Тёмный

MIRAJI |KOCHA HANA CV ZA BENCHIKA MMH! BALEKE OKRAH TATIZO YANGA |CHOMBO KIPYA MSIMBAZI TISHIO 

Finest Online
Подписаться 63 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 151   
@jumamakame3978
@jumamakame3978 10 дней назад
Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂
@HamicKauno255
@HamicKauno255 10 дней назад
Mbona kama mwendo ni ule ule 😂
@IllhaamIbrahim
@IllhaamIbrahim 10 дней назад
😂😂😂😂😂
@FranksonMkumbwa-mb3pp
@FranksonMkumbwa-mb3pp 10 дней назад
😂😂😂😂😂😅
@southernkid6932
@southernkid6932 10 дней назад
😂😂😂
@FahadBurhan-dl9ik
@FahadBurhan-dl9ik 9 дней назад
Chagamba mabega yangekua meusi kwa makofi ya miraji.. 😂
@hassanchiwambo687
@hassanchiwambo687 10 дней назад
Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...
@amaniomar1755
@amaniomar1755 10 дней назад
Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 10 дней назад
Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko
@amaniomar1755
@amaniomar1755 10 дней назад
Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee​@@fettiemaganza1484
@mnabukulakasaka
@mnabukulakasaka 10 дней назад
Miraji wachezaji wako 2 bado
@mwanangusana
@mwanangusana 10 дней назад
​@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂
@jumahabibu5772
@jumahabibu5772 10 дней назад
Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 10 дней назад
Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo
@hamissima
@hamissima 10 дней назад
😂😂🎉
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 10 дней назад
miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO
@EmmaPallanjo
@EmmaPallanjo 10 дней назад
Bega la chagamba Leo limepumua
@victorlyimo896
@victorlyimo896 10 дней назад
Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 10 дней назад
Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani
@charlesmelkiory4742
@charlesmelkiory4742 10 дней назад
Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance
@LearnBenjamin
@LearnBenjamin 10 дней назад
Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 10 дней назад
😂😂😂
@zamdajumbe7742
@zamdajumbe7742 10 дней назад
Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano
@deogratiusvalentino6248
@deogratiusvalentino6248 9 дней назад
Leo bega la chagamba litapumzika😂
@amanikwiyima9054
@amanikwiyima9054 10 дней назад
Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia
@sabinaechasa2925
@sabinaechasa2925 10 дней назад
Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂
@mwlhalimoja.ekingunza1819
@mwlhalimoja.ekingunza1819 10 дней назад
😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂
@BubuallyMwakipesile-br8dc
@BubuallyMwakipesile-br8dc 10 дней назад
Naomba uwakumbushe viongozi wetu wa Simba chakwanza wawalinde wachezaji kwadua nakilakitu
@user-fg8hg9fe1w
@user-fg8hg9fe1w 10 дней назад
Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂
@husseynomar9523
@husseynomar9523 10 дней назад
MIRAJI SAWAAA🎉🎉🎉🎉❤
@AbassiBaro-jc3il
@AbassiBaro-jc3il 10 дней назад
Duuh tumeshapata office good 👍
@idrisahamimuhasani5717
@idrisahamimuhasani5717 10 дней назад
Maramoja leo umeongea kishabiki Zaid
@amaniomar1755
@amaniomar1755 10 дней назад
Amejitahidi lakini
@BubuallyMwakipesile-br8dc
@BubuallyMwakipesile-br8dc 10 дней назад
Simba nguvu moja miraji Mimi nakukubali sana
@user-cw8yt9pr8j
@user-cw8yt9pr8j 10 дней назад
Leo sehem salama
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 10 дней назад
Ligi ikianza Mangungu tuachie timu yetu
@mwasunga
@mwasunga 10 дней назад
Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi
@BahatiomaryMwambela
@BahatiomaryMwambela 10 дней назад
Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 10 дней назад
Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji
@user-sz9om9ly4y
@user-sz9om9ly4y 10 дней назад
Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.
@SospeterMasanja-r6b
@SospeterMasanja-r6b 10 дней назад
Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji
@monifrank347
@monifrank347 10 дней назад
Okojepha tayari tushamsajiri
@SamsonSaruni-s3g
@SamsonSaruni-s3g 10 дней назад
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️
@SuleimanJuma-dv8gt
@SuleimanJuma-dv8gt 10 дней назад
Setup ya leo amazing👍
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 10 дней назад
Kwa leo chagamba mikofi inamkosa
@abduldihomba1632
@abduldihomba1632 10 дней назад
Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..
@abelimaganga417
@abelimaganga417 10 дней назад
Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤
@AbbasyMdabwa
@AbbasyMdabwa 10 дней назад
Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni
@sittandaki2135
@sittandaki2135 9 дней назад
Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili
@shebbylove9463
@shebbylove9463 7 дней назад
😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸
@FabianiNguvumali
@FabianiNguvumali 9 дней назад
Leo umeongelea kiushabik zaid ukwel miaka mitatu ujao sio leo
@user-me3dy9zk7e
@user-me3dy9zk7e 10 дней назад
Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?
@mhehejrtv9637
@mhehejrtv9637 10 дней назад
Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia
@user-er9xv9yz7b
@user-er9xv9yz7b 10 дней назад
Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 10 дней назад
Miraji tunza maneno ya akiba, leo unatupanga kiushabiki.
