Лучшее на RU-vid
Кино
Авто/Мото
Видеоклипы
Животные
Спорт
Игры
Приколы
Развлечения
Хобби
Наука
Авторизоваться
Зарегистрироваться
FULL BAJETI YA RAMANI YA ROOMS 4 SIKILIZA UPATE KUJUA GHARAMA ZAKE #ramanizanyumba
10:44
PETER MSECHU NA MJENGO WAKE WA KIFAHARI, AFUNGUKA ALIVYOJENGA KWA GHARAMA "SIUZI HATA KWA BILIONI 3"
15:39
Строим ЛАГЕРЬ ВЫЖИВШИХ в ЛЕСУ без ЕДЫ И ВОДЫ - Дикая кухня и ВЫЖИВАНИЕ с минимумом снаряжения
31:25
Максим Шевченко про кровную месть, конфликт Кадырова и Керимова и скандал вокруг Wildberries
33:43
🤣 Владельцы Феррари и Ламборгини не ожидали ТАКОГО от старого Мерседеса! | Новостничок
00:21
13 Карт - Клоны играют в группе | 6 серия
13:14
#RAMANI
Sanuka Media
Подписаться 48 тыс.
Просмотров 40 тыс.
50%
1
Видео
Поделиться
Скачать
Добавить в
#ujenzi #ramanizanyumba #ujenzinafuu
Опубликовано:
14 окт 2024
Поделиться:
Ссылка:
Скачать:
Готовим ссылку...
Добавить в:
Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии :
107
@odettevianney3026
8 месяцев назад
Motivational speaker mzuri! Keep it up! Shida kuanza mengine utajipanga kama hiyo ni kweli au la
@aminaabood2898
9 месяцев назад
Tuonyeshe ndan bro kaz zur nitakutafuta
@zamdamasondole8272
8 месяцев назад
Wanauza Ramani wakikuonyesha hautanunua.
@Reginajohnson19884
3 месяца назад
Tatizo hawaonyeshagi
@361NEWS
10 месяцев назад
uko vzr sana kaka bei zako zimekaa vzr sanaaaaaaa!!!!!!!!!!
@ramadhanmboga6047
11 месяцев назад
Bro nakufatilia kutoka kenya. Nna malengo ya kujenga nyumba ya kupanga. Napenda ramani zako
@HappyJohn-rj8co
9 месяцев назад
Umeongea kitu sana
@emmanuelmwangosi9400
8 месяцев назад
You are the best analyst. Good job
@mafioso1_.
8 месяцев назад
Aisee una kipaji kikubwa sana ✊🏿✊🏿 Maelezoo yame nyooka
@zanzibarnikwetu1998
5 месяцев назад
WOW!!!! Keep it up brother!
@trillhappybeautypoint9874
Год назад
Aiseee ramani unauzaje ndugu nikupe kazi
@luciamsani
Год назад
Ahsante sana naanza kujichanga adoado
@halimasanga3830
Год назад
Aiseee ansate sanaa kwa kutufungua. Ubarikiwe sanaaa
@ondiekooko6615
8 месяцев назад
Pokea simu
@ceciliamaneti5283
4 месяца назад
Tufanye kazi kaka
@PapakinyiMelita-f1x
8 месяцев назад
Nafuu kweli kaka amani
@mbarukmohamed1399
Месяц назад
Lete namba yako ya simu
@SurprisedAtom-hg2wc
3 месяца назад
Pole nakazi natamani nione ndani kama inawezekana
@CatherineMwihumbo-y2e
3 месяца назад
Nimependa ramani zako,hasa ile ya vyumba vitatu,napataje ramani
@mariethaadelinminja6429
Месяц назад
Iko wapi
@nasrahkarata
День назад
Ww kaka me nakupataje nipo uwarabuni naitaji kuongea na ww naitaji kujenga
@yusrababuu
Год назад
Aisee ubarikiwe sana sana😊
@sanukamedia9084
Год назад
🙏🙏🙏
@ZakayoLaizer-v3g
9 месяцев назад
Kaka uko sawa sana
@Jackilinedanielikilika
8 месяцев назад
Asantee kk
@peterpaschal4522
9 месяцев назад
Mbn garama kidogo sana
@zamdamasondole8272
9 месяцев назад
Yaani ndio nashangaa hapa !!
