Тёмный

MOYO WA CHUMA PART 7 FINAL  

DIRECTOR GOZI
Подписаться 55 тыс.
Просмотров 56 тыс.
50% 1

#frp #fry #fyp ytviral #1000subscriber #foryourpage #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan

Опубликовано:

 

12 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 523   
@alinassor391
@alinassor391 28 дней назад
Pole sana kwa kuondokewa na baba m.mungu amjalie kila la kheri ktk sfr yke amsamehe makosa yke amiin amiin
@user-pr4ir6fe4y
@user-pr4ir6fe4y Месяц назад
nice movie inapendeza 2nasubili kazi zingine kwa hamu
@NuruKasim-nz1fc
@NuruKasim-nz1fc Месяц назад
Pole sanà Gozi mungu akupe faraja na pia pongezi Kwa kazi nzuri
@directorgozi5509
@directorgozi5509 Месяц назад
🙏🙏🙏
@user-qp4mk5gu6u
@user-qp4mk5gu6u Месяц назад
Pole sana kakq goz Allah akupe ujasi akufanyiebwepesi kwakila zito linalo kufikai​@@directorgozi5509
@sharifamohd3857
@sharifamohd3857 Месяц назад
dah pole sana gozz wetu mungu akuzidishie moyo wa subra na hongera mchezo ni mzuri sana
@SwaaumuRashid
@SwaaumuRashid Месяц назад
Nicheki tufanye kaz
@directorgozi5509
@directorgozi5509 Месяц назад
@@SwaaumuRashid nakucheki vipi🤔
@KephaRobert
@KephaRobert Месяц назад
Pole sana Mr Gozi kwa msiba 😭😭😭
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
Pole sana Gozi Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unacho pitia Bi strong 💪 mtu wangu😢😢😢😊😊😊
@user-ew2hm1qb7p
@user-ew2hm1qb7p Месяц назад
Pole sana Mwenyez Mungu awatie nguvu kwa kuonfokewa na mpendwa wenu.
@user-zm8wo1ue7e
@user-zm8wo1ue7e Месяц назад
Inalilah wainalilah rajuun Pole saaaaan bro ,,, mung akupe nguvu
@QueenbethPetter
@QueenbethPetter Месяц назад
pole sana bro tulikulaumu pasipo kujua pole
@jovithatibatekeleza6598
@jovithatibatekeleza6598 Месяц назад
Pole sana Gozi Mungu amlaze mahali pema peponi mzee
@directorgozi5509
@directorgozi5509 Месяц назад
🙏🙏🙏
@BenditaRaly
@BenditaRaly Месяц назад
Pole Sana kaka mungu akutie nguvu
@evelnjuma1834
@evelnjuma1834 Месяц назад
Pole sana chado mwenyezi mungu akupe nguvu ujasili na amani pole sana❤🇹🇿
@MasiNguma
@MasiNguma Месяц назад
🙏🙏pole sna gozi kwa kupoteza babako mungu akupe nguvu kwa wakati huu mungu
@josephelemash
@josephelemash Месяц назад
Pole kWa kumpotezaa Baba. MUNGU AWatie Moyo.
@ernestmwakalambo3938
@ernestmwakalambo3938 Месяц назад
Pole sana kaka Gozi Mungu akupe moyo wa uvumilivu katika kipnd hiki kigum , Mungu ampumzishe kwa aman mzee.
@MwajuJuma
@MwajuJuma Месяц назад
Inna lillah pole sana gozi kwa msiba wa mzee wetu allah akupe moyo wa subra katika kipindi hichi gimu na hongera sana kwa kazi nzuri
@jamalalfereabdulcarimo1011
@jamalalfereabdulcarimo1011 Месяц назад
Pole Sana Gozi. Sisi sote niwaja wa mungu mungu akimwitaji mja wake ananchukuwa. Pole sana
@user-bs7oe7pd8o
@user-bs7oe7pd8o Месяц назад
pole sana na Mungu akawe mfariji wenu ktk nyakati hizi ngumu za majonzi
@PaulGitua
@PaulGitua Месяц назад
Pole sana kinara Gozi kwa yaliyo tokea, mungu akupe faraja kwa wakati huu kiongozi wetu.
@user-qq1kt3hg1l
@user-qq1kt3hg1l Месяц назад
Asanteni sana kazi nzuri hii gozi tuletee nyengine
@demaestro4599
@demaestro4599 Месяц назад
Dah pole sana Mr Gozi
@BadySmoke
@BadySmoke Месяц назад
Pole sana kaka
@user-xm2wm2oc5w
@user-xm2wm2oc5w Месяц назад
pole sana gozi kwa kumpoteza Baba
@shidashida6060
@shidashida6060 Месяц назад
Nimefuraaahi sana walivosameheana kama Kweli vile 😊,lla pole sana kwa kumpoteza baba,sisi sote ni waja wake na kwake tutarejea,.
