Тёмный
No video :(

SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO 

CLAM VEVO
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 835 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,5 тыс.   
@emmanuelmmbaga5209
@emmanuelmmbaga5209 Месяц назад
MUNGU MUUMBA MBINGUNI NA DUNIA, tupe macho ya rohoni tujue kweli yako, na tukae ktk njia zako Amina...... 🙏
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Месяц назад
Kwaio humu ulikua unasoma biblia au imeingiliana VP na maombi 😂😂😂😂
@user-jc1og5cr3i
@user-jc1og5cr3i Месяц назад
@@user-sv6zy3hc8o😂😂😂
@AweiyBeauty
@AweiyBeauty Месяц назад
Jaman jaman jaman watu hahahahahhhh!hayo majb sjui wp tunayapata wallah
@MohammadSwaghir
@MohammadSwaghir Месяц назад
Wewe ndo umesema la maaana
@MosesKahindi-ys2xb
@MosesKahindi-ys2xb Месяц назад
Amen🙏
@user-rl4cf6tc5n
@user-rl4cf6tc5n Месяц назад
mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea
@MoneyKey247-fk4oy
@MoneyKey247-fk4oy Месяц назад
Kweli😂😂😂
@NawaliKassimu
@NawaliKassimu Месяц назад
Mpaka unasahau uliishia wapi
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Месяц назад
Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko
@LovenessPaul-yf7rz
@LovenessPaul-yf7rz Месяц назад
Kwakweli😢😢
@MaulidMrisho-hk2vi
@MaulidMrisho-hk2vi Месяц назад
usilaumu kukawia angalia wanatumia muda mlefu kuandaa maana siokitu chalaisi2 kiivyo wanatumia malifa mengi
@EphrahimIlomo
@EphrahimIlomo Месяц назад
Daaa tumesubiri sana mnakaa mno mpaka tunasahau kama Kuna snake boy anyway kazi nzuri sana@clam vevo
@Kaloki-hv7dx
@Kaloki-hv7dx Месяц назад
Sijui mm ni wangapi naombeni likes hapa...mwenyezi mungu haibarki snake boy...clam vevo hatariiii..
@PatrickAntony-w4d
@PatrickAntony-w4d Месяц назад
Mm. Wakwanza udugu
@user-mm3ri2up9c
@user-mm3ri2up9c Месяц назад
Kazi nzuli jaman naomba like from burundi tujuane
@_Wayiva_mukuta_jean
@_Wayiva_mukuta_jean Месяц назад
Clam vevo the number one ☝️ mpaka apa Congo 🇨🇩 na kubali équipe clam vevo.
@YoungblackPeople-qf7vx
@YoungblackPeople-qf7vx Месяц назад
Mwenyezi mungu akubaliki wewe na familia yako muwe na maisha malefu kwa wewe unaye soma comment hiii
@EverinRobert-cg6cx
@EverinRobert-cg6cx Месяц назад
Amina
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Месяц назад
Amiina
@user-ed8nq6ve7q
@user-ed8nq6ve7q Месяц назад
Amini❤
@user-jq5lh9mo1v
@user-jq5lh9mo1v Месяц назад
Amiiiiin 😊
@gakozimartinvalentin2763
@gakozimartinvalentin2763 Месяц назад
Amina
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv Месяц назад
Nimekuwa wa Mia mbili na 53, Naomba likes zangu, snake boy ni motooo 🎉🎉🎉
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf Месяц назад
Afadhali umesema kweli mana kila mtu wa kwanza humu😂😂😂😂😂
@officialgvanny8334
@officialgvanny8334 Месяц назад
​@@HudhaimaYussuf😂😂😂😂
@TajaIssa
@TajaIssa Месяц назад
Kama unamkubali mtanzi gonga like
@NdohoAud
@NdohoAud Месяц назад
​@@HudhaimaYussufhhhhhhh😂😂 nihatal
@Mashenene_Robert
@Mashenene_Robert Месяц назад
Wewe adimin 😅😅😅
@adidjahassan6046
@adidjahassan6046 Месяц назад