@zamdamasondole8272
9 месяцев назад
Ina maana mpk Finishing??
@peterpaschal4522
9 месяцев назад
Hapa tunaletwa ase sijui lakni labda tumeibiwa na fundi
@stansiauisso5441
Год назад
Barikiwa zaidi hio bei ya bati sijaelewa aina gani ya bati
@jamiinaafyanjema2966
Год назад
Daah! umeniamsha aisee nashukulu sana🙏
@sanukamedia9084
Год назад
👍🙏💯💯
@VickKulekana-si1ib
Год назад
Hongera Raman nzur
@ZuwenaSoni
Год назад
Asante nitakutafuta
@MariamMpili-j6n
Месяц назад
Mie nataka kujenga room 3 kwa raman hii inaweza ikawa bei gani
@HaliimaJuma-b6k
6 месяцев назад
Hi bro nakufatilia san nikiwa oman one day nitakucheki
@GustavitoJr
Год назад
We jamaa unajua sana
@Mpakauseme
Год назад
Salute 🫡 unatufungua vichwa
@sanukamedia9084
Год назад
👍💯🙏
@sikudhanimoshi6967
9 месяцев назад
Mzuri
@ManukatoBand-ep3cu
5 месяцев назад
Asante
@zechariahnganga3520
4 месяца назад
Piping ya umeme na plumbing je?
@asyavuai
Год назад
ASSALAAM ALEKUM, BABA MWANANGUNAPENDA KUJUA UKUBWA WA VYUMBA NI FUTI NGAPI,? MAANA MIMI NAPENDA VYUMBA VIWE VIKUBWA KEA AJILI YA FANTURE
@FathimaOman-j5g
8 месяцев назад
Yani kaka nimependa Romania ya nyumba
@fahadally4444
Год назад
Mungu akulipe kwa mchango wako hakika nitakutafuta
@sanukamedia9084
Год назад
Inshallah 🙏
@ezekielmabwai482
9 месяцев назад
Mwongo, Hapo bila be milioni 60 NI ndoto.
@zamdamasondole8272
8 месяцев назад
Unajua haya mahesabu unaweza ukagombana na watu walikusimamiaa ujenzi..Nimechukuwa hesabu zke na za ujenzi wangu ziko tofauti sanaaa!!!
@zamdamasondole8272
8 месяцев назад
Sioni hesabu ya mkanda na kinta hapa
@issasued957
8 месяцев назад
Kabsa 😂😂😂
@masalasona3735
Год назад
Thanks
@aludofaustine
5 месяцев назад
Nyumba hii aina mlango nyuma
@geofreyrwela594
Год назад
Unapatikana Dar Sehemu Gani?
@filafinancebss2925
Год назад
🔥🔥🔥🔥
@RathikaRathika-o9i
11 месяцев назад
💯💯💯
@petermusa7711
9 месяцев назад
Nu vizuri useme nyumba hii inahitaji kiwanja cha ukubwa gani
@raphaelgodfrey3284
8 месяцев назад
Ameshakuambia ukubwa wa nyumba, ukubwa wa kiwanja unajiongeza mwenyewe.
