Тёмный
No video :(

Mke wa "Remmy Ongala" Alezea Alivyokutana na Remmy hadi Kuolewa kwake. 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 421 тыс.
50% 1

Toni Ongala ni mke wa aliyekuwa mwanamuziki Remmy Ongala, ambaye jina lake limekuwa maarufu sana tangu miaka ya 70 hadi sasa...tazama akielezea walivyokutana na walivyoishi.

Опубликовано:

 

6 авг 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 164   
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 лет назад
Leo hii Mswahili kumuoa mwarabu ni ishu ngumu ila mwarabu kumuoa au kumchezea Mswahili ni simple akati wanajiita raia wa Tz.ila ukiangalia tatzo ni ubaguzi wa kmya kmya,ila wazungu wako simple na ndo ngozi nyeupe inayompa hadhi mtu mweusi
@Sangoyamboka
@Sangoyamboka 5 лет назад
Asante kwa hiyo ushuuda. Mimi kijana, nilikuwa ku masomo ya msingi Congo Zaïre, ku mji wa Bukavu 1972, nilienda kumuona Rémy Ongala alipiga muziki mu kundi ya Grand Mike Jazz. Yeye alikuwaka mkubwa Lida wa kundi na alitunga nyimbo nyinyi zenye hazijulikane Tanzania Sawa Sukuma yembe, no smoking, Kilkenny, kauli ya wazee... Rémy alikuwa mtu nzuri na mwema Sana.
@deebrown7908
@deebrown7908 5 лет назад
Anakijuwa kiingereza lakini uliskia kiingereza hapo Mjifunze wa Tz Ikiwa intervie ya kiswahili ongea swahili tu Ikiwa ya kiingereza ongea kiingereza Asante sana mke wa Remmy ongala
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 лет назад
Nachukua wazazi yangu nakua wazazi yetu🤣🤣🤣🤣 asante bibi
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Hahahaahaa
@mohamedsasma879
@mohamedsasma879 6 лет назад
Nimependa sana ulivyojibu bibi. Hongera kwa kweli sana. Wewe ni mwenzetu.
@jeromechembe2206
@jeromechembe2206 6 лет назад
Ni SHEMEJI WA TAIFA
@roberttagaya3498
@roberttagaya3498 6 лет назад
Mwandishi wa habari umepungukiwa na ustarabu. Siku nyingine jifunze namna ya kuongea na watu wanao kuzidi umri. Shubaaamiti.
@issahhussein1922
@issahhussein1922 5 лет назад
Kweli hata mimi nimeliona hlo
@mbondokambi8053
@mbondokambi8053 5 лет назад
Mtangazaji uhuni uhuni tu
@frankmaria6717
@frankmaria6717 5 лет назад
Ukishika mic unaongea chochote na mtu yeyote wa rika lolote,wangepita chuoni kusoma hata certificate ya utangazaji au uandishi wangeelewa ABC's za kazi zao
@Ninjaboytz57
@Ninjaboytz57 5 лет назад
Learn english
@Myright888
@Myright888 6 лет назад
Unajua mi nimegundua kwa nini washwahili tunafanya KISWAKINGE, ni kwamba kila mswahili anatamani aongee Kingereza sasa kwa kuwa hajui chote vizuri basi anajikuta ni lazima achanganye. Hawa wazungu wapo kama huyu mama wapenda Kiswahili sana na wakikijua huwa hawachanganyi hata kama wanaongea kwa shida. Mtazamo tu.
