Тёмный

MKE wa MZEE YUSUF afunguka:Tunapitia tabu, Madeni, SHILOLE amekosea, Tunafanya muziki ni SHIDA tu 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 293 тыс.
50% 1

Tazama wimbo wa Malikia Leyla Rashid "Yale Yale" kupitia link hii
• Video

Опубликовано:

 

8 июл 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 541   
@aiysharamdhan899
@aiysharamdhan899 4 года назад
Nakupenda Leila ww nimzuri kweli hauchushi ndio mana umepungua mungu atAwapa Tena inshaallah
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 года назад
Kaka mtangazaji Leo tena narudia kukusifia uko vzr katika kuhoji mtu Hongera saan
@mariabahati1264
@mariabahati1264 4 года назад
Wow 16 years Mashallaah kwenye ndoa that is bloody amazing
@yusufsalim8906
@yusufsalim8906 3 года назад
Mafurahi sana bi laila kua muwazi kwa maisha yenu na mzee yusuf mungu awajaalie kila la kheri inshallah.
@bernadethakilegu2142
@bernadethakilegu2142 4 года назад
Nani anaangalia hii show huku anasoma comments kama mimi🙄
@ummoislam4832
@ummoislam4832 4 года назад
Wakwanza mm
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 4 года назад
Yani hii ni kama uji na mgonjwa
@hasnaramadhani1651
@hasnaramadhani1651 4 года назад
Yani
@mossisilima2309
@mossisilima2309 4 года назад
Mm
@user-eg1dr6so4c
@user-eg1dr6so4c 4 года назад
Mm
@jahabdallah1829
@jahabdallah1829 3 года назад
Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja
@mlasinyongolo3256
@mlasinyongolo3256 3 года назад
Hongera sana kwa Uzazi, Allah bless you Amen
@haikha-vn8sb
@haikha-vn8sb 4 года назад
Jaman leilah kafanana na Amina wa alikiba
@aishatanzania1194
@aishatanzania1194 4 года назад
Ndio ni kweli
@bintykigan6236
@bintykigan6236 4 года назад
Kbs
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 4 года назад
Kweli
@veeJesus
@veeJesus 4 года назад
Kabisa
@aiysharamdhan899
@aiysharamdhan899 4 года назад
Umeonee Sana mzuri mashaallah
@fatumaally3266
@fatumaally3266 4 года назад
Hapo umeongea leyla nakupenda mwanamke unafaham nini maana yandowa 🙏🙏🙏
@wazirshaame8025
@wazirshaame8025 3 года назад
Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera
@mamunote3507
@mamunote3507 4 года назад
Mabrukeen kwa mtt mpya M.mungu amkuze awe mtt mwema Salihin Bii Idhinillah Ameen
@dorambilinyidyfjkf7149
@dorambilinyidyfjkf7149 3 года назад
,
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 года назад
Leyla kila jambo ni kuwa na subira inshallah 🙏
@edgersenyagwa3583
@edgersenyagwa3583 3 года назад
Mambo vp chric hongera kijana wangu kaka ako sengeri hapa, unakipaji Cha utangazaji Good.
@hafsaally34
@hafsaally34 3 года назад
Subhannallah uliumia mumeo kuingia mskitin Allah atuhifadh na vizaz vyetu mtihan huu km so mtt wakiislam Allah akusameh na akuongoe
@halimakibwana7188
@halimakibwana7188 3 года назад
Ameen
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 3 года назад
Msimtaje marehemu kwa mabaya
@vevo3130
@vevo3130 3 года назад
ni kama tu mimi ninavyoumia wewe hela ya bundle ungetoa deni la zakhat au sadaka hahahaaaaa…...utaniukweli usimind
@mk-ed5py
@mk-ed5py 3 года назад
Ameen
@mariamali1887
@mariamali1887 4 года назад
SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam
@peterchipasula1527
@peterchipasula1527 4 года назад
Dunia imeisha ,,kweli hajitambui
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 года назад
Bora alivyosema ukweli wake kuliko angeongea unafki
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 4 года назад
Tena msiba uso ndugu
@kidaumtumbwi1128
@kidaumtumbwi1128 4 года назад
Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 4 года назад
Mzito_mmm_Allah_atunusuru
@lydiahrweyemamu7305
@lydiahrweyemamu7305 4 года назад
Leyla mwanamke wa kuigwa, MWENYEZ MUNGU akuzidishie mpendwa wangu
@fahimayussuf8486
@fahimayussuf8486 3 года назад
Aigwe lipi? Yy kama muislamu?