@user-tu2gy8mr7u
@user-tu2gy8mr7u Месяц назад
Pole sana gozi hongera pia kwa ujasili
@mkumbwatv8087
@mkumbwatv8087 Месяц назад
Pole Sanaa GOZI Kwa kumpoteza baba
@EdwardCharles-hm4fz
@EdwardCharles-hm4fz 29 дней назад
Picha nzuri sana Gozi Pole kwa kumpoteza Baba Mwenyeziungu akutie nguvu na moyo wenye uvumilivu
@Tito_mbugi
@Tito_mbugi Месяц назад
pole sana kwa kuondokewa na mzazi wako,😢😢😢 mungu akupe nguvu ya kupambana zaid. na nisem bado tuko pamoja
@mabrouk565
@mabrouk565 Месяц назад
Kaka msiba wa kwetu wote bro pole sana ndugu yangu Allah ampe kauli sabit
@user-yu9os6ld3f
@user-yu9os6ld3f Месяц назад
Kazi nzuri snaa
@MwinulaCharles
@MwinulaCharles Месяц назад
pole sana kk gozi mungu akutie nguvu kk na kukumbali sana kk
@LatifaRashidi
@LatifaRashidi Месяц назад
Pole mpendwa mungu akutie nguvu❤❤
@liz77941
@liz77941 Месяц назад
Sorry for the loss my condolences to you Gozi and the entire family. It's not easy but with God it's well . May Almighty console your souls.
@user-qq1kt3hg1l
@user-qq1kt3hg1l Месяц назад
Pole sana gozi mpendwa mungu akulinde
@zaitunimwandetele4400
@zaitunimwandetele4400 Месяц назад
Inna Lilah wa Inna Lilah Raji un hakikaka sis n wake n kwake tutalejea apumzike kwa aman baba,n honger pia kwa kipaji japo umepitia changamoto ngumu kwenye hii move
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
Wah kama namuona hanifa wangu😂😂😂 jaman mnajua sana kubeba uhusika ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉
@user-us2zu1km8b
@user-us2zu1km8b Месяц назад
Congratulations sana bro ❤❤
@user-ie8om7kh5w
@user-ie8om7kh5w Месяц назад
Poleni sana Gozi kwa kupoteza baba mungu aiweke roho yake pahali pema na apumzike kwa amani😢😢😢😢😢😢 much love from kenya congrats kwa kazi nzuri twaingoja season ya pili❤❤🎉🎉
@Fedda258
@Fedda258 Месяц назад
Pole Sana kaka Tunaisuburi season 2 ya moyo wa chuma. Shabiki yako Niko🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@masoudjongo
@masoudjongo Месяц назад
Pole sana dr gozi nachangamoto ulizopitia na ongera kwa kazi mzuri akika unatupa kitu moyo unataka
@user-tf2kr5hv7z
@user-tf2kr5hv7z Месяц назад
Hongera sana got kwa move hii hadi mwisho ila Pole sana kwa kuondokewa na mzaz wako
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 Месяц назад
Duh jamani muna chelewesha muendelezo mno. Anyways hongereni
@abuuhamda6213
@abuuhamda6213 Месяц назад
Pole sana bro Allah amfanyie wepes huko aliko
@user-yu9os6ld3f
@user-yu9os6ld3f Месяц назад
Pole snaaa gozi
@Kamoste
@Kamoste Месяц назад
Hii imekuwa tamu sana❤❤nimeipenda chukua maua yako all the way from kenya 🇰🇪 254...nimehuzunika imeisha😢
@SofiaMussa-be6cy
@SofiaMussa-be6cy Месяц назад
Pole San broo mungu akmpe kauli thabit n akusmamie katk kazi zko appreciate 🫡🥰
@user-ig2gz4fg3h
@user-ig2gz4fg3h Месяц назад
pole bro
@jadixtheblacker3411
@jadixtheblacker3411 Месяц назад
Pole sana Gozi Mollah ailaze roho ya Mzee wetu pendwa mahali pema peponi,, love from Buja Bujumbura Burundi❤❤❤ We love you
@philipogabriel6056
@philipogabriel6056 Месяц назад
Pole sana kijana Mungu akupe faraja ktk kipindi hiki kigum tuko na wewe lete kazi mpya sisi ni wadau wako kiindak ndiki
@ManuMusicOg2002
@ManuMusicOg2002 Месяц назад
Kali kubwa sanaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@user-oj1dv7ci1v
@user-oj1dv7ci1v Месяц назад
Daah pole sana napia umejitahidi sana NAKUPENDA kwakazi nzurii
@user-zs1ig1dz2n
@user-zs1ig1dz2n Месяц назад
Pole san kak kwa yaliyokukut
@user-ur1hz6jc7c