From burundi ❤❤ napenda sana snake boy clam apewe maua yake jamani kama tukopamoja gonga like apa ❤❤
@filexingutia3620
@filexingutia3620 Месяц назад
Mimi ni miongoni mwa first 80,000 waaah! Si watu mnawai jamani... Yaani karibu nianguke😂❤🇰🇪KE🇰🇪NYA🇰🇪
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 Месяц назад
Àssalaam aleykum.. Tukumbuke na Ibada ndugu zangu 🇹🇿 🇰🇪 🇧🇮 🇷🇼 🇨🇩
@user-vq6dc4nr5p
@user-vq6dc4nr5p Месяц назад
Waalaykum ssalaam... Shukran kwa ukumbusho❤
@FatumaHamisi-sr6yj
@FatumaHamisi-sr6yj Месяц назад
Walekum salam shukurani Kwa ukumbusho kipenzi 😍
@KishkiMdogo
@KishkiMdogo Месяц назад
Shukran
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад
Waalykumussalaam warahmatullah'hi wabarakaatuh. Muhimu shukria ❤
@user-tu4vz9ee3h
@user-tu4vz9ee3h Месяц назад
Waalaykum musalamu warahmatullah wabarakatuh Inshallah,
@fundiseif1096
@fundiseif1096 Месяц назад
Snake boy 🐍 inazidi kua hatariiii umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪
@nestorykakatv7526
@nestorykakatv7526 Месяц назад
Ushauri wa bure msiwe mnakaa siku 10 jaman mjue tunapenda xn hii kazi
@professor1992
@professor1992 Месяц назад
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tangu nianze kufuatilia snake boy sijawai pata likes, jameni naombeni likes mukinifuata youtube
@Kib-jsanley
@Kib-jsanley Месяц назад
Mombasa😂😂
@DuniaMayombo
@DuniaMayombo Месяц назад
Nilisha kupa likes ambayo uliomba❤
@collinsmlay1438
@collinsmlay1438 Месяц назад
Nimekupa dislike moja aisee nataman nikuongezee zaidii
@AshaMussa-r4z
@AshaMussa-r4z Месяц назад
Kazi nzuri kaka Allah akulinde uzidi kutoa kazi nzuri ila munachelewesha sana
@RifatiJeshi
@RifatiJeshi Месяц назад
Mkishajua tunawafatilia na kuwakubal mnatuchelewesha sana kutoa muendelezo!! Jirekebshen bhac
@rashidkwengwegu6876
@rashidkwengwegu6876 Месяц назад
Kuchelewa kwao ni kuandaa kitu kizuri kitakacho kuvutia
@ramadhanmbai648
@ramadhanmbai648 Месяц назад
WA Kwanza kutoka Kenya. I love Tanzania bongo movies .. big up Tanzania ❤
@yassatv2129
@yassatv2129 Месяц назад
Naomba wote mnaoangalia snake boy mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu🙏
@NadzuaMrema
@NadzuaMrema Месяц назад
Amen 🙏 🙏 nawe pia
@Dogs-jg3mg
@Dogs-jg3mg Месяц назад
Amina
@mulhathamadomar4451
@mulhathamadomar4451 Месяц назад
Amiin kwak piA
@abedysteven4930
@abedysteven4930 Месяц назад
Amen
@user-ib5gg4kb5c
@user-ib5gg4kb5c Месяц назад
Amina
@Puchuanitz
@Puchuanitz Месяц назад
Jaman me nataka mwakatobe ak zinga team zinga dondosha like
@mosesashikoye3288
@mosesashikoye3288 Месяц назад
Clam siku hizi unachekewesha sana hadi nasikia nimeanza kukosa hamu tena, imarikeni kwa hilo. Tunawapenda sana huku Kenya
@amothedecorationiw9iw
@amothedecorationiw9iw Месяц назад
Kigongo kinachelewa mpaka napata hasira kiukweli sijafurahia kabisa week mbili tunakaa kinyonge aaaahhh director amezingua
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib Месяц назад
Kiujumla vevo na team yako mupo vizuri tena mupo vizuri sana
@Jeremiahc224
@Jeremiahc224 Месяц назад
