Huyu mzee Mwinyi ni mtu wa vipawa vingi sana,ana sauti ya dhahabu,umaridhawa wa ulimi na ufasihi wa maneno yenye mguso na uhalisiya wa maisha..Mashaa Allah hongera sana.
Hao ndio wa zanzibar bwana mtu mmoja fani kumi kidogo maa sha Allah .ndani yake ina mafundisho matupu kwa kweli meseji imetufikia sote sio dinyo tu na kitatange pia ujitayarishe
Ilipendeza sana kabla ya hawa mabarobaro kupanda jukwaani. Wameharibu kila kitu. Katafuteni kazi vifua vikubwa wacheni kuharibu harusi za watu. Hilo jukwaa lilikua libakie na muimbaji tu.
Assalam aleikum.ndugu zangu waislamu hayo sio mfundisho ya Quran na sunnah ya mtume MUHAMMAD S.A.W. harusi za waislamu hazifai kuwa sawa na za wasiokuwa waislamu.shukran
Usiufanye uislamu mgumu kiasi chicho. Uslamu haujakataza kuwa msifurahi mkaimba kwenye harusi au sherehe zenu. Cha muhimu musiimbe maneno machafu tu. Na hao wanaimba ni wanaume hivyo hakuna ubaya wowote waache waonyeshe furaha zao. Kitu kizuri hao wanaimba maneno mazuri na wala hawachezi kihuni na wala hawachanganyiki wanawake na wanaume. Nadhani sio kosa. Kama una dalili kuwa hairuhusiki kuwaimbia maharusi wako mashairi mazuri basi labda utupe.
Black Son Ismael + you're right I agree with you zanzibar is beautiful island & the origin people of the island are very nice & very kind is start bring a lot of tourists their witch can help & benefits the people of the island .but their is other people who start coming from other places Maite spoiled god bless zanzibar.
YUSSUF MAKAME + I visited the island few time the first time was 20 years ago & the last time is one year ago I.find alot of change & development you just take care of the place from stranger who can chase the tourist god bless zanzibar
YUSSUF MAKAME + the native people of zanzibar are very nice let's pray for the island to reamin.a.peace full place witch can bring prosperity to the people
Hongera meye mpeku wewe unaweza kuimba hata nyimbo za juma bhalo hapa malindi kenya hakuna atakaye kuweza mashalla swoti yako mimi hamza nime kupasisha 100 kwa 100