Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.
eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada
uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S
Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.
Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.
Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.
Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane
Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao
Kwa ninachokiamini mimi "Hakuna mkate mgumu mbele ya supu" Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii Je sisi wanawake wa karne hii je? Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu.... Nawatakia kila la kheri wanandoa Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana
Wanawake wa siku hiz hawaamin kama kuna wanaume wanawapenda na hawacheat kwenye mahusiano kabisa na hili ni tatzo sana ambalo linawafanyaga wanaume wacheat kwasababu tu yakutoaminika kwa mke wake au mpenz wake lakn wanawake wangekuwa wanaweka iman ya kuwaamin wanaume wao hata mwanaume mwenyewe akifanya hvyo roho yake itamsuta sana na kujutia
Hadija Bashil Uwiiiiiiiiii n kweli shoga angu uyasemayo Jana tu Nimemwambia mme angu namfanyia bed bath akanijibu ndo namfunga ili asipendwe kwa wengine
Mhmh Sasa Hiyo kazi kwa walioolewa watafanya Mpaka lini na Bado hapo watoto wanakungoja 😢haya ni mafunzo mazuri kwa Wale wadangaji ama Ma slay Qween 😢😢
Ahahaa,hayo nahisi yalikua yazamn,wacku izi niziro tu..naumpate wakumfanyia hayo ,sasa mwanaume kukupigia cm au kukutumia msg nimala moja kwa mwezi,au akiwa nashida flan ndo anapiga kuuliza,hawezi kukumbuka kwamba huko nyuma nimemuacha mke wangu ngoja nimuandae mapema kwa vimeseji flan hivi vya mahaba,,sasa wewe hunifanyii hayo unafikili mi ntakufanyia.