Kazi njema inaitaji watu hodari na nyinyi nyote ni mahodari kabisa 🙌🙌🌹❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu Месяц назад
Wenye kufuatilia hizi episodes tujuane 😂😂😂mimi ata ikifika episode 50 lazima niifuatilie team Clamvevo wapi likes 👍👍👍
@PatrickAntony-w4d
@PatrickAntony-w4d Месяц назад
Tunawaombea sana❤
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu Месяц назад
@@PatrickAntony-w4d 😘😘😘
@Akili820
@Akili820 Месяц назад
Clam noma sana 🇨🇩🇨🇩☝️
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh Месяц назад
Watu waliokubaliii kaziii hiii ya CLAM VEVO gonga like hapa❤❤❤❤ movie iko unyamaaa sanaaa
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Месяц назад
Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦
@FrankHakizimana-rb3zs
@FrankHakizimana-rb3zs Месяц назад
Upo sawa
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Месяц назад
@@FrankHakizimana-rb3zs Welcome
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 Месяц назад
Asante Mungu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Asante mungu ww umeongea la maana kuliko kuomba like
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Месяц назад
@@mohammedkidody5618 ubarikiwe sana
@BakariNgare-v8z
@BakariNgare-v8z Месяц назад
Duuh Clam vevo watueka sana wachelewesha mzigo but ongera Kwa kaz nzuri naona next kanumba miaka inayo kuja karibu Mombasa Kenya.
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Месяц назад
Dakika 40 pia umegewa
@BakariNgare-v8z
@BakariNgare-v8z Месяц назад
Hahahaha 40minutes n sawa but anatueka sana Vevo best wishes to this guy is very genius​@@eggysulle7988
@MagrethDaniel-cu5fg
@MagrethDaniel-cu5fg Месяц назад
Aisee huy dada urembo unamtesa jaman kaqa kama mpira ahahahaha!!! Ungekuwa na sura ngumu ka me akaaaah! Hata ukitupwa pale mbwa hanusi😂😂😂😂😂
@Monystar01
@Monystar01 Месяц назад
Aisee kama kuna mtu alikua anaumia Snake 🐍 boy kuchelewa kama mimi Gonga likes 👍
@saidpolish1988
@saidpolish1988 Месяц назад
Unachoka mtu kuifatilia inavochelewa sana
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Kabisa inachelewa sana mpk tunakata tamaa
@Big-studios255
@Big-studios255 Месяц назад
inakuja ndugu zangu 😥😥😥😥 kazi ni nyingi upande wetu sisi ma producer
@SaidiHemedi-ug6qw
@SaidiHemedi-ug6qw Месяц назад
Wewe nimshamba tu
@DamarisDammie
@DamarisDammie Месяц назад
Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪 ila mnachelewesha sana hd tunasahau pale tulipoachia ila kazi nzuri sana Clam vevo tunaikubali ❤
@user-dh5wh9ts2i
@user-dh5wh9ts2i Месяц назад
Safi Dama Mkenya wangu
@edwardngugi3537
@edwardngugi3537 Месяц назад
Ii kiswahili yko c ya Kenya 😂😂😂 buana
@DamarisDammie
@DamarisDammie Месяц назад
@@edwardngugi3537 hiki n Cha wapi kipenzi
@DamarisDammie
@DamarisDammie Месяц назад
@@user-dh5wh9ts2i good ❤️
@user-qz2dn3qb1x
@user-qz2dn3qb1x Месяц назад
Naomba unicheki bax
@yonamaduma6284
@yonamaduma6284 Месяц назад
Tujuane tunao fatilia snake boy kwanzia season one kama mimi ngonga like hapa
@AsmaEdgar
@AsmaEdgar Месяц назад
Gonga na kwangu basi
@user-hn6co1ul8l
@user-hn6co1ul8l Месяц назад