@joyceandrew5682
@joyceandrew5682 5 лет назад
Nyaso ume acha kuigiza sasa ivi mamy
@youngshiner172
@youngshiner172 5 лет назад
yan waandishi wa habari wengine hawana adabu kabixa , akwambie maneno alioambiwa wkt anamtongoza ina kuhusu nn ww😡😡
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 6 лет назад
Mzungu umetisha Wi-Fi wa Taifaaaa....tena hujachanganya Kiswahili na Kiingereza.....wewe ni Mwanamke Jasiri Ulimpenda Remy kama alivyo.....🔊
@kiki-ko8vi
@kiki-ko8vi 6 лет назад
DADA WA KITUMBUA ORIGINALEEE 😹et wifi wa taifa
@salumuhaji4182
@salumuhaji4182 6 лет назад
DADA WA KITUMBUA ORIGINALEEE hicho kitumbua original nakihitaji
@shabanshaban2322
@shabanshaban2322 6 лет назад
DADA WA KITUMBUA ORIGINALEEE i
@jeromechembe2206
@jeromechembe2206 6 лет назад
Aisee, umenifurahisha sana. Ni kweli ANASTAHILI kupewa jina hili, yaani SHEMEJI kwa sisi wanaume na WIFI kwa ninyi wanawake, WA TAIFA. Hapo umesema vyema nami NAPENDEKEZA aitwe hivyo, tafadhali
@saudarajabu5504
@saudarajabu5504 6 лет назад
DADA WA KITUMBUA ORIGINALEEE ni kweli Wifi
@nataemsuya
@nataemsuya 6 лет назад
Angekuwa mswahili anahojiwa, tulivo malimbukeni wa kushabikia kingereza na kukidharau kiswahil, mahojiano yote yangekuwa Kiswa-kinge (kiswahil na Kingereza)....
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 6 лет назад
Hawa Madiwa Wallah true wala ujakosea.
@geofreykupenda2147
@geofreykupenda2147 6 лет назад
Saumu Hassan 👍💚
@sultanmganzira4388
@sultanmganzira4388 5 лет назад
Hawa Madiwa mpka anamaliza mtu walasaba anakuwa hajaelewakitu wananikera sana
@user-qr2gj3jp9l
@user-qr2gj3jp9l 5 лет назад
Jamani wazungu hawana ubaguzi sana kama aya mawarabu mmmh Atali kwa kwer
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 лет назад
upendo wa milele.Mungu azidi kukuimalisha bibietu.Asanteni waandishi wa habari kwa kumuona huyu Bibi.
@kahawathungu
@kahawathungu 6 лет назад
uwezo wa kujifunza lugha / ndimi mpya katika utu uzima unatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwengine. wengine wana ndimi nyepesi na wengine inakua vigumu kwao. Mama amejaribu sana kujieleza kwa kiswahili na wengi wetu tumemuelewa. Kabla mtu hajamkejeli ajifunze lugha geni akiwa na umri mkubwa ndio ataelewa changa moto zilizopo.
@ivravan2658
@ivravan2658 6 лет назад
Love don't cost a thing🙏
@mdungurabbieth5840
@mdungurabbieth5840 5 лет назад
Ok sawa utaniambia
@musasisia9803
@musasisia9803 3 года назад
IAM very impressed to history of Remy ongala Muse makasy by the wife
@maishacosta567
@maishacosta567 6 лет назад
Hapo ndo tofaut ya mzungu na mswaili yaani Hapo pamoja na kutojua kiswahili vzur lakini hajachachanganya hata neno moja la kingelezaa ana akili sana huyu bibi
@naimakweyamba5340
@naimakweyamba5340 5 лет назад
Umeona Eeeee...
@deebrown7908
@deebrown7908 5 лет назад
Kweli kbs Angekuwa mtanzania Anahacha lugha yao anahingilia lugha zawengine
@user-qr2gj3jp9l
@user-qr2gj3jp9l 5 лет назад
Angekua mbongo apo 😅
@edmundmbele4307
@edmundmbele4307 5 лет назад
NDUGU YANGU UMEONGEA KITU AMBACHO NI CHA KWELI KABISA YANI
@pascalcharles3084
@pascalcharles3084 5 лет назад
Cha ajabu jamaa ndio kachomekea kingereza🤣🤣🤣🤣
@alidookhalidalidoo9561
@alidookhalidalidoo9561 6 лет назад
Mamayetu katisha mpaka leo baso hajui kiswahili 😂🤣😂🤔mamaaye
@eshynassor5666
@eshynassor5666 4 года назад
Wewe vipi mbona unamhoji vibaya? Huyu mama mzee
@jonathankabuyayakhake3119
@jonathankabuyayakhake3119 2 года назад
Ongala nafurahiya nyimbo zako,sikukujuwa zamani bali nina kufwata ku network,mimi niko Lumumbiste nina tizama jinsi tunaweza kuinuwa kile chama Mungu wa mababu akubariki
@sylvanusinjomango2169
@sylvanusinjomango2169 6 лет назад
Yeye mwenyewe natongoza mimi nimecheka saaaaaaaaaana
@carrenkapia7841
@carrenkapia7841 6 лет назад
Sylvanusi Njomango 😂😂😂😂😂😂
@anthonywawire
@anthonywawire 6 месяцев назад
I love this feeling..Love ended those days
@janetwandeharris3934
@janetwandeharris3934 6 лет назад
My wifii yanguu jmn toni love her so much
@jafarsalum8656
@jafarsalum8656 6 лет назад
Waaandishi siku hiz kama wamevurugwa eti unaweza kuniambia kakutongoza VIP what kind of question?