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 2 месяца назад
Da leyla nakupendaga angalia uache miziki shuhuli ka na biashara mshauri pia mumeo mn muda mfupi wa kuishi ndugu Yangu Allah atuongoze
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 2 месяца назад
Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki. Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo. Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 4 года назад
Mie kama kwaida yangu nawapenda sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
Nakwambia haya mambo yakudhamni mtu afu ukuweke matatani inauma munooo Dah pole sana mzee Yusuf
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 4 года назад
Mungu naomba nijaalie niwe mke mwema na nitamani riziki ya halali na niepushe na mitihani
@salumsaid6572
@salumsaid6572 3 года назад
INSHAALLAH ALLAH akujaalie
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 года назад
Nampenda huyu dada, maa sha Allah, mungu akupe nuru
@tiamo726
@tiamo726 4 года назад
Mi kristo lakini nampenda huyu we acha tu yani utaratibu wake
@issaissah8832
@issaissah8832 4 года назад
Daah Dadaangu katika imani nakuomba uache mziki umri umekwenda lejea kwa Mola wako
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 4 года назад
kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu. Muzik ni biashara, Ajira
@shebaminde7656
@shebaminde7656 4 года назад
@@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba
@hawakiza6067
@hawakiza6067 4 года назад
Kweli issa umeongea jambo la maana sana waache miziki watubu
@shaniabdallah2921
@shaniabdallah2921 3 года назад
Huo umri mnaosema umeenda umekwenda wapi pengine ww mwenye kusema hivyo ni.kibibi hatar
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 года назад
lLove you Leila Rashid. May ALLAH guide you all the time I LOVE 💕 your Music mashaalah 🤲💓💜💗💕💕💐🇸🇸🇸🇸
@hassankassim5740
@hassankassim5740 Год назад
Bui
@hadijakabona955
@hadijakabona955 4 года назад
Nampenda uyu Dada mie
@naamohamed9964
@naamohamed9964 3 года назад
Mtangazaji yupo vzr kwa maswali
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
Mke mstarabu muchezi n'a Pia mwenye heshima zake mujini 🙌
@hadijapazia8255
@hadijapazia8255 4 года назад
Nakupenda sn Leyla Rashid 😍😍😍
@sponsor7882
@sponsor7882 4 года назад
Mm simpendi
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 года назад
@@sponsor7882 acha roho mbaya
@sponsor7882
@sponsor7882 4 года назад
@@aminamohamedy8466 sawa
@allyzicko8149
@allyzicko8149 4 года назад
@@sponsor7882 😂
@aminahamis9343
@aminahamis9343 4 года назад
@@sponsor7882 acha kinyogo.
@mariamothman7404
@mariamothman7404 4 года назад
Sema Alhamdhulillah MUNGU kamuongoza
@ibrahimadam4272
@ibrahimadam4272 3 года назад
All the from 001 county.Dadangu duniya Ina hadaa turudini kwa mola wetu .kila mmoja na amal yake
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 4 года назад
Mashallah madam, karibu mjini
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 года назад
Allah awatie nguvu 🙌🏽 mtihani wallah
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 4 года назад
Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini
@alisalum6464
@alisalum6464 4 года назад
Yaanii kwelii tunamsahau Allah etii anafurahiya motoo unauchocheya mwenye amakweli qur_ani haina dhamanii kabisaa Allah tuswameh
@rashman3530
@rashman3530 4 года назад
gur -ani ina thamani kaka tengua kauli io
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 года назад
Nampenda sana huyu mama
@barickprogrammer
@barickprogrammer 3 года назад
Nampendaga tangu mwanzo yaaan!! Sikuwahi penda mziki wa Taarabu, Ila langu rohoni ndo nyimbo niipendayo!!
@mariamnahodha2390
@mariamnahodha2390 3 года назад
Umesimama imara na Mimi nakuombea uendelee kusimama uamue mile mlichokipanga wewe na mumeo yote ni mithani ya maisha IshaAllah.
@salumallynannume6724
@salumallynannume6724 3 года назад
Poleni kwa kuvamiwa dada Leila Rashid mtoto wa mzee Gambus / Mmanga.