Naku kubari kazinzuri sana Ila muna cherewa jitaidini ata muwe munatoa vipande vitatu kwawiki 🎉
@JackyTarimo
@JackyTarimo Месяц назад
2po kimoja
@wamboiwamboh
@wamboiwamboh Месяц назад
❤❤❤si mnipitie akh😂
@KigabiChanceline
@KigabiChanceline Месяц назад
Niko
@Nancykerush
@Nancykerush Месяц назад
Naipeda xana na watch nikiwa Nairobi Kenya wapi likes zangu jamen
@AishaAbdallah-lm4ic
@AishaAbdallah-lm4ic Месяц назад
From Kenya..🇰🇪🇰🇪 watching from Qatar 🇶🇦 🇶🇦 Nikiwa Moja Wenu🤝💕💕💕
@Dorcasmwende764
@Dorcasmwende764 Месяц назад
Maandamo ni Tuesday CBD tupatane 😅
@AishaAbdallah-lm4ic
@AishaAbdallah-lm4ic Месяц назад
@@Dorcasmwende764 Inshaallah mpenzi pamoja 🫂
@khajiathuman-zq4bj
@khajiathuman-zq4bj Месяц назад
tunaemuona tanu ajulikan yupo upande gani 😂😂 tien like ap
@LysonMshan-kf7rg
@LysonMshan-kf7rg Месяц назад
tanuu bwanaa Mii simuelewii yanii 🤣🤣🤣🤣
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
😂😂😂
@stephanmpangire4741
@stephanmpangire4741 Месяц назад
Alooo 😂😅
@saumbliz8983
@saumbliz8983 Месяц назад
Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹
@Shacky665
@Shacky665 Месяц назад
Kazi nzuri Tim vevo hamjawahi niangusha🎉🎉🎉🎉
@ShizoMsosa
@ShizoMsosa Месяц назад
Kukudadakei one number
@MellanierChristian-wn9mw
@MellanierChristian-wn9mw Месяц назад
Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢
@amilahmuta7586
@amilahmuta7586 Месяц назад
Maana kuu ya kikulacho ki nguoni mwako
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Kabisa yn na utawala wa kimabavu
@EstherShania-u8i
@EstherShania-u8i Месяц назад
Leo nmechelewa lkn naomba like hta 2 tuh
@KIBETLOTIPO
@KIBETLOTIPO Месяц назад
Watching live from the capital city of Africa 🇰🇪 KENYA,wapi like zangu,ila mnachukua muda mwingi kutoa episode
@qurthummrabdllh3635
@qurthummrabdllh3635 Месяц назад
Mtoe maoni basii kazi wsicheleweshe sana 😂😂😂 kuomba like tu 😂😂😂
@judithpendo9985
@judithpendo9985 Месяц назад
KWANI watu mko n sim kwa mkono jmn 😂😂 nawapenda 🥰 Bure Genz 👊 team strong team clam vevo🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️
@user-dh5wh9ts2i
@user-dh5wh9ts2i Месяц назад
Safi Pendo wakwehuu ❤
@user-rj8zh8ok7q
@user-rj8zh8ok7q Месяц назад
Tanu jau kiponza
@heryIsaac
@heryIsaac Месяц назад
clam ni bonge moja la act 4this country niamin
@Ozilandre
@Ozilandre Месяц назад
Clam VEVO hanajua kwandikajama , mana tukikosa kumwona Vevo tunamwona mwakatobe , tusipo mwona mwakatobe, tunamwona Vevo 😂😂😂 Samani jamani Mimi kwetu Mozambique 🇲🇿🇲🇿 kwiavio sijuwi kwandi vizuri, samani 🙏 nipeni like
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga Месяц назад
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
@siafuonlinetv
@siafuonlinetv Месяц назад
Kama kuna mtu kila siku alikuwa anaangalia kama clam kaaploud au laaa gonga like kwangu
@hashimuomary4569
@hashimuomary4569 Месяц назад
Kwan mnaoomba like zinawafaidish nn nyie vibwengo watoto wa mwakatobe
@MwabuJackson
@MwabuJackson Месяц назад
Hi cast of the snake boy, we are really enjoying your wonderful movies. Please keep it up, I wish you the best in your remaining seasons. I'm Zambian.
