mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea
Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko
Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦
Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹
Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢
Hiii movie inaongelea Uongozi mbaya kama vile Kenya viongozi wengine wanavo wanyanyasa Wana Himaya ,,,,,ndio unakuta kuna wenye wanakufa ndo wengine wasaidike baadae,,,,,halafu kuna wakina Raila apo kina Kipara huku Yuko na kule yupo
Kazi nzur san ila punguzen baadh ya vitu move iende vizur mtuletee nyingne mwaka sasa unaenda tunafwatilia move iyo tu mwiso itakifu ipoteze ukwality tulio elewan tujuane kwa like
Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo
Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde RU-vid maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana
Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho.. KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