@user-ur1hz6jc7c 17 дней назад
Pole saana mzee baba kwa kuondikewa na mzee wako Piah MUNGU AKUPE hekima na busara uendelee kutoa kaz nzur pamoja mzee baba
@user-dw6fp4lu3k
@user-dw6fp4lu3k Месяц назад
Inalillah wainalilah rajiun pole san kaka goz
@onegospelrecord7127
@onegospelrecord7127 7 дней назад
Pole sana mwamba. Maisha yana realities zake. Mungu alimpenda mzee kuliko wewe na familia nzima. Mwenyezi Mungu akutie nguvu na roho ya mzee wetu kipenzi ipumzike kwa amani. Amin
@tabithamwau5536
@tabithamwau5536 Месяц назад
Pole kwa kumpoteza baba na pongezi kwa kazi nzuri, nimekuwa nikifuatilia sana moyo wa chuma
@user-lc4ew7xd4i
@user-lc4ew7xd4i Месяц назад
Pole sana gozi mungu yupo nawe
@JescaMlelwa
@JescaMlelwa Месяц назад
Pole sana goz
@mbaroukmbarouk-lr7rx
@mbaroukmbarouk-lr7rx 17 дней назад
kazi nzuri brother mafunzo mengi sana
@user-up6wf1on5u
@user-up6wf1on5u Месяц назад
Pole sana gozi mungu akutie nguvu napenda sana kuangalia kazi zako uko vizuri sana
@jamesindunguru
@jamesindunguru Месяц назад
Pore sana gozi kaka mkubwa
@ininahazwedaniella7948
@ininahazwedaniella7948 Месяц назад
Pol sana kaka angu utupe nyingine🎉🎉🎉🎉❤
@HalimaSharifu-in7tl
@HalimaSharifu-in7tl Месяц назад
Pole sana gozi mungu akupe faraja na pia pongez Kwa kazi yako nzr
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w Месяц назад
Pole cn gozi kz yamungu Aina makona innalillah Rajiun
@ashasalimin1033
@ashasalimin1033 Месяц назад
Pole sana rafik
@user-it7dx1zs9y
@user-it7dx1zs9y Месяц назад
Pole Sana goz kwa kuondokewa na baba yako
@user-ee1ml6pp8b
@user-ee1ml6pp8b Месяц назад
Love U gozzzzzz,, kazi nzuri sanaaa,, ila pole sana Kwa kumpoteza Mzazi wako,,, hongera sanaaaa
@liy254
@liy254 Месяц назад
Mungu aiweke roho ya babake gozi pema
@user-xu5yl1ut5i
@user-xu5yl1ut5i 27 дней назад
Pole Sana gozi kwa msiba. Napiga nakupa maua yako kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@Ftwm-ew3up
@Ftwm-ew3up Месяц назад
Pole sana mungu akupe faraja na hongera kwa kazi zuri ❤❤
@kessykutakasa7146
@kessykutakasa7146 4 часа назад
Pole sana kaka mungu akupe faraja
@user-uz6cw3wu7s
@user-uz6cw3wu7s 21 день назад
Daaaah so sad news Pole sana rafiki yangu kwa kuondokewa Na Baba yako Mungu akawe mfariji kwenu.by the why Hongera sana kazi nzuri sana.
@idrisadjuma9322
@idrisadjuma9322 Месяц назад
Pole san gozi
@finegatwiri2597
@finegatwiri2597 Месяц назад
😭😭💕pole sana kaka GOZI mungu akupe ufumilifu .tumeipenda sana kasi yako mbarikiwe
@ibrahimunicodemo2806
@ibrahimunicodemo2806 Месяц назад
pole sana.kijana mungu atawatia nguvu kipindi hichi kigumu
@MayengDulu
@MayengDulu Месяц назад
Pole sana kaka kwakufiwa na baba
@StanslausMapunda-hw1gd
@StanslausMapunda-hw1gd Месяц назад
pole sana director gozi Kwa kufiwa na mzee mungu akutie nguvu ktk kazi zako.mimi ni shabiki Yako mkubwa
@honekisebwa226
@honekisebwa226 Месяц назад
Naqbaliiiii
@fatumajuma9388
@fatumajuma9388 Месяц назад
Ongera gozi kuna chakujifunza hpa ❤❤Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😊 Walaikmuslm,Wah polen wana familia mungu awape subra nyote mlio fikwa na msiba 🤲🤲
@AbdallahIddy-s6w
@AbdallahIddy-s6w 20 дней назад
Pore sana kaka mungu akuogeze kwenye wakati mgum kaka kazi ninzur
@aminareila7136
@aminareila7136 Месяц назад
Duuuh pole sana kaka mwenyez mung akutie nguvu katka kipindi hiki kigum
@user-kl5ov4pj8c
@user-kl5ov4pj8c Месяц назад
Pole Sana Gozi Kwa Kufiwa Na Baba yako.Mwenye Ezi Mungu Akupe Moyo wa Subra.Na Hongera kwa Kazi Nzur Kaka.
