Тёмный
No video :(

MIRAJI | TUMKUMBUKE CHAMA KWA ALICHOTUACHIA | USAJILI VIONGOZI WAMEJITOA | JOBE SIO MAAMUZI MAGUMU 

Finest Online
Подписаться 75 тыс.
Просмотров 28 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 49   
@ChenchiKing
@ChenchiKing Месяц назад
Miraji Uwaga Akwepesh Yey Uwaga Ni Kutem Fact Tu🔥🔥
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Месяц назад
Hujawahi kufeli miraji mzeee wa minyoosho❤❤❤
@huseinbusaba5064
@huseinbusaba5064 Месяц назад
Yani miraji bana et hakuna noma 😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@christinaKufakulala
@christinaKufakulala Месяц назад
Miraji chukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉 wewe ni mtu na nusu 💪🏾
@williamissaya8091
@williamissaya8091 Месяц назад
Miraji waambie viongozi wa Simba kwamba yanga Wana mbinu kubwa 5 za kuiharibia zimetumika muda wote Toka waanze kuchukua ubingwa wa miaka 3 mfululizo, Sasa Simba kama watazing'amua Basi yanga hawana lolote.
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 Месяц назад
Nakuelewa sana miraji,ila me niko pale nimetuliaaaa!!! Krismasi haifiki kuna mtu atatolewa kafara pale msimbazi. Yani ni kama msimu uliopita.
@saidkhadija7557
@saidkhadija7557 Месяц назад
mamaeee kama naonaaq
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 Месяц назад
Oyaa hivi mwamba anajuaga jinsi anavyonikumbusha ngoma Kali zazamani kutoka kama kawa record
@BubuallyMwakipesile-br8dc
@BubuallyMwakipesile-br8dc Месяц назад
Miraji wewe nimwamba na kukubali jembe ila wambie viongozi wawalinde wachezaji wetu pia Dua isomwe kwajili ya wasaliti plz plz
@mrtallentsgp2623
@mrtallentsgp2623 Месяц назад
😂
@JacobTambara
@JacobTambara Месяц назад
Hiyo Dua una timu??
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 Месяц назад
Miraji Eeee, tarehe 8 tunawapiga hao utopolo niamini 🎉🎉
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile Месяц назад
Wa pili like kwa miraji mara moja
@FahiyeFarah6878
@FahiyeFarah6878 Месяц назад
Miraji is a world class PUNDIT 👏
@AloyceNdalije
@AloyceNdalije Месяц назад
nakuerewa sana miraji tuko pamoja familia
@ahmadakhelef9650
@ahmadakhelef9650 Месяц назад
marahii wkipita nyum tunapita hukohuko hakuingia vyumbani hatuingii mpaka kidleweke
@DM_15
@DM_15 Месяц назад
Kwani crown ya king kiba haimuoni chagamba na miraji siwaende wapige pindi laopale liwe pindi Lao pendwa ? King anafeliwapi . Anakazana kuokota okta waliotumika huko
@saidkhadija7557
@saidkhadija7557 Месяц назад
fact bro
@malietamaliet
@malietamaliet Месяц назад
mimi naeza washauri costal kimataifa waakikishe matampi na lawi wasiwauze na juma Shaban kama anakuja kweli atawasaidia ila nimeona game ya Leo wamecheza vby kisa awana first eleven Yao Ile ya msimu uliopita
@user-nh5ch4ur5x
@user-nh5ch4ur5x Месяц назад
hadi Dk 21:59 chagamba hajala makofi ya bega !
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 Месяц назад
Tatizo ushabiki mtu wa simba akiongea ukweli au akiwasema viongozi wake mnafurahi nyie mbona hamsemi yenu
@hammytototundu9292
@hammytototundu9292 Месяц назад
Nimefanya sana kubadirisha radio dah
@realmalik3192
@realmalik3192 Месяц назад
Kila Nikiangalia Kwa Usajili Tuliofanya Simba SC Nanusa Chuma 3 Anakufa UTOPOLO August 8 Japokuwa Wako Bora Sana #respect #nguvumoja
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Sawa in'shaaAllaah tunasubiri dakika 90'
@BibeLunangela
@BibeLunangela Месяц назад
Pole
@clintonnyaluke1567
@clintonnyaluke1567 Месяц назад
big up sana.
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx Месяц назад
Milaji ❤
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Месяц назад
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@Nuraty-oy1zy
@Nuraty-oy1zy Месяц назад
Miraji uko vzur cna unajua mpran kinoma
@user-hy6lh7cp1q
@user-hy6lh7cp1q Месяц назад
miraj nakubal sana bro coz unaongeaga fact bla kujal ushabk Yan unaweza kaka ungelkua kwenye media ingependeza sana
@SumaEtoo
@SumaEtoo Месяц назад
Kak unalijua sana ball yan ungekua kwenye midia da tungekua tunafurah sana
@HajiSimai-pp9cm
@HajiSimai-pp9cm Месяц назад
Ndugu miraji unahabari gani kuhusu mpazu
@user-xe8uk1fs3l
@user-xe8uk1fs3l Месяц назад
Chagamba jeziza Simba zikitokitoka nambieni
@AlfaKanasa-zv9fo
@AlfaKanasa-zv9fo Месяц назад
Miraji vs chagamba nguvu moja unyaman
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 Месяц назад
Mara mmoja kama NOMA NA IWE😂😂😂😂
@johnmwita9370
@johnmwita9370 Месяц назад
Toka nikufatirie Yani ongera sana
@BasuleBasule
@BasuleBasule Месяц назад
Chama Baba❤😂
@pauljoackim2786
@pauljoackim2786 Месяц назад
WATU WA MPIRA! HATARI SANA:
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 Месяц назад
Chagamba, Tatizo je Simba ataendelea kuwa hyo nafasi ya kuanza stage ya pili.? chagamba
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 Месяц назад
Leo hii Miraj unasema shirikisho ni shindano kubwa,hatari sana aisee Pindi yupo yanga,uliponda sana...😂😂😂
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 Месяц назад
Acha unafiki, leta hiyo clip aliyopinga
@florakasike4331
@florakasike4331 Месяц назад
lini aliongea tofauti
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 Месяц назад
Tuletee hiyo crp...kumbaffff
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala Месяц назад
Watu wamaana kabsa hawa
@idrisakhalfan7025
@idrisakhalfan7025 Месяц назад
Huna baya
@fadhilimrisho7804
@fadhilimrisho7804 Месяц назад
Crip zenu ni nzuri ila nashauri muwe mnaweka fupi
@elizabethsingano5922
@elizabethsingano5922 Месяц назад
Wakwanz
@realmalik3192
@realmalik3192 Месяц назад
kalale
@EmmaPallanjo
@EmmaPallanjo Месяц назад
×1 ukweli simba Hadi Sasa hivi usajili tumeridhika nao ila mm binafsi natamani Elie mpanzu aje unyamani naamini kocha atakuwa na machaguo mengi vipi Kwa upande wako
Далее
11 July 2024
1:44
Просмотров 4 тыс.