@user-dw3dz2zt4i
@user-dw3dz2zt4i Месяц назад
Hiii movie inaongelea Uongozi mbaya kama vile Kenya viongozi wengine wanavo wanyanyasa Wana Himaya ,,,,,ndio unakuta kuna wenye wanakufa ndo wengine wasaidike baadae,,,,,halafu kuna wakina Raila apo kina Kipara huku Yuko na kule yupo
@user-gw1tc8tf5j
@user-gw1tc8tf5j Месяц назад
Kwel ina mafunzo Meng San y kujifunza hpa
@hamisikamanda9933
@hamisikamanda9933 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Kabisa yn😂😂😂
@user-wq2np3dm3d
@user-wq2np3dm3d Месяц назад
😂😂😂
@SallyMateru
@SallyMateru Месяц назад
Hatimaye baada yakusubiri kwa muda mrefu😂😂
@crazykea2032
@crazykea2032 Месяц назад
Eeeeh wanakawia sana adi mtu huchoka😂
@SallyMateru
@SallyMateru Месяц назад
@@crazykea2032 yaani mpaka unaanza kusahau ilipoishia 🤣😂😂 ila Ndo tunaipenda Hata iweje hatuachi kufatilia
@salhkiyagi
@salhkiyagi Месяц назад
Kazi nzur san ila punguzen baadh ya vitu move iende vizur mtuletee nyingne mwaka sasa unaenda tunafwatilia move iyo tu mwiso itakifu ipoteze ukwality tulio elewan tujuane kwa like
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI Месяц назад
Kweli kabisa
@salhkiyagi
@salhkiyagi Месяц назад
@@HASHIMMAKUNGUHAMDANI unaweza ukasahau hata ilianzaje
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI Месяц назад
@@salhkiyagi yaani jamaa anazingua sana yaani mpaka hamu inaaza kuondoka
@DianaBoniphace-bh7dr
@DianaBoniphace-bh7dr Месяц назад
Unyama sana👏👏
@JumaRajabu-gg7ib
@JumaRajabu-gg7ib Месяц назад
Yanii mov ishee kwann usi🎉🎉🎉🎉😅 iishee ww
@MahadiMusa-b1z
@MahadiMusa-b1z Месяц назад
Sasa nyie mnao like amuwaambii kua ii igizo saivi adisi aeleweki nini inamaanisha wamalize2uuu
@shamiraramadhani3145
@shamiraramadhani3145 Месяц назад
Mnakalia kuomba like tu na wakati wanachelewesha saana hii move clam acha kuchelewesha hivyo bhn
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Ww umeongea mpk tunakata tamaa
@kizzydaniel4388
@kizzydaniel4388 Месяц назад
umetucheleweshea sanaa mzee sisi huu ni zaidi ya ulevii
@BensonNtahombaye
@BensonNtahombaye Месяц назад
Kweli kabisa wana tuchelewesha
@medytrueboytz8450
@medytrueboytz8450 Месяц назад
Kweli kabisa Yani mpaka nime boeka
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Месяц назад
Umegewa pia dakika kibao za kuona
@NyamweruAlex
@NyamweruAlex Месяц назад
Umeona
@davidnyolo1668
@davidnyolo1668 Месяц назад
Walai manze
@husseinmohamed1380
@husseinmohamed1380 Месяц назад
Anguka nayo clam vevo,much love from 254🇰🇪.
@RaymondMahadi
@RaymondMahadi Месяц назад
Alright thanks for your work bro 🙏 Good morning our lovely videos I'm Raymond mahad from Kenya Mombasa or Nairobi I'm so happy for this channel
@diva_20162
@diva_20162 Месяц назад
Sema kipara anaupiga mwingi sana aseee maua yake,, hachezi mbali na fursa 😂😂
@BeatriceMussa-y4b
@BeatriceMussa-y4b Месяц назад
😂😂😂😂😂 umbea wa faida
@ErickyTz-ku7dt
@ErickyTz-ku7dt Месяц назад
Why this young boy clamvevo doesn't trending although he is the best and large number of pure views any way much love from Toronto canada
@IssahBrighton
@IssahBrighton Месяц назад
Oy
@IssahBrighton
@IssahBrighton Месяц назад
@Rigobertpanga9
@Rigobertpanga9 Месяц назад
Jamani ndugu zangu kama Kuna aliyesubiri snake boy Kwa hamu kama mimi agonge like apo 🐍
