Uchaguzi wa rais kila mwaka umekuwa ukigubikwa na figisu za kila aina. Safari hii tumeshuhudia Miongoni mwa watia nia ya kugombea nafasi hiyo inayodumu kwa mwaka Mmoja akienguliwa katika kiny’anganyiro hicho.
Uchaguzi wa TLS umepangwa kufanyika Agost 2, 2024 huko Dodoma washindani wakibaki 4 baada ya Wakili Mwambukusi kuenguliwa na Ibrahimu Bendera kujiengua katika Chama
29 авг 2024