@ikhlassathman8782
@ikhlassathman8782 3 года назад
Leyla kuwa na subra kuna watu walala chini bt watafuta rizki za halali. Muache mzee asirudi kumuasi Allah. Naamini mwanamke ana power tosha
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Maisha mazuri ni pumzi Leyla
@aasdfghrehema7204
@aasdfghrehema7204 4 года назад
Leyila muceshi nakupenda bure👏👏👏👏✌✌✌👌👌👌💛💛💛💝
@aminamwinyi4427
@aminamwinyi4427 3 года назад
ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE , 🇰🇪🇰🇪 tuombeaneni Msamaha kwa Allah..huu ni mtihani kwa kila muislamu.. ,ukimuombea
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 года назад
Karibuni mjini,mrudi vizuri ila Mungu anaona,Allah huwa anamjaribu ampendae.Msiba sanaaaaaaaa huyu.
@rauhiyafasihi8908
@rauhiyafasihi8908 3 года назад
Hawa mmoja wao kati ya mume au mke atakufa juu ya stage anaimba
@asteriaaron3205
@asteriaaron3205 3 года назад
@@rauhiyafasihi8908 tema mate chini utubu, wewe unakujua kifo chako???😔😔
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 2 года назад
@@rauhiyafasihi8908 unafahamu ulimuimbia kasda
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 4 года назад
Ittaqillah_leila_Mungu_aliwatoa_sasa_Mnarudi_katika_Maaswia_loo_
@laythatsuleiman7184
@laythatsuleiman7184 4 года назад
Muhimu kula na makaazi Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 4 года назад
Yani leyla ww kutubu kwa MUMEO ww unasema ujui kitu gani kimemkuta wakati karibu kwa MUNGU wake jamanii mtihani uuu
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 года назад
Kiama yaani
@fatwimabintathmanbinthawa8155
@fatwimabintathmanbinthawa8155 4 года назад
Allah atupe mwisho mwema kbs
@zainabibrahim4183
@zainabibrahim4183 3 года назад
Mtihani mkubwa Mwenyezimungu amuonyeshe njia.
@jaliakamote5485
@jaliakamote5485 3 года назад
Laana huyu ibilisi
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 3 года назад
@@jaliakamote5485 na alichotaka kashapata mumewe kasharudi tena kwa shetwanii
@maryndomba7028
@maryndomba7028 3 года назад
Nimekupenda bure leyla wngu😍😍
@asia9930
@asia9930 4 года назад
Kabisa wanafanana na amna mke wa alikiba
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 года назад
Creez uko vizuri hongera
@hafsanoman3952
@hafsanoman3952 3 года назад
StaaghfiruAllah unaweza tu kuwa na furaha dada yangu ila pia kuna nafasi ya mungu Hakika ya ukumbusho unawafaa wenye kuamin
@annelyimo6065
@annelyimo6065 4 года назад
Nimependa interview ya Leyla anajielewa sana mashallah
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 года назад
Supper good Leila 👍
@dashuusaalim1943
@dashuusaalim1943 4 года назад
Marehemu ndo Nani apo Sasa..marehemu aaah marehemu .... Allah amrehemu chiku
@ebraawadh1693
@ebraawadh1693 3 года назад
Allah awaogoze wote walio potea hii ni Dunia sote tunapita
@lovenessfelix5841
@lovenessfelix5841 3 года назад
Karibun mjini "Ila Da Leila biashara ni ngumu Sana nyakati hiz sio kwenu tu!njoo ukijua kipato Cha kipind kile kwa Sasa mmh nikupambana haswaa!
@rehemamlenga4937
@rehemamlenga4937 Год назад
Nakupenda sana Leila Rashid mke Halali was Mzee yusuf
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 года назад
Maa Shaa Allah, Leyla Mcheshi,Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah. Mabrooq Kumbe Kapata Mgeni.
@neemahamissi2740
@neemahamissi2740 4 года назад
From Burundi 🇧🇮❤️
@muhamedbakar4312
@muhamedbakar4312 3 года назад
Binamu yangu raila unakwama WAP? Mama ahmadi
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 4 года назад
A very beautiful and humble lady
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
Of koz!!!!