@Charlesmagita
@Charlesmagita 7 дней назад
chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari
@tumainimano9953
@tumainimano9953 10 дней назад
Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa
@dicksonmapunda7836
@dicksonmapunda7836 10 дней назад
Miraji🎉
@marthageorge5043
@marthageorge5043 10 дней назад
💥💥💥💥
@FredyPeter-rq8hj
@FredyPeter-rq8hj 10 дней назад
hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 10 дней назад
Umeona eeeh.
@mwlhalimoja.ekingunza1819
@mwlhalimoja.ekingunza1819 10 дней назад
Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?
@Elias13083
@Elias13083 10 дней назад
@RajabuSelemani-rj9hy
@RajabuSelemani-rj9hy 10 дней назад
Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂
@abasikusaga6132
@abasikusaga6132 9 дней назад
Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake
@frankmisana1133
@frankmisana1133 10 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@LwessoKisekaJuma-wb1zu
@LwessoKisekaJuma-wb1zu 10 дней назад
Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti
@hawachitale
@hawachitale 10 дней назад
Chagamba ana hamu ya kupigwa leo
@deogratiaspmwolo1942
@deogratiaspmwolo1942 10 дней назад
Gamba tulete mzee Said Aisee.
@amaniomar1755
@amaniomar1755 10 дней назад
Namtamani sana Mzee wangu
@mwafyelatv1436
@mwafyelatv1436 10 дней назад
Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega
@omarkipotwile9052
@omarkipotwile9052 10 дней назад
Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂
@AidaniKungi
@AidaniKungi 10 дней назад
Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.
@user-vc8yc5oj6y
@user-vc8yc5oj6y 10 дней назад
Chagamba leo bega halitauma!!!
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 10 дней назад
Milaji wewe fundi 💪💪
@AliAliahmada-ht4ri
@AliAliahmada-ht4ri 10 дней назад
Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 10 дней назад
Aaaa gambaaaa
@muhsinkimaro4283
@muhsinkimaro4283 10 дней назад
Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 10 дней назад
Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.
@user-zk6sy4rn9n
@user-zk6sy4rn9n 10 дней назад
Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama
@user-mj3lt1ef7j
@user-mj3lt1ef7j 10 дней назад
Leo mabega yamepumuwa
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 10 дней назад
Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu
@kasimuhamidu8467
@kasimuhamidu8467 10 дней назад
Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba
@chng1990
@chng1990 10 дней назад
Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo
@KaujuMwakajumba
@KaujuMwakajumba 10 дней назад
Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 9 дней назад
Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai
@kibwanakizulege4632
@kibwanakizulege4632 10 дней назад
Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂
@RaphaelRapha-vz2sh
@RaphaelRapha-vz2sh 10 дней назад
Ase uyo mchezaji umempatia kinyama
@mimiraia2531
@mimiraia2531 10 дней назад
Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee
@alexshambutu5927
@alexshambutu5927 10 дней назад
Chagamba kaona mabega yake yapumue😅
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 10 дней назад
Nkubali chagamba na miraji
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 10 дней назад
Bado mnaamini ktk ushirikina.
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 10 дней назад
Jamaa ana akili sana
@DullaBallack-mw9zd
@DullaBallack-mw9zd 10 дней назад
Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi
@user-qi3wv8sf5j
@user-qi3wv8sf5j 10 дней назад
Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU
@josephgalandu128
@josephgalandu128 10 дней назад
Week and ya mabega leo😂😂😂
@kasimuhamidu8467
@kasimuhamidu8467 10 дней назад
Safi iiiiiiooooooo saa mbovu
@hassanmohamed9488
@hassanmohamed9488 10 дней назад
Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea
@carrenbenson2111
@carrenbenson2111 10 дней назад
Baleke mzuri sana
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 10 дней назад
Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂
@user-zx1vk9pr1w
@user-zx1vk9pr1w 10 дней назад
Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣
@jifunze0042
@jifunze0042 10 дней назад
wakwanza mimi leo
@maimunaathumani9121
@maimunaathumani9121 10 дней назад
Miraji leo unaumwa
@josephgalandu128
@josephgalandu128 10 дней назад
Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂
@user-gb2pl3ln9m
@user-gb2pl3ln9m 10 дней назад
Leo mko pambe sanaaaaa
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 10 дней назад
❤❤❤❤
@killingmleke1810
@killingmleke1810 10 дней назад
Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 10 дней назад
Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu
@jamesmaneno2281
@jamesmaneno2281 10 дней назад
We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 10 дней назад
Xavi mtupu
@BennBenn-es5fi
@BennBenn-es5fi 10 дней назад
Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 10 дней назад
🙏🤝🤲
@user-sn9nm1wu9j
@user-sn9nm1wu9j 10 дней назад
acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa
@brunomtweve8073
@brunomtweve8073 10 дней назад
Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari
@brighters4897
@brighters4897 10 дней назад
habari ya mjini ni simba tu
@amaniomar1755
@amaniomar1755 10 дней назад
Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza 9 дней назад
Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu
@PASCHALPETER-gp8ek
@PASCHALPETER-gp8ek 10 дней назад
Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅
@user-lz1lj9qg8e
@user-lz1lj9qg8e 10 дней назад
Leo hakuna makofi ya mabega
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 10 дней назад
Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua
Далее
Joy and Anxiety Mood (Inside Out Animation)
00:13
Просмотров 400 тыс.
Фонтанчик с черным…
01:00
Просмотров 2,6 млн
Joy and Anxiety Mood (Inside Out Animation)
00:13
Просмотров 400 тыс.