Тёмный

Mkasi | SO9E02 with Fareed Kubanda (Fid Q) 

MkasiTV
Подписаться 174 тыс.
Просмотров 124 тыс.
50% 1

Fareed Kubanda, Wa Kipekee, One of a Kind au kama anavyofahamika kwa wengi Fid-Q, Msanii Mkongwe wa Hip Hop Tanzania mwenye mafanikio makubwa ana machache ya kusema. Msanii alieipandisha Mwanza katika ramani ya kimuziki Tanzania, na mshahiri mahiri mwenye tenzi zenye uzito katika lugha adhimu ya Kiswahili.
Miaka saba bila kushinda tuzo yoyote pamoja na kuteuliwa, na almanusra akate tama, anatukumbusha kuwa mvumilivu hula mbivu.
Fareed anatukumbusha machache kuhusu changamoto ya kujenga familia akitolea mfano mahusiano ya wazazi wake. Fid Q pia anatueleza ni jinsi gani malezi yake yamempa funzo katika jinsi anavyotarajia kumlea mwanawe.
Fid Q ana mengi ya kutushirikisha kuhusu alichofanya kukuza sanaa na vipaji, jinsi gani tutawatambua wale waliopiga hatua na kuitambulisha nchi kisanii. Ni mmoja wa wasanii waliokomaa, na hekima zikitiririka kinywani kwake....msikilize mwenyewe, upate machache!
L . O . V . E

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@siegfrieddavid6816
@siegfrieddavid6816 10 лет назад
Huyu jamaa huchoki kumskiliza ,hata show ingekuwa ya masaa 24 nikoradhi kumsikiliza,Brother anamengi yakusema sana.....all in all he is one of my inspiration
@eramuro4853
@eramuro4853 10 лет назад
Natamani ata kila week Fid angekua tu anakuwa interviewed. Much respect
@tumpiliksye
@tumpiliksye 10 лет назад
top MC on the land pamoja na mwamba wa kaskazini Jo Makini heavy so heavy weight champions !!!
@mwikamakomba3283
@mwikamakomba3283 6 лет назад
Uko vizuri bhna mziki wako wako tu unaujua jua tu.
@deogratiusmkude666
@deogratiusmkude666 10 лет назад
I was really waiting for this and i have already watched it twice, keep up the good work guys. And salute to Fareed, the special one/one of a kind.
@hopeshembi1973
@hopeshembi1973 10 лет назад
I do love this dude so so so so much
@kurutumikuki
@kurutumikuki 10 лет назад
One of the realest Mceez..Fareed Kubanda..!
@MbuzimbeyaRomak
@MbuzimbeyaRomak Год назад
Fid Q nakkubali san my brother. Kwan mistari yako imenicha na mimi roma k'" nijifunze kuimba hip hop nakkubal san blazaa
@rosehillary8742
@rosehillary8742 8 лет назад
NAKUHESHIMU SANA NA NAPENDA SAAANA KAZI ZAKO FID Q
@clausdominic5294
@clausdominic5294 6 лет назад
No one like u bro
@michaelmallya5622
@michaelmallya5622 4 года назад
I'm still watching this in 2020
@saleemkatundu4696
@saleemkatundu4696 5 лет назад
you the king babu
@epafulazacharia5862
@epafulazacharia5862 10 лет назад
huyu jamaa namkubali sana, kwa mawazo yang ningependa afanyie kaz yake ya mzik ulaya
@bakarkingwaba5505
@bakarkingwaba5505 10 лет назад
Yap bro kiukweli nimekukubali ila wabongo hatukufanyii haki kimuziki naomba ufikilie vitu vingine vya kufanya ili otoke hapo ulipo nikimaanisha kipato
@sembosayenda7182
@sembosayenda7182 6 лет назад
Weeeeee fid Mimi sijaria kabsa
@luciussanga2493
@luciussanga2493 10 лет назад
Msanii wangu bora round zote fid q
@hassankimega9808
@hassankimega9808 Год назад
Ngoshaa,,,wewe n elimu tosha
@shanisshow1864
@shanisshow1864 9 лет назад
fid am hadzabe nakukubali sana.
@fahadfahmy
@fahadfahmy 10 лет назад
Nice one Salama tuletee watu kama hawa wanaujua kuongea
@maikojoseph377
@maikojoseph377 4 года назад
Ukovizuli kubanda
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 10 лет назад
fid fid mkali man.rispect man
@satohiroshi9598
@satohiroshi9598 5 лет назад
Salama hilo shati vipi mbona kola zimepishana
@iusajomwakalinga6598
@iusajomwakalinga6598 7 лет назад
OK,
@fortunatusmanyanda9398
@fortunatusmanyanda9398 10 лет назад
gud
@kcstarztorch248
@kcstarztorch248 10 лет назад
hahahahhaaha killa show!
@aruscomp145
@aruscomp145 9 лет назад
Ni ful umakini
@mjombajomba2937
@mjombajomba2937 10 лет назад
Top Elite Emcee in Africa
@mzigwaismymom2208
@mzigwaismymom2208 8 лет назад
fidq is the best rapper hiphop tanzania
@bahatiayenga9181
@bahatiayenga9181 7 лет назад
mzigwais mymoml
@bahatiayenga9181
@bahatiayenga9181 7 лет назад
mzigwais mymom
@virungamountains
@virungamountains 10 лет назад
Ni ukueli, creativity bila kusukuma ni bure!!
@salvatorefridolin9878
@salvatorefridolin9878 9 лет назад
ebwana kaka q noma ila cjawai ckia kumtoa dogo chipukiz uko kimya acha izo
@omaritwaha4599
@omaritwaha4599 5 лет назад
g
@joshuaelia1012
@joshuaelia1012 8 лет назад
WTF
Далее
AWS Community Day West Africa 2024 - Room 1
4:18:53
Просмотров 1 тыс.
TRENDNI BOMBASI💣🔥 LADA
00:28
Просмотров 680 тыс.
Living life on the edge 😳 #wrc
00:17
Просмотров 4,8 млн
MILLARD AYO NA FRIDA AMANI WAACHA GUMZO, KISA MATAMSHI
1:31
Mkasi - SO6E13 With AT
27:24
Просмотров 68 тыс.
Mkasi - SO3E13 with Zembwela
28:10
Просмотров 275 тыс.
PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA FID Q
10:50
Просмотров 278 тыс.
Mkasi | SO9E11 With Zitto Kabwe Extended Version
49:29
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
Просмотров 61 тыс.
NI KWELI FID Q ALIWAHI KUTOKA KIMAPENZI NA SALAMA?
22:59