Ujinga mtupu inakuje myu anaongea na background music?
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 года назад
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 года назад
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 года назад
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kHp-9wK9Tyw.html
Далее
VIJANA WA K/KOO HAWANA HESHIMA //SHEIKH KIPOZEO
28:50
FATWA | Nini hukmu ya Mume ambaye hamjali mkewe?
7:49
SHEIKH HILAL KIPOZEO TAWBA Uisilamu na elimu
50:01
Просмотров 65 тыс.