Izo idea za zamani mpira ni kazi yake mtu anaangalia maslahi mkude ni timu gani na leo anachezea wapi kina ajib walikua timu gani na walicheza timu gani
Ila Bro Miraji timu kama simba,sio timu ya kutengeza kikosi tuseme ule ukweli! Arsenal tangia alipoondoka Prof Wenger,till today wamo kwenye PROJECT,vijana! Hawajauona uBingwa for how long?! Juzi tu ndo waliiona CL for twelve yrs! Ukiangalia waliochukua uBingwa Uingereza, walikua hawasajili MAKINDA! MAKINDA hutoka kwenye academies! Priority ya hizo team ni kombe la PL,Top 4( ili wacheze CL) na CL yenyewe! Hizo team hawajijengi! Sasa Clubs kama Simba na Yanga Sasa hivi AZamu in the mix,SIO clubs za kujijenga, ni clubs za kupigania uBingwa na CAFCL!! Azam ikishaonja CAFCL,unafikiri watataka kucheza shirikisho tena?! No way! Wakati simba 'inajijenga' YANGA na Azam wanazidi kujiimarisha! That means Simba itastruggle kurudi juu..na hii inamaanisha tutakua na two horse race kwa misimu mingi,ie Yanga n AZAM
Yote yasemwe tuwe tunatazama takwimu na kupima mizani kati ya Yanga na Augsburg. Hiyo timu imecheza mechi za ligi 34, imeshinda 9. Imetoa sare 10 na imefungwa mechi 15 ikifunga magoli 50 na kufungwa goli 60 hivyo ikiwa na deni la magoli 10. Nina uhakika Yanga atashinda mechi ya leo maana kapata kitonga.