@rukiahassan9959
@rukiahassan9959 6 лет назад
siwezi kunambia hahahaaaaaa
@fadhilisaid8878
@fadhilisaid8878 6 лет назад
uzuri wa mzungu mkweli sana
@amanducmatupa3329
@amanducmatupa3329 6 лет назад
Ndo maswali yenyewe ayo bro......
@dorothyannan4857
@dorothyannan4857 6 лет назад
Hahahahaha
@godfreywilliam2994
@godfreywilliam2994 6 лет назад
Dorothy Annan sijui wamesomea chuo gani huwezi kumwuliza mtu hadharani swali la kiwendawazi km hilo stupid kbs
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 6 лет назад
Hivi jamani hawa watangazaji wasiku hizi wanasomea kwwli haya maswala yahabari au wanapeana kazi kishkaji tu ... yaani unamuhoji mama kama huyu mwenye heshima zake maswali yakipumbavu halafu nikama unamdhalilisha tu nandio maana kakukwepa kukujb hayo maswali yako yakijinga hii kazi yauandishi wa habari imevamiwa siku hz kama ualimu 😏
@franciscakerubo3587
@franciscakerubo3587 4 года назад
Beautiful Toni Ongala.
@christde1
@christde1 6 лет назад
Hongera Mama Toni Karibu sana , danke
@josephmpemba8951
@josephmpemba8951 6 лет назад
Bibi yuko vizuri sana hajathubutu hata kiswanglish kuongea du!! Mkareeeeeee
@sospetermsalamo8354
@sospetermsalamo8354 5 месяцев назад
2024
@khamisjuma4691
@khamisjuma4691 6 лет назад
Kinanpendedha.kiswahili.chake.hakunakitu.amekosea.will love so.much. miss ongala.salam USA marekani. Nakubuka.ongala.anacheza.mpira
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 6 лет назад
Karibu sana *Dr. Love Tanzania*
@geofreykupenda2147
@geofreykupenda2147 6 лет назад
Angae kuwa shishi uchebe hapo ungesikia tu the are the are silesha is kwanja kwanja is fyekeo thank you is asante sana
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 6 лет назад
Geofrey kupenda 😂😂😂😂😂
@hermanaaron6945
@hermanaaron6945 6 лет назад
Geofrey kupenda haaha
@daimonipatrick1853
@daimonipatrick1853 6 лет назад
Geofrey kupenda hahahaaaqaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 6 лет назад
Geofrey kupenda ha wewe mwisho.
@ramaiddi7217
@ramaiddi7217 6 лет назад
Geofrey kupenda duh nimecheka hatar
@theafrican3752
@theafrican3752 3 года назад
1:44 Dogo unazingua heshimu wakubwa zako aisee!