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb Месяц назад
Kazi nzuli sana ongeren ila maoninyangu kazi inachelewa kwa siku nyigi sana jmn fanyeni malekebisho kwamuda sahihi na dakika za kutosha ❤❤
@Barnizeboy
@Barnizeboy Месяц назад
Wa kwanza leo naomba like zangu toka dr Congo 🇨🇩💪💪
@mwajumaahmed9888
@mwajumaahmed9888 Месяц назад
Hakuna kazi ndog jmni wanajitahid sana na kutoa ndefu ndefu had rahaa mungu awabariki kwenye kzi zenu
@SaidesimbaSimba-sm1xx
@SaidesimbaSimba-sm1xx Месяц назад
Mambo
@CostaTande
@CostaTande Месяц назад
Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo
@aminielenock2050
@aminielenock2050 Месяц назад
Huo mziki bonge moja la ubunifu 🔥🔥
@aminielenock2050
@aminielenock2050 Месяц назад
Mnachelewesha sana kazi wakuu pia nzinga ni tumemiss misemo yake na timbwili
@GebrielMosha789
@GebrielMosha789 Месяц назад
Makini sana kamnda clqm vevo umeupiga mwingi hila zingatia kuwaisha mzigo
@dunguman8133
@dunguman8133 Месяц назад
Nice
@samwelwekesa4480
@samwelwekesa4480 Месяц назад
Nipeni likes za wakenya, nampenda vevo na kazi zake
@user-bi9pl4eu2o
@user-bi9pl4eu2o Месяц назад
Kazi nzuri bro mbwela big up sana
@idrixalumany5902
@idrixalumany5902 Месяц назад
Wana mzengo mko moto sana😂😂
@isharaganechi6616
@isharaganechi6616 Месяц назад
Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba munilae kibas kidogo sababu naikubali hii muvi na imecheleweshwa ila tunaipenda tu
@mwanaidisaidi1101
@mwanaidisaidi1101 Месяц назад
Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde RU-vid maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana
@VictorObeth
@VictorObeth Месяц назад
Namuona ndugu yangu ibra mbwera au chif safi kaka kazi nzuri
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 Месяц назад
Ku edit Videoo ni kazi ngumuu sana kupangq vipandee na kuandaa kazi nzur
@DianaRose-kh7sr
@DianaRose-kh7sr Месяц назад
Watu mko vizuri mapema mshawahi 🧡🧡🎉
@SUraxPalmaboy
@SUraxPalmaboy Месяц назад
Vip
@SUraxPalmaboy
@SUraxPalmaboy Месяц назад
Ol❤❤❤
@user-yk3cf6jp2y
@user-yk3cf6jp2y Месяц назад
Nakubari unyama huu apa nisubiri kwa hamu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@ronzevannyboychui1661
@ronzevannyboychui1661 Месяц назад
ila namie sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila nawapongaza sana kitu kizuri kabisa jaman ila Clam vevo 🎉🎉❤
@VarraneOmjo
@VarraneOmjo Месяц назад
Naomba like ata 2 jamani
@shabanbachane7318
@shabanbachane7318 Месяц назад
Kuwa wa mwisho naomba like 5
@PatronizeNgombo
@PatronizeNgombo Месяц назад
From kenya 🇰🇪 254 naomba like hata 5
@user-dh5wh9ts2i
@user-dh5wh9ts2i Месяц назад
Safi mkenya mwenzangu 😊
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 Месяц назад
Tuambie kama ni Genz kama sio Genz hupati like uku tzz tunawakubali Genz
@Moisesmoceya
@Moisesmoceya Месяц назад
​@@ngoyaboy1590😂😂
@user-ts2pv6db3e
@user-ts2pv6db3e Месяц назад
😂😂
@ryankoech
@ryankoech Месяц назад
Tuko pamoja bro
@dismasjuma7440
@dismasjuma7440 Месяц назад
aura4aura nikiwa kenya kazi bro clam.wakenya wenzagu like natukutane tuesday CBD kwa mapambano
@Boshbriz3344
@Boshbriz3344 Месяц назад
😂😂😂
@UserOkelohansi85
@UserOkelohansi85 Месяц назад
Kuwa wa Kwanza naomba like ata 2