@imamuhamisi4421
6 месяцев назад
@@raphaelgodfrey3284ukubw wanyumber square meter 30😂? Sijaaelew apo
@vailetheanyambilile9749
9 месяцев назад
Brother niko oman na nina kiwanja dara haki nachukua namba zako
@iddyjuma-iw5yy
6 месяцев назад
Habari kk nimekuelewa San namba namba yako
@KusirieJonathan-ln5hk
4 месяца назад
Nyumba ni nzuri,ila usituonyeshe nje TU,tunataka tuone na ndani
@RayaMussa-r3e
2 месяца назад
Tyr nnazo nitakupataje
@SaumaBakari-ld2dy
4 месяца назад
Asate kak
@maryamChumas
Год назад
Squal meter mie sijui ama ni sawa na kuhesabu miguuu
@zamdamasondole8272
8 месяцев назад
Sijasikia hesabu ya kuweka Linta .
@estherdavidjohn-py7hh
8 месяцев назад
hamjasema wiring ya umeme na maji
@josephmsabila9017
8 месяцев назад
Kwa bei uliyoitaja siyo sahihi kabisa. Nyumbai hiyo bila millioni 90, hutoboi. Hizo ulizozitaja ni kujenga boma tu.
@nyagwisipaul520
4 месяца назад
ckiliza vzur
@innocentchuwa528
Год назад
💯
@Drcrazy123-d5q
Год назад
Yan kepten uko sw kabisa
@Hadia-w1s
Год назад
Jamani.nitakutafuta
@ceciliamaneti5283
4 месяца назад
Naitaji tuwasiliane Naitaji unijengee kama hii, nakupataje?
@Jerie-q1c
8 месяцев назад
Sqm 30? Mjumba wote huo??
@imamuhamisi4421
6 месяцев назад
Apo itakua kakosea hakuna nyumba ya vyumb ten vinne iwe na square meter 30, labd ivo vyumb ukubwa wake tu kam vyoo
@petermusa7711
9 месяцев назад
Huku dodoma naona fundi analipisha kwa tofari,,tofari moja ni 300
@hurumajosephat6333
11 месяцев назад
Sio rahis kihivo
@basilisamsaka8469
9 месяцев назад
Kweli kabisa sio rahis ki hivyo
@ginimbifamily3995
9 месяцев назад
Uyu fundi anadanganya watu sana ...atakuj kufungwa akipewa kaz 😂😂😂😂
@chrissjapheth2803
Год назад
Watu wa Dar mkishindwa kujenga, Aiseh mikoani huku sio poa Mchanga tu Tipa Mpaka 220,000
@sanukamedia9084
Год назад
Duu🤔
@chrissjapheth2803
Год назад
Tena hapo uwe makini, unaweza uziwa mchanga una magadi
@chrissjapheth2803
Год назад
Kokoto kuna za mkono na za crusher zote bei tofauti, kokoto inaanzia 150,000 usafiri inategemea umbali ila inafika hadi 200,000 kwa kokoto za mkono ila zile za crusher ndo bei mbaya kabisa
@chrissjapheth2803
Год назад
Tofali na hii bei mpya ya cement inch 5 ni 1400 usafiri ndani ya km 6 ukitoka nje ya hapo jua unalipia usafiri yani Dar mjenge mapema aiseh🔥
@preciousjikoni
Год назад
shida sio kijenga shida viwanja sasa😅
@joshuamweta5550
8 месяцев назад
80*22000=1760000
@geofreyrwela594
Год назад
Ina square metre 30?
@Kalssambabo-gv6uh
Год назад
20 kwa 20 square mietre sawa na 400 hii itakua 600
@dork8749
7 месяцев назад
Sq 600 ni nyingi sana labda sqm400 ukubwa huo @@Kalssambabo-gv6uh
@Jerie-q1c
8 месяцев назад
Labda kama unazungumzia nyumba ingine. Sio hio unayoionyesha
@annakbunga8377
8 месяцев назад
Kabisa
@VickKulekana-si1ib
Год назад
Ndio tunasemaga hivyo Jenga nyumba ya uwezo wako
@asyavuai
Год назад
HIVYO VYUMBA VINA UKUBWA GANI
@agnessima5032
11 месяцев назад
Room 4
@st.alvincollege6184
Год назад
unavyosema ina sqm30 maana yake nn? 30*30 au??
