Live On Live Kutoka Hapa Chanika,Wilaya Ya Ilala,Jijini D’salaam,Nyumbani Kwa Hayati,Askofu,Dk Moses Kulola,Muhubiri Wa Kimataifa Aliyefahamika sana Hapa ndani na Nje Ya Tanzania,Aliyezaliwa June 1928 huko Mkoani Mwanza,Mwanzilishi Wa Dhehebu La EAGT,Alifariki Tarehe 29 Aug 2013.
Historia Ya Maisha Yake,Idadi Ya Watoto,Maisha Ya Kihuduma ,Kufungwa Gerezani,Nk anayaleza Mtoto Wake Wa Tatu , Eng. Willy Moses Kulola @willykulola
Interview Hii Inapatikana Yote Kupitia RU-vid Channel Yako Ya @paziatv usisahau Ku-subscribe Ili kupata Habari Kubwa za Gospel Kutoka Kila Kona Ya Mitaa mbalimbali Duniani.
23 сен 2024