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 6 лет назад
Hii ndio tofauti ya wanahabari na makanjanja
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 6 лет назад
Gabriel Mugabo punguza mizuka babu
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 5 лет назад
Nimegundua mambo mawili 1.Sisi Hatupendi lugha yetu kama inavopendwa na watu wa mbali 2.Huyu mama ameonesha kuwa alitosheka na utajir wa moyo wake kulidhika na Remmy Na si kuangalia uwezo wa kifedha kama ilivo kwa dada zetu
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 5 лет назад
walikutana ubungo ambapo kulikuwa bar zamani kwa sasa nikanisa la warokole ambapo nikanisa la gwajima
@IssaSaid-eh3jj
@IssaSaid-eh3jj 8 месяцев назад
Hatua aliyo fikia Chid ni mbaya sana mtumia madawa yeyote akifikia hatua ya kufanya vitu pasi na kuona aibu kama mwanadamu wa kaiwa basi amekwisha kbs
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 5 лет назад
Tujifunze ktk hili,pamoja na mama kutojua vizur kiswahili ila kuongea ivyo ivyo mwanzo mwisho,angekua mbongo hapo yes yes kibao ili aonekane tu anajua kingereza.sijui nan ametuloga aisee
@sultanmganzira4388
@sultanmganzira4388 5 лет назад
Hasa wasanii wakina mobeto wema wanajifanya hawajui kiswahili mkome nyie
@greatiq8234
@greatiq8234 5 лет назад
The guy fetched a coin inside the well! She's so pretty!
@ernestchilongan6778
@ernestchilongan6778 5 лет назад
kaeleweka sana.
@robertmanase6423
@robertmanase6423 5 лет назад
Mweee mtangazaji hovyooo kabisa hadi aibu
@aishaallyb8718
@aishaallyb8718 6 лет назад
kwa kweri Watangazaji wa Sasa hivi hatali Sana.Mwaswali Yao hayana kichwa Wala miguu.
@hadjihelper5466
@hadjihelper5466 6 лет назад
Hongera sana kwa kumuenzi Mzee. Tupo pamoja!
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 6 лет назад
Bibi uko vzr 😍😍
@injili90
@injili90 6 лет назад
wachache sana watu kama hawa Tanzania wameisha wamebaki wadangaji
@SefrozaMafuru
@SefrozaMafuru 5 лет назад
Tupo bhana
@joshuamkupi6893
@joshuamkupi6893 6 лет назад
Angalia watoto Wa Marehemu Remy Ongala waliovomuenzi baba yao
@mariamm2724
@mariamm2724 4 года назад
Mmmmh mwandishi umekosa nidham huweximuuliza mambo nyeti ikiwa ww ji mjukuu wake jifunzeni kuangalia lika
@denniskalisti2570
@denniskalisti2570 6 лет назад
Kumbe mke wake alikuwa mzungu jmn mungu awatie nguvu
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 4 года назад
Hongera sana mama remmy yaani unajitambua.
@sallykanze
@sallykanze 6 лет назад
Tumemuelewa vizuri mno
@godwinmsuya6080
@godwinmsuya6080 6 лет назад
Hata uwe mzuri.. wakupindukiaaa tabia yako ikiwa mbay watakuchikia, uzuri si hoja....tabia njema nisilaha utapendwa popote ohoooo....x2
@agnesoqwaa9848
@agnesoqwaa9848 3 года назад
Nice Mrs rammy
@sabraali9941
@sabraali9941 3 года назад
Wewe mwandishi auna adabu umenikera sana muulize mama yako maneno gani aliambiwa na baba yako wakati ana mtongoza uone kama atafurahia kuwa na adabu utaheshimika
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 6 лет назад
Hahahahha mie sijaelewa pale kwenye wazazi anachukua mzazi wangu na mm mzazi angu alikuwa yatima mimi nachukua na rommy na baba yangu wanafurah🤣🤩🤩 Hongera mke wa Rommy ibua vipaji baba 👏🏾🤓
@jafarym77
@jafarym77 6 лет назад
Kitone Kantasha1 Pale alikuwa na maana hii; remmy alikuwa yatima kwahiyo aliwachukulia wazazi wa mke wake Kama wazazi wake. Na alipendana sana na baba mkwe wake hadi kutoa ule wimbo wa kifo baada ya baba mkwe wake kufariki.
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 6 лет назад
asante kutuelewesha na wengine
@jongojongo9388
@jongojongo9388 6 лет назад
akuna l know apo wangekuwa wale washamba wa bongo mov mmmmh yes no kibaoo
@amisichance4980
@amisichance4980 5 лет назад
Kunafunzo nyingi sana ukifatilia maneno ya maman huyu mwenye hekima.
@yusufetiang5493
@yusufetiang5493 3 года назад
Sawa mama
@rajabmartojr3302
@rajabmartojr3302 5 лет назад
Hongera maam
@fatmamajuu5255
@fatmamajuu5255 5 лет назад
Kiswahili kigumu huyo mama kakaa miaka chungu mzima tz lakini kiswahili bado hakipandi vizuri
@henrymalekela1093
@henrymalekela1093 3 года назад
Uyu mwandishi kasoma kweli huyuuuuuuuu
@BarakaWaya
@BarakaWaya 5 лет назад
Mtangazaji mbovu mnoooooo
@qaboossaid2259
@qaboossaid2259 6 лет назад
Nimependa mulivyo anza hadi kumalizia uzee,angekuepo leo hii angelijisikia faraja sana
@johncavishe353
@johncavishe353 4 года назад
Unaoji ad ambavyo avfai acha umbea ad abar zaktongozwa
@marywambui519
@marywambui519 5 лет назад
Alafu wakenya wanajifanya eti waezi ongea kiswahili bila kuongeza kizungu kubafu...mzungu anaongea kiswahili bila hata kuchocha na lugha yake pongezi mzungu
@kibongobongo4608
@kibongobongo4608 6 лет назад
Hahaaa yani nimewaza tu ndo Shilole anahojiwa Ai Ai Ai. ....
@mwalukoerick2801
@mwalukoerick2801 6 лет назад
kibongo bongo
@mariamtwalib2215
@mariamtwalib2215 6 лет назад
wewe ni mshari eti shishi
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 3 года назад
😊😊😊 👍🏾
@ramadhaniathumanimlenge6641
@ramadhaniathumanimlenge6641 6 лет назад
Vizuri
@omaryadamn4560
@omaryadamn4560 5 лет назад
Tisha sana
@PetVMyinga
@PetVMyinga 6 лет назад
swali gani hilo
@skyclarking-123
@skyclarking-123 9 месяцев назад
Was this Remmy's wife?
@ggjghh6245
@ggjghh6245 6 лет назад
Apo angeulizwa mbongo ungesikia bati me ende bati nn ongeeni kiswahili kama unataka kuongea kinge ongea kinge lakini wabongo wana tindi nganya sana kinge mala kiswahili ona bibi kaongea vizuli kabisa
@nattjones2745
@nattjones2745 6 лет назад
Wow
@josphinedarani6203
@josphinedarani6203 5 лет назад
Hakii nilikua sijui remmy hayuko rest in peace nilikua nakupenda saana
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 6 лет назад
Hivi mwandishi wa habari mwenye akili timam unamuuliza bibi maswali kama hayo,yanatusaidia nini sisi watazamaji na wasikilizaji?
@kibongobongo4608
@kibongobongo4608 6 лет назад
Gabriel Mugabo Kwani umesahau kama wanamaswali waliokariri huulizwa watu tofauti tofauti? Tena hapo kastahi kidogo angemuuliza "siku waliolala kwa mara ya kwanza alijisikiaje "mwe! !!
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 6 лет назад
kibongo bongo kweli brother wanakalili
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 6 лет назад
Hussein Love kwa wapumbavu kama wewe ndio mnafurahia
@jeromechembe2206
@jeromechembe2206 6 лет назад
Kuna tatizo la KIWELEDI kwa wengi wa Wanahabari wetu tumvumilie tu maana angalau umetuwezesha kufahamu mengi kuhusu huyu SHEMEJI yetu wa TAIFA wengine tulikuwa hatumjui. Lakini Waandishi wetu wanakera sana hata kuwaudhi wanaowahoji wakati mwingine. Ndo maana wengine wanaambulia vichapo na polisi huenda ni kwa sababu hizi hadi WANAKERA na KUTIA HASIRA. Tuwavumilie tu na kuwasamehe.
@vincentbirir1776
@vincentbirir1776 5 лет назад
Remi rip King of wide eastafrica
@turibamweali8661
@turibamweali8661 5 лет назад
Huyu muzungu anaheshima sana ya lugha ya bamukwewake ! Namupenda sana anahakiri nyingi nahawo watangazaji wajinga eti umetongozwa aje ? Hawoni kama ni mama yake ? Mukosa hakili tupu .
@myself4128
@myself4128 5 лет назад
Mtangazaji bwege kabisaaa unadhania wazungu wanatongoza kwa kusema i love you?? Utampendaje mtu usiyemjua? Umeonana na mtu sikuhiyo utamtongozaje kwa kumwambia eti nakupenda🙄🙄🙄🙄
@christianchazinho4104
@christianchazinho4104 5 лет назад
Nooma sana r.i.p remmy ongala
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 5 лет назад
Haki waandishi wa tz wengine bure kabisa mwandishi hunaaheshima kabisa moja huyo mama sioumri wako 2hatamimi niliyeumri wako huwezi kuniuliza habari zabwanaangu kihivyo hivi Kwanini galimatías? sieliwi
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 6 лет назад
Hongera shemej
@maimunaathman4664
@maimunaathman4664 6 лет назад
Hhhhhhhh hatari lakini salama
@afandechanel1507
@afandechanel1507 5 лет назад
Interview fupi why !!!!!!!! ???????
@nestoryseleman1801
@nestoryseleman1801 5 лет назад
Mwandishi hana busara ya kuuliza maswali
@mwawiyaomari3796
@mwawiyaomari3796 5 лет назад
Mtangazaji ni kilaza
@samanthaali873
@samanthaali873 5 лет назад
😂😂😂Santhaaa Bibi
@chrisogonas
@chrisogonas 6 лет назад
hehehe interesting!!
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 6 лет назад
Nice sana aisee
@veronicazacharia2080
@veronicazacharia2080 6 лет назад
fact
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 5 лет назад
kanisa la ngwajima ubungo chai bora ndio ilikuwa inaitwa hantaz.
@jemusiobedi1107
@jemusiobedi1107 5 лет назад
Usela mwingi wee jamaa heshimu wakubwa 😏
@enosmchomvu6649
@enosmchomvu6649 6 лет назад
Ulikua wakudanga
@maryamoman5926
@maryamoman5926 5 лет назад
😀😀😀
@marykesia3105
@marykesia3105 5 лет назад
Mwandishi Wa Habari Hana akili. Maswali ya kitoto, kasahau anaminterview mtu mzima.
@kelvinjonathan4772
@kelvinjonathan4772 5 лет назад
😁😁😁😁😁😀😀😀😀
@irenewanjiku2746
@irenewanjiku2746 6 лет назад
She is old!!!
@steveswakei9600
@steveswakei9600 6 лет назад
unatarajia awe young kiasi gani mwanamke umesikia aliolewa 1978??
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 6 лет назад
karibu kwenye channel yangu ndugu zangu
@jeromechembe2206
@jeromechembe2206 6 лет назад
Channel yako inaitwaje na inahusu mambo gani? Nipe tovuti yake tafadhali.
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 6 лет назад
Nime mpeenda
@husseinmunga9591
@husseinmunga9591 5 лет назад
how can you talk with westerner like this? you are host men!
@hamiswawa5872
@hamiswawa5872 5 лет назад
🔨🔨🔨
@killianjohn4794
@killianjohn4794 4 года назад
Nidhamu ya waamdishi wa habari imepotea sana..kwa sababu ya kutokua na busara ya kuuliza..anauliza kana kwamba anaongea na waswahili wenzake uswahilini kwao.
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 6 лет назад
Karibu sana *Dr. Love Tanzania*
@SefrozaMafuru
@SefrozaMafuru 5 лет назад
Hana mbwembwe... Saf sana..mkute mswahil anaongea hapo..hizo Yes,No hmmmh jamn
@vascojuma2158
@vascojuma2158 3 года назад
Yan mwandishi kwel uyo mama unamuuliza alikutongozJe iv akil unayo wewe
Далее
до/после Знакомо?
00:16
Просмотров 13 тыс.
Mkasi - SO6E06 with Kali Ongala
29:33
Просмотров 70 тыс.
Kifo
9:15
Просмотров 28 тыс.
Remmy Ongala - Nyerere (Video Song) Zilipendwa
7:49
Просмотров 172 тыс.