@BasraMaisara-ke8kk
@BasraMaisara-ke8kk 29 дней назад
Uko vizuri Sana kaka nimeipenda iyo na pole sana
@andrewkilave3532
@andrewkilave3532 Месяц назад
Gozi umeua sana aisee story nzuri. Hembu leta kitu kingine kikali. Pole sana brother kwa msiba Mungu akutie nguvu katika kipindi hichi kigumu
@directorgozi5509
@directorgozi5509 Месяц назад
🙏🙏🙏
@liy254
@liy254 Месяц назад
Kazi nimeikubali
@user-sc5gt6gs3s
@user-sc5gt6gs3s Месяц назад
Kazi nzuri. Sanaa. Ongera sana. Bro gozi
@PatrickKaundu
@PatrickKaundu 8 дней назад
Pole Sana kaka ...Alf move zako ni zuri Sana na zina mafunzo Kwa maisha
@user-zw6xv1vt1p
@user-zw6xv1vt1p Месяц назад
Pole sana kk
@user-xn2uq3bs2g
@user-xn2uq3bs2g Месяц назад
daa kaka gozi pole sana kwa msiba mungu akutie guvu pole sana
@KhadijaSaid-vj9kh
@KhadijaSaid-vj9kh Месяц назад
Pole sn kaka mungu akusimamie vyema na akufanyie wepes na awape subra ktk hili
@MamadembeleLadouce
@MamadembeleLadouce Месяц назад
Pol 😢 sana Gozi
@calebomariba-we3yk
@calebomariba-we3yk Месяц назад
Mungu halaze roho yake mahali pema peponi n pia asanteni sana Kwa kazi nzuri niko imara kungoja season 2
@user-cb1xx5bl5m
@user-cb1xx5bl5m Месяц назад
Pole sanaaa director gozi mwenyezi mungu akupe uvumilivu na subra
@MatambishiBaila
@MatambishiBaila Месяц назад
Poleee sana kwamusimba Nikupe hongera sanna na mungu awalinde naawape hisiya kali pamoja na chando
@MkasyswallehsaidSwalleh
@MkasyswallehsaidSwalleh Месяц назад
Pole gozi ndivyo kiduni...na Asante kwa kz yko nzuri mungu akufanyie wepesi ktk wakati huu mgu😢❤❤
@machozimukucha
@machozimukucha Месяц назад
Polesan 👏👏👏👏
@LilianLilian-bx1ec
@LilianLilian-bx1ec 29 дней назад
Pole Sana Mr gozi kikubwa muombee apumzike kwa Amani na hongera pia kwa kazi nzur
@winielema-lf9kz
@winielema-lf9kz Месяц назад
Pole sana,kazi ya mungu haina makosa,na mungu akubariki
@user-sx8rn1jr5c
@user-sx8rn1jr5c 12 дней назад
Safi Sana kaka gozi kazi nzuri
@charydnasey9678
@charydnasey9678 Месяц назад
Pole sana gozi Mungu ailaze roho ya baba mahali pema😭😭na pia pongezi kwa kazi nzuri moyo wa chuma inamafunzo nzuri sana❤❤natokea kenya 🇰🇪
@MaryamMaryam-ru1qt
@MaryamMaryam-ru1qt Месяц назад
Pole. Xna brooo na ninakupa pongez xna kwa kaz yako sisi team strong 2po mbli lkn 2nakupa pongez xna kwa kaz nzurr allah akujalie ufanikiwe
@user-gv4up5ed8v
@user-gv4up5ed8v Месяц назад
Pole sana kwa kufiwa na baba yako
Далее
MKE WA JIRANI PART { 1 }
13:34
Просмотров 177 тыс.
SIRI YA MAPENZI- Episode [1] LOVE STORY ❤️ ❤❤
18:43
Каха бизнес-класс
00:48
Просмотров 1,1 млн
skibidi toilet 76 (part 2)
04:28
Просмотров 14 млн
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
MFUMO EP {{ 4 }}
26:12
Просмотров 14 тыс.
HD NDOA NA MAREHEMU SEASON ONE FULL MUVIE
1:13:17
Просмотров 33 тыс.
CHEKESHA : MTANGA YAMEMKUTA NA WATOTO WA MJINI
14:17
Просмотров 10 тыс.
ONE MISTAKE | LOVE STORY ❤️  full movie 🎬
38:37
KOSALANGU     Short film
22:01
Просмотров 887
JUMBA BOVU FULL MOVIE
39:39
Просмотров 24 тыс.
SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO
40:50
Просмотров 330 тыс.