Yaani inatupasa kuliishi Nemo la Mungu, na uchaji wa kiwakiwango cha juu sana ubarikiwe sana baba ,Mungu umkumbuke mzee kolola ,kwa kazi yako aliyoifanya hapa duniani
ubarokiwe sana kwa kazi hii njema ya kurusha mafundisho ya neno la MUNGU ambayo yanabadilisha maisha watu na kuwafanya wapate kweli na kuokoka ile wawezi kuingia ile njia nyembamba.Amen
Kama tungeweza kusume abaki basi tingesema lakini huwezi maana kila kitu Mungu anakifanya kwa wakati wake ,Mungu tunakushukuru Maana hata hatujui kwamba tutawapata wapi tena mtu kama huyu ,aliyah Jawa na neno lako