Sio kwa ubaya lakini huyu dada mbona ana asili ya umalaya yani unatumika ovyo kwaajili ya pesa? Huko nikudanga Ungeutunza mwili wako hadi upate mwanaume serious lakini unapiga Umalaya kwa kutumia urembo wako utakuja kuuliwa kuwa makini dunia ni tambara bovu ni heri ubaki Single ukijiheshimu pia utaheshimiwa
@@mariamgodfrey53 huyu sasa hivi anajiona bado lakini subiri umri usogee atajuta hapo hakuna wakumkohoa jina lisha julikana kila sehemu kuolewa shida hapo ndio atapojuta uzuri sihoja duniani kilamtu mzuri hakuna mbaya huyu analiwa kwa sifa akiambiwa mzuri ndio anapoigawa lakini hajui kama nikosa kujirahisisha kila leo wanazaliwa wazuri halafu mwanamke huwa hajisifu subiri usifiwe ukitaka kuwa mzuri kuwa natural hapo rangi sio yako mkorogo nywele za maiti kope zamfu kucha za zimwi hapo utajiita mzuri maskini anamuamini mwanaume maramoja jamvi la wageni mama huruma baba karibu ndani
Japo na unene ulo nao lkn kwa 22 age hatudanganyikiii💃💃💃yn Leo fabi umetuletea mdangaji alieshindikana 🤣🤣na siimalizii kusikiliza upuuzi huu 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@@pilimusa3217 labda waswahili wezetu hao lkn wazungu waarabu sifa ya kuficha umri hawana ndio maana hta wasanii wakizungu umri wao upo mitandaoni lkn wakwetu heee uwongo mpk kwenye mitandao umri wao
Yaan mnapend kutudanganyia umri kwa muonekano ustahil kuwa na miak22 bora ungetudanganya kwa miak30 tungetulia lkn hapo tushushe apo nakupunguzia umr unamiaka40
Aaah mm hapo kwa miaka sio kweli kabisa lina miaka 37/38 alafu chengine ni malaya sana huyu mtu eti niite binti binti gani ww una miaka mingi tena wadanganya watu na waliwa na kila mtu jamani Fabi nae leo mdomo umebaki wazi Hahahaa
Huyu bimama MWONGO wa jioni,kwan alikolala sie tuliamkia huko.Eti bwana kafungulia maduka kama 4 hivi.Uongo wako mwanzo hadi mwisho.Huna kumbukumbu hata ya maisha yako,CHEFUUUUU🤔🙄🙄!!!!.
Yaani huwaga mambo kama hayo yapo sio wewe peke yako hata mimi nina bahati mbaya kwa baba yangu nina shoga yangu nae pia baba yake hivyo hivyo wakosee watoto wote tukikosea sisi laana zote za dunia tunapewa
🙄🙄🤭🤭🤭Astaghafirullah Astaghafirullah subhannallah eti kura Bata kweli jamani mbona ameanza kunichefua mie hata haya hana kabisa looooh 🤣🤣🤣we Fabian usimkatishe tamaa mwenzio eti miaka 40 Nani atakuowa 🤣🤣Hebu mwache ajipe moyo atashinda tu
Wewe ni malaya tu! Huwezi kusema unajuwa mapenzi kupenda, wiki 3 tu unaachana na mwanaume unakuwa na mwanaume mwengine? Tena unasema na huyo pia umempenda? Mpuuzi wewe! Subiri hiyo miaka 40 ukiwa hai uolewe au ufe bila mume. Na Baba yakoa anakukataa anajuwa ukweli kuwa wewe sio Damu yake. Kwanini hufanyi DNA na Baba yako ujuwe ukweli? Napesa unayo?
🤣🤣🤣 22 22 22 22 Acha uwongo unaonekana bibi ulochelewa kuzaa. Muwe mnasema miaka yenu ukweli au usiseme kabisa maana mnajidhalilisha Lakini (FABI)pole kwakweli maana unakazi unakazi 🤣
Unaweza kujibrand mambo mengine, ila kudanganya umri wako ni kujishusha thamani...ivi jamani mnajua unaposema ukweli wako kiumri kiukweli ata mahusiano yako yanakuwa tofauti ukilinganisha na tabia yako, akili na uelewa...ukiwa muongo sana utachezewa adi ushangae...men lie 🤥 women lie 🤥 hatari sana...umekomaa shogaangu miaka 22 tangu uanze udangaji ukisema ivyo mi ntakuelewa
Muongo wewe wewe mi nimeaga wa malaya na wala sijawi kufikiria kumuacha mke pamoja na kupepewa mavi ni upumbvu unadangaya watu unatangaza soko la ukahaba ndo zenu
Inawezekana sana ana miaka 22 lkn kwa kua kabeba dunia amekua km mzee yaani mie nna 40+lkn tukiekwa pamoja na huyu dada ataonekana mkubwa ..usifanye masihara kila mwanamme akupande akikushuka kila unaemuona akikwambia nakupenda pyeee unalala nae lazima mtu akomae km chimpanzeee🤣