@sjfamily8121
@sjfamily8121 4 года назад
Sasa huyu ndio mke wa kuoa japo kua mapungufu hakosi kama mwanadamu,, but kuna mijiwanawake mengine iko na mdomo Sana Kisha eti umuangalie tu aki kutusi
@khalfanifarsy7322
@khalfanifarsy7322 3 года назад
Hakuna mke hapa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 года назад
Na huyo ndio umeona ww mke? Mke ambaye ukimrudi Allah kwake nimajonzi? Na ukimkufuru kwake ni furaha?
@mamunote3507
@mamunote3507 3 года назад
Hongera sana tutakutazama ļ
@majdimpaka1079
@majdimpaka1079 4 года назад
Duuh nice interview
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 года назад
Mashaa ALLAH Leila
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 3 года назад
Leila mm nakuombea Allah akuongoze usilifikilie tumbo fikiria Dunia Riziki mungu mtoaji
@jumaabayo8617
@jumaabayo8617 3 года назад
Leilah ni mke mwenye subra
@mabrouksaleh2472
@mabrouksaleh2472 3 года назад
Subra kumuingiza mume ktk maasi
@anitakamene5073
@anitakamene5073 4 года назад
Nice anita from Bahrain
@hassansunir6565
@hassansunir6565 3 года назад
huu ni mtihan Walah yan mwanamke wa kiislam anasema kabisa ALILIA aliumia kisa mume wake amemludia mungu dhuu
@rizikiali8149
@rizikiali8149 3 года назад
Innallillahi wainna ilayhi rajiuun ALLAH atayaondoa wana hizaya
@tabiafataki8917
@tabiafataki8917 4 года назад
Mpambane maisha ni kigeugeu ,.mpambane mtafanikiwa
@mossisilima2309
@mossisilima2309 4 года назад
Astaghfirullah umelia kisa mume kuach mzk innalillah wainnailayh rajiuun tunaelekea wp waislam jmn
@Nims643
@Nims643 4 года назад
Nini cha ajabu sasa
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
Mtihan walah.
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 года назад
Makafiri hawawezi wakaelewa rahisi kwa nini,cha kushangaza nikutubu tena ukatangaza fasi yote kisha ukarudiria hicho kitu,afadhari usitangaze wendelee tu.
@mozamrope8770
@mozamrope8770 4 года назад
pumzi zinatudanganya san wanadam
@hawraymuncw9893
@hawraymuncw9893 3 года назад
Ajabu sana,shetani ni vigumu kumponyoka.
@rukiabari9431
@rukiabari9431 4 года назад
Heshima anayo nyingi penda sana Leyla R"
@ramadhanmtetu1947
@ramadhanmtetu1947 3 года назад
Muogope Allah muumba mbingu na ardhi
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
So mlijidai na mumeo ohhhh hatuimbi, oooh tumemrudia Mwenyezi Mungu, oooh nime enda hijja kwa hivyo acha tu nibaki kwa Allah. Kwa hivyo Hijjah ilikua kwa ajili ya usanii
@Nims643
@Nims643 4 года назад
Mwenyezi mungu ndio mkamilifu
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 года назад
Me nimependa alipoongelea suala la shishi na uchebe mambo ya ndoa tuwaachie wao ndo wanaojua
@illuminathersunzura1153
@illuminathersunzura1153 4 года назад
Huyu ndo mwanamke anaejielewa CIO wanaokurupuka tu kina flan ,wao wanajuana hatukuepo ktk makubaliano yao shishi nae kakosea mno mambo ya bdani unaleta mitandaoni ,kioo cha jamiii funza usifunzwe anawaogopesha wasioa na kuolowa anawapa dhana CIO sahihi
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 года назад
Ni kweli
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 года назад
@@illuminathersunzura1153 kabisaa
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 4 года назад
Sura ya amina waalikiba ipo kwalaylarashid
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 4 года назад
Bro una improve Sana ktk ku-interview , keep t up.. see you somewhere in a couple of months.
@biubwajuma2968
@biubwajuma2968 3 года назад
Hakuna mfalme zaidi ya mungu tusijidanganye izo ni pumzi tu zinamuhadaa
@MrNdanguza
@MrNdanguza 4 года назад
Lugha ya kiswahili imezaliwa zanzibar pwani wanaongea kiswahili, wengine wanajitahidi lakini pwani hatari Sana.