@anthonyilalio988
11 месяцев назад
Nauhakika kakosea hapa, jibu plz kama bado unaiona hii
@agnessima5032
11 месяцев назад
Nadhani.
@barakatingisa505
9 месяцев назад
Hapo bila shaka kamaanisha 30mX30m
@issasued957
8 месяцев назад
5m×6m~ 30sqm
@issasued957
8 месяцев назад
@@barakatingisa505 hyo ni 900sqm. Bonge la kiwanja hcho
@melch3097
9 месяцев назад
Tatizo lako hujibu simu
@eunicegerminus193
8 месяцев назад
Unafanya masihala nn ww hiyo nyumba bila ml.70 hutoboi na kwa tofari 2000 uwongo labda imejengwa bila msingi
@annakbunga8377
8 месяцев назад
Umeona eee mm mbn kama sijaelewa
@arlonmwaka8077
6 месяцев назад
Mnakariri eeeh 😂😅
Далее
10:44
FULL BAJETI YA RAMANI YA ROOMS 4 SIKILIZA UPATE KUJUA GHARAMA ZAKE #ramanizanyumba
Просмотров 90 тыс.
15:39
PETER MSECHU NA MJENGO WAKE WA KIFAHARI, AFUNGUKA ALIVYOJENGA KWA GHARAMA "SIUZI HATA KWA BILIONI 3"
Просмотров 259 тыс.
31:25
Строим ЛАГЕРЬ ВЫЖИВШИХ в ЛЕСУ без ЕДЫ И ВОДЫ - Дикая кухня и ВЫЖИВАНИЕ с минимумом снаряжения
Просмотров 318 тыс.
33:43
Максим Шевченко про кровную месть, конфликт Кадырова и Керимова и скандал вокруг Wildberries
Просмотров 152 тыс.
00:21
🤣 Владельцы Феррари и Ламборгини не ожидали ТАКОГО от старого Мерседеса! | Новостничок
Просмотров 1,3 млн
13:14
13 Карт - Клоны играют в группе | 6 серия
Просмотров 335 тыс.
17:21
EPUKA MTAZAMO HUU - JOEL NANAUKA
Просмотров 21 тыс.
14:31
FULL BAJETI YA NYUMBA HII YA GHARAMA NAFUU HII HAPA Tsh MILIONI6 NA LAKI6 UJENZI NAFUU #ujenzinafuu
Просмотров 21 тыс.
2:51
Ujenzi Wa Apartments wa Gharama Nafuu
Просмотров 23 тыс.
9:07
KWA MILLION 4 TU ZAHIR ANAKUJENGEA HUU MJENGO ITAKAYOBAKI UTALIPA KIDOGO KIDOGO
Просмотров 14 тыс.
23:58
Ana miaka 18, yupo kidato cha 5, anamiliki duka kubwa la nguo, hiki ndicho wazazi wake walimfanyia
Просмотров 20 тыс.
30:05
KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
Просмотров 80 тыс.
11:56
TOP 10 MASTAA WENYE NYUMBA ZAO WALIZO JENGA WENYEWE WASANII MATAJIRI 2024
Просмотров 477 тыс.
5:40
KIM ASHAMBULIA PEMBEZONI MWA MPAKA WA KOREA KASKAZINI
Просмотров 681
8:54
Ramani ya Nyumba ID-21771, vyumba 4 vya kulala, matofali 3670+1825 na bati 141
Просмотров 3,9 тыс.
5:15
JENGA HII NYUMBA KWA Tsh.13,928,000 RAMANI YA ROOMS 4 INA KILA KITU NDANI #ujenzinafuu
Просмотров 19 тыс.
31:25
Строим ЛАГЕРЬ ВЫЖИВШИХ в ЛЕСУ без ЕДЫ И ВОДЫ - Дикая кухня и ВЫЖИВАНИЕ с минимумом снаряжения
Просмотров 318 тыс.