Miraji waambie viongozi wa Simba kwamba yanga Wana mbinu kubwa 5 za kuiharibia zimetumika muda wote Toka waanze kuchukua ubingwa wa miaka 3 mfululizo, Sasa Simba kama watazing'amua Basi yanga hawana lolote.
Kwani crown ya king kiba haimuoni chagamba na miraji siwaende wapige pindi laopale liwe pindi Lao pendwa ? King anafeliwapi . Anakazana kuokota okta waliotumika huko
mimi naeza washauri costal kimataifa waakikishe matampi na lawi wasiwauze na juma Shaban kama anakuja kweli atawasaidia ila nimeona game ya Leo wamecheza vby kisa awana first eleven Yao Ile ya msimu uliopita
×1 ukweli simba Hadi Sasa hivi usajili tumeridhika nao ila mm binafsi natamani Elie mpanzu aje unyamani naamini kocha atakuwa na machaguo mengi vipi Kwa upande wako