@sophiakasim5153
@sophiakasim5153 4 года назад
But huyu ni wa mtwara
@josephjosephat7826
@josephjosephat7826 4 года назад
Sophia Kasim 🤣🤣🤣🤣🤣
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 года назад
@@sophiakasim5153 mtwr nako ni pwn
@fatwimabintathmanbinthawa8155
@fatwimabintathmanbinthawa8155 4 года назад
@@sophiakasim5153 🤣🤣🤣🤣
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 года назад
@@aminamohamedy8466 ila hiki si kiswahili cha pwani ya mtwara itakuwa mombasa anakoenda kwenye shoo anakokichukua
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 года назад
MALKIA REILA nampendaga sana huyu dada acha mbali kuimba taarab nampenda na busara zake tu
@mabrouksaleh2472
@mabrouksaleh2472 3 года назад
Bilisi huyu
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
Reila?
@vbusolo865
@vbusolo865 3 года назад
Leila mungu yupo the God that closes opens the other door so God has a plan for you.
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 месяцев назад
Leyla Rashid mrembo sana na mpole
@EstherClement-wb4jo
@EstherClement-wb4jo Месяц назад
Hongera Sana dada leyla
@missmannydxb
@missmannydxb 3 года назад
I like her alot 😍😍😍😍😍😍
@bintykigan6236
@bintykigan6236 4 года назад
Leyla nakupenda Sana Mamaa lkn usingefanya Tena taarab
@kabakajuma5916
@kabakajuma5916 3 года назад
Eeh mungu niondoshe na dhambi hii ( wew mama unaongea vizuri nice smile maashaallah )
@josephatjordan5560
@josephatjordan5560 4 года назад
Alikosea Kuacha kipaji!!!kipaji ndio muhimu
@yusufumbwene6845
@yusufumbwene6845 3 года назад
Mwanamke huyu ni mzuri .....naomba kama mwanae yupo tuonane
@safiaothman1098
@safiaothman1098 4 года назад
Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi. Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin. Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.
@TeamKRX
@TeamKRX 4 года назад
Ndio iyo tamaa mziki pesa ndio mana sasa inaingia fitna
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 4 года назад
Kabisaa
@angeljasson4376
@angeljasson4376 4 года назад
SnS for life 🇹🇿🇦🇪
@aliclauclau4208
@aliclauclau4208 3 года назад
Nakupenda sana dada
@faidhasaid9605
@faidhasaid9605 3 года назад
Huyu mtangazaji yupo vizuri Sana keep it up
@teychriss3248
@teychriss3248 3 года назад
Namukubali sana! Toka moyoni kabisa!
@rosearivitsa8125
@rosearivitsa8125 4 года назад
Ako vizuri
@mariabugingo4524
@mariabugingo4524 3 года назад
I love you ddear leila
@alwattanchinga
@alwattanchinga 3 года назад
Dah poleni sana aki
@salmakiungo2538
@salmakiungo2538 3 года назад
Nakupenda buure
@zainabramadhan2109
@zainabramadhan2109 4 года назад
Mashaallah
@aliamirbakar5580
@aliamirbakar5580 4 года назад
Lela Rashid katika dini haifai kuhadithia mtu ambae ashakufa lako ni kumuombea Dua sio kuhisabu yamtu qmbae ashatangulia mbele ya haki
@marthaelias3422
@marthaelias3422 Год назад
Hajamzungumzi mke mwenzie kwa Nia mbaya Bali kajibu maswali aliyo ulizwa na mtangazaji kwan asiengemuuliza pia nayeye asingemjibu
@nadramohd7699
@nadramohd7699 4 года назад
Leilaa uciimbe dadangu risk Allah atakufungulia kwengine zenye hery na nyie
@rauhiyafasihi8908
@rauhiyafasihi8908 3 года назад
Mwanamke muimbaji haingii peponi na ameharamishwa kuolewa. Yaan kuowa mwanamke anaeimba mziki ni haramu katik uislam.
@sharifasalum532
@sharifasalum532 2 года назад
mashaallah nampenda sana
@mamunote3507
@mamunote3507 4 года назад
Mashallah Mashallah tuko pamoja Malkia Leila
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 4 года назад
Nakupenda sana
@sitisaid8543
@sitisaid8543 3 года назад
Sisem kitu watching from 001
Далее
I Built a SECRET McDonald’s In My Room!
36:00
Просмотров 10 млн
220 volts ⚡️
00:16
Просмотров 392 тыс.
UMBEA DAWA YAKE NI PESA..
4:48
Просмотров 10 тыс.
I Built a SECRET McDonald’s In My Room!
36:00
Просмотров 10 млн