@graffinamisi
@graffinamisi Месяц назад
Like hupeleke wapi
@MosesBakari-mh5of
@MosesBakari-mh5of Месяц назад
🎉
@Helmankilosa
@Helmankilosa Месяц назад
Za nn
@MichaelMwemezi-y4f
@MichaelMwemezi-y4f Месяц назад
Kenge wewe
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Месяц назад
Omba mboo tujue moja
@topaztz7601
@topaztz7601 Месяц назад
Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho.. KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤
@Mr.bossrivMr.bossriv
@Mr.bossrivMr.bossriv Месяц назад
Nami wa kwanza jamani naomba link hata kumi tu🎉🎉
@MartinLazaro-zj6ke
@MartinLazaro-zj6ke Месяц назад
Clam VEVO. Sterling wa snake boy umekuwa Bora sana. Season 1 na season 2. Kazi nzuri sana ❤❤❤❤
@hamisimbwana-yf3ze
@hamisimbwana-yf3ze Месяц назад
Wakwanza leo Fedha boy Aka Hamisi Mbwana from kenya mombasa kenya
@SylvesterMwinga-ff5iy
@SylvesterMwinga-ff5iy Месяц назад
Safi kazi nzuri>Team strong tujuane
@mustafamwenda
@mustafamwenda Месяц назад
Ila wadau saiz watanzania tumepiga hatuwa kwenye movie camera saiz zina hd ya kueleweka unaona mpak chunusi kwakweli tujipongeze wote tz❤❤❤❤
@user-yy6fx8hm4g
@user-yy6fx8hm4g Месяц назад
Ila kipala anaogopa kufa 😂😂😂😂
@MARIAKANIMEDIA_254
@MARIAKANIMEDIA_254 Месяц назад
Wapi wale wakenya🇰🇪 nataka kuona nguvu ya 1k likes
@zamirhassan81
@zamirhassan81 Месяц назад
🐍 Boy ya Motooo
@peterleonidasofficial3135
@peterleonidasofficial3135 Месяц назад
Itumie hii series piah kujifunza..make vipo vingi sana vya kujifunza...naomben likes bhas😇
@NurdinAthuman-lw7yc
@NurdinAthuman-lw7yc Месяц назад
Yaani inayofata toeni hata mwakani basi maana mnachelewesha tuu bhana 😢😢😢😊
@ARONPaul-bz3ws
@ARONPaul-bz3ws Месяц назад
Nomaaa sana kwa movie tamuu vevooooo ila nisimsahauu director kakosooo anafanya kaziii nzuriiii sana
@aganzeroger
@aganzeroger Месяц назад
Wa kwanza Leo kutoka Congo nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉🎉
@MaicoKaniqueMaico
@MaicoKaniqueMaico Месяц назад
From mozambique 🇲🇿 tunakubali sana snak boy
@sandulutu8635
@sandulutu8635 Месяц назад
Mnachelewa mpaka tunasahau mlipoishia
@othmanali5799
@othmanali5799 Месяц назад
Toeni sikuuu maalum tuu ya kutoa kama baba Oliver tunajua ni ijumaaa mtu unasubiri mpka unachokaaa
@sundaymarwa9322
@sundaymarwa9322 Месяц назад
Tatizo mnaforce sana ati kila EP ifike laki saba ndo mtoe ingine mnadhani ati hii ni wrong house ya R.K😂😂😂😂😂
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 Месяц назад
Ya RK haifikii hii kabisaaa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Kali ya rk lkn haifikii hii😊
Далее
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
Просмотров 762 тыс.
MAPOKEZI YA CLAM VEVO ALIPOFIKA CONGO 🇨🇩
3:39
Просмотров 127 тыс.
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Просмотров 562 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /34/ #love
30:22
Просмотров 49 тыс.
MTOTO MTUNDU NASHEKHE WA MTAA
4:37
Просмотров 259 тыс.
COMRADE FULL MOVIE ONLINE OFFICIAL
1:30:01
Просмотров 2,9 тыс.
LOVE BITE  《01》
31:27
Просмотров 521 тыс.
PENZI LA SHEMEJI LA MPONZA ALEX 😂😂
15:01
Просмотров 646 тыс.
HOUSE GIRL EP 45 | S2 | love story💞💕
22:39
Просмотров 96 тыс.
HOUSE GIRL EP 48 | S2 | love story💞💕
22:45
Просмотров 10 тыс.