Nataka ni zaye wa mapasa tatu waume mbili n'a musichana moka mutoto yangu apate kibali ya kuenda Ichi ya kigenyi niuzeihi nyimba nikonakaa ndani Niki uze kiraisi niuze ngari ki raison tuu yote ninao maitaji itendrke kiraisi tuu amen
Naitwa Mariam Marco paul namshuhudia mungu amenitendea mengi mweza wa 8 tulikuja kawe badaa tu ya kuganyaga mafuta nakujiungamanisha na komboa familia usiku nikiw kawe asbuh yake tukapigiw cm paka wawili wamekufa na niliandika maombi 12 mme wangu aache pombe na tayar ameacha namshukur mungu na mtoto wangu alikuwa na kifafa miaka 12 na shv anaendela vzr mungu mungu akulinde uishi miak mingi baba
Glory to God.Asante Mungu kwa baraka za kufunguliwa kiimani, kimaisha, kikazini, kiafya Na mentioned mengi kwa familia na uzao wangu.Mtume barikiwa sana na Bwana Yesu.
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏hakika unafungua wengi hata mamaagu alinusurika na kifo iman yake ndo ilimuokoa kumbeba mafuta ya upako wakati wanasafiri walitetwa na majambazi jiani 😭😭😭lakin hawakufanikiwa nashukuru Mungu alikuwa upande wao
Naomba uniopee na mim niolewe ndio ya Baraka nipete nijilie uzao mwema mungu wangu mutumishi wa mungu atakapo omba na mim poake kwajina la yes Amina Amina nimepokea
Naitwa irine Paulo kutoka karatu nashkuru mungu nilikuwa na tatizo kwenye kizazi lakn baada y kuskiliza maombi haya mda huu nimeangalia nimekuta tatizo limeisha
Nataka kujifungua mipango yangu yote ya mwaka 2024,,, nifunguliwe kiafya. Kiuchumi na kifamilia watoto wafunguliwe kiafya na kitaaluma Kwa jina la Yesu kristo
Naomba kupokea uponyaji wa damu yangu nime tumia daw miaka mingi pasipo mafanikio pia biashara yangu ina vifungo na pokea biashara mpya Mimi Niko Nairobi na amini nitapokea
Naomba uponyaji wa mama mzazi Hilda aliyelala kitandani toka 24.09.2020 baada ya kupata stroke upande wa kulia na mimi nasumbuliwa na presha ya kupanda.
Baada ya haya maombi naomba mungu hanifunguwe nyota yangu ya mafanikio ingae bwana yangu shaban mmanga hanipe ela nyungi na haniudume vizuli eee mungu nisaidue Emeee
Naomba kupokea uponyaji, naomba kufunguliwa kila kitu kwenye maisha yangu, naomba kupokea uponyaji kwenye kizazi changu, kazin kwangu, kila njia ya mafanikio, navunja kila mikosi, laana, kupona ugonjwa, Leo napokea katika Jina Yesu Amen
Bwana yesu asifiwe.. Naitwa munira nipo Oman nimeguswa sana na maombi nilikuwa kondoo niliye potea 😭😭mchungaji Asante Sana 🙏🙏 kwakunifungua ufahamu wangu 🙏
Mimi ni wiliamu mwaluko kulalu mutumishinakuomba kwa i'mani familia yangu ikae kwenye mukono wa mungu namutumishi wa bwana kupitia maombi haya familia yangu itakaa kwenye mukono wabwana
Naomba mungu aniponye magonjwa yananisumbua mudamulefu pia nawatoto wangu wanashida kupitiya Baba anawatesa sana haaudumiye naomba mungu amufunguwe katikajina layesu
Na uibariki kazi ya mikono yangu ujalie familia yangu izidi kuwa na furaha na ujalie maisha yangu yawe yeny furaha siku zote kwa jina la mungu baba na mwna na roho mtakatifu amen naitwa janeth rameki
Naimn naenda kufunguliwa maish yangu yote nanfungua vifungo vyote saba katika jina la yesu naennda kupokea miujiza na ufaulu mkubwa katika shule yangu biashara yangu Amina