Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au
miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni
Ukisikia wazimu ndiyo huu Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure... Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela