🤣🤣🤣wallahi nacheka kama mazuri mama anavyoimba wala hajali, kweli pombe sio chai🤭😂subhanallah Polen sana waalimu wetu masheikh wetu Allah awajaze kheri awape subra na ujira uliomzuri juu yenu, barakallahu fiiqum,nawapendeni kwa Ajili ya ALLAH ❤
“When the Missionaries arrived, the Africans had the land and the Missionaries had the Bible. They taught how to pray with our eyes closed. When we opened them, they had the land and we had the Bible.” Jomo Kenyatta.
Sheikh Ramadhani Mimi nipo comores ila nakusoma sana siku ukifika dar es salaam tuambiane nimefurahi sana mafundisho Yako na ufikishaji wako nakukaribisha sana nyumbani kwangu
👉Qur'an 29:2 Do people think once they say, “We believe,” that they will be left without being put to the test? 👉29:3 We certainly tested those before them. And ˹in this way˺ Allah will clearly distinguish between those who are truthful and those who are liars. 👉29:4 Or do the evildoers ˹simply˺ think that they will escape Us? How wrong is their judgment! 👉47:31 We will certainly test you ˹believers˺ until We prove those of you who ˹truly˺ struggle ˹in Allah’s cause˺ and remain steadfast, and reveal how you conduct yourselves.
Assalam Alaykum Shekh Ramadhan Mwenyeez Mungu akulipe kheri kwa unachokifanya Shekh Ramadhan Yesu wa Tongren nasikia kakimbilia police kwa kuhofia kusulubiwa siku ya Pasaka nilipoiona nilicheka habari zake nikakumbuka siku ya mwisho ulipomuji na manabii wakeYesu alipoanza kuimba na wale manabii wake sijui wako wapi tunaomba uende tujuwe kinachoendelea eti wanamtishia Amani 🤣🤣🤣🤣
Subhanallah yaani wanamchukia alie muumba yesu lkn wanampenda yesu Allah awaongoze ila wakiristo wanapandikizwa chuki juu ya uislamu sijui kwa nini yani mimi sometimes moyo hua unaniuma kweli mbona sisi waisilamu hatujengewi chuki juu yao? Allah awalipe kheri masheikh wetu awazidishie afya njema muzidi kuwafikishia dini ya Allah na watambue kwamba uislamu sio uadui
Assalaam alykum... Haqi siku zote ni ngumu sana na yenye kuchukiwa so ikitokea mtu kaishika haki mara nyingi huchukiwa sana!!!! alaf dini yao haiwafundishi namna ya kuishi na wasiokua katika dini yao ndo mana chuki ni kubwa mno.... na Allah anatufunulia katika quran kwamba chuki wanaoidhihirisha nje bas kwenye moyo wao ni kubwa zaid
MashaAllah Ustad na Cameraman! Another SOLO mission deep into misconception Land! Na huyu Imam JUMA, ata changamuka lini? 😮 Umem leta kwenye Field karibu na One Year ili a learn just 'a little bit', lakini hako interested! Mitavu tuu! Imagine , hata QURAN hajui kui fungua! Saa hii uki sema kuna PILAU ina pakuliwa, Imam Juma ata kuwa wa mbele KULA! Ndio una ona MITAVU zake zime furaa! Sasa, Wageni wakija kutembelea MSKITINI, huyu Imam JUMA ata wapa DAWAH vipi? Si ni USELESS tuu? Ustad Rama cannot be at Mukurueni ALL the time! Poleni, na Samahani, nime Jam na huyu Imam Juma!
Ni Kweli Kabisa! Imam Jumaa ni Muvivu sana! Ata peyana DAWAH vipi katika MARKAZZ wakati ame KATAA kuji funza tarika ya DAWAH kutoka Ustad Kuria? This means that any visitors to the MOSQUE, while Ustad Kuria is away, will get ZERO info on why they should chose ISLAM, because JUMAA is incapable! I think they should replace Jumaa with an IMAM who is capable and is NOT downright LAZY!
@@Sai.Mo69 usimhukumu mwislamu mwenzio tafadhali,mpe advice tu ama mhimize tu sio kumkosoa hadharani hivi,so bad indeed,and so sad,kama tutafikia hapo