Тёмный

MR MONEY_EP 03 

LIKOMA
Подписаться 125 тыс.
Просмотров 258 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 529   
@mwanamisikifogo869
@mwanamisikifogo869 2 месяца назад
Nilivyo na bahat kuwa wa kwanz tena ❤❤❤❤❤❤❤❤❤penda san kp na zebu mmm from kenya 🇰🇪 😄 😆 🤣 ❤❤❤❤
@j.claudeniyonkuru3989
@j.claudeniyonkuru3989 2 месяца назад
Mr likoma wakwanza leo Burundi Bujumbura tunawafuatiria mia%
@محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
@محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 2 месяца назад
😂😂😂😂kp na zebuu pamoja na mzee likoma hongereni kwa kupata huyu mkenya kazi mnayo🎉🎉🎉🎉😂❤
@MiriamMaphie
@MiriamMaphie 2 месяца назад
Hooooo jamn shei shei we niatar kp na zebuu kimewalamba
@Ninah743
@Ninah743 2 месяца назад
Kimewalamba kwelikweli😅
@samuelbonfils57
@samuelbonfils57 2 месяца назад
Kazi nzuri Mzee Likoma❤❤🎉🎉
@ZawadiMhono
@ZawadiMhono 2 месяца назад
Lakini nola mna mtenga sana hata comments huwa hamuongelei sana me sipend ubaguzi nawapenda wote ata nola nae ni noma kinyama ety na Sheila ndo babu kubwa 2 🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@lrene4442
@lrene4442 2 месяца назад
Bora ata umemkumbuka nola
@JibranMursali
@JibranMursali 2 месяца назад
Kp na zebu tuko pamoja ila msitu heleweshe jamani 🎉🎉🎉🎉❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤🎉🎉
@salmasalam3268
@salmasalam3268 2 месяца назад
Wowow❤🎉🎉❤nipo apa na Mr money
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 месяца назад
Kama unakubali series ya mr money gonga like hapa tujuane........😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤
@AdinaniMisso
@AdinaniMisso 2 месяца назад
Arooooow! Nawapend san pia nawakubar san
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 месяца назад
​@@AdinaniMisso❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Kpandzebuu
@Kpandzebuu 2 месяца назад
❤❤❤🎉🇰🇪
@NuruNdegwa-yg2bm
@NuruNdegwa-yg2bm 2 месяца назад
Naipenda sana❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 месяца назад
​@@NuruNdegwa-yg2bm❤❤❤❤❤❤❤
@NancyMaganga
@NancyMaganga 2 месяца назад
Sheila shei unatesa liko na mapenzi si Kwa mzee wa giza si Mr money aaaa jamani ❤😂😂
@carolkiptoo8703
@carolkiptoo8703 2 месяца назад
Yeah 😂😂😂😂😂
@FatumaHamisi-xw1pv
@FatumaHamisi-xw1pv 2 месяца назад
kwa kwl sheil pngz unmchngny mzee wa w2
@NancyGatwiri-c7n
@NancyGatwiri-c7n 2 месяца назад
😂😂😂 Sheila umeweza manzy
@RemtahNanzala-k3k
@RemtahNanzala-k3k 2 месяца назад
Kazi nzuri nawapenda sana
@NipherKwamboka
@NipherKwamboka 2 месяца назад
Plz napema ndio best from 254 hebu like zangu
@BintiMweluhanga
@BintiMweluhanga 2 месяца назад
Ilaaaa Mzee likomaa Yani ww ni jembe unaweza kuubeba uhalisia wa uzee kwa asiyee kujuaa haamini kama ww ni kijana handsome Alafu sasa maajabu yenyew kote kote ni handsome ❤❤❤❤❤ penda sana ww😘😘😘
@MobigoMobigo-ut9hu
@MobigoMobigo-ut9hu 2 месяца назад
Mnacherewesha sana kitu tumeipenda ❤❤❤❤
@JosephineLaswai-o5e
@JosephineLaswai-o5e 2 месяца назад
Tunamtaka suraji kama na ww unamtaka suraji
@LucasCasimiroVintane
@LucasCasimiroVintane 2 месяца назад
Muko vizuri sana tena sana apa kutoka Moçambique
@ZawadiMhono
@ZawadiMhono 2 месяца назад
Nakupenda sana sheila na zebuu na Tim Yako nzima kiujumla 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SirSimo-x5k
@SirSimo-x5k 2 месяца назад
Nakubar san kp na zebuu
@halimajay606
@halimajay606 2 месяца назад
Zebuu sisi wakenya sio waovyoo bwana kakako kapagawa mwenyew 😂😂😂😂😂
@elizabethcatherine-jm8fr
@elizabethcatherine-jm8fr 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@halimajay606
@halimajay606 2 месяца назад
@@elizabethcatherine-jm8fr eeeh atuwache😀😀😀tumshoshee mzee likoma nae sasa😂😂😎
@BintiMweluhanga
@BintiMweluhanga 2 месяца назад
Maajabuu nawapendaa sana
@vanny-go5ze
@vanny-go5ze 2 месяца назад
Mimi najuwa amunipendi ila naomba like jamani
@BothainaBothaina-k6c
@BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад
SAfi sana mzee likoma next plz 🎉🎉❤❤
@amam2211-
@amam2211- 2 месяца назад
K p chukuwa sm yako lkn kuwa mankini uyo mma noma sna
@Michellarnkubitu
@Michellarnkubitu 2 месяца назад
Bonge moja la kazi i say...nawapenda bure vipenzi...ila sheyshey katuonea😂😂😂😂wadada wa kenya sio wezi😂😂😂😂😂
@reginaIssa-m2j
@reginaIssa-m2j 2 месяца назад
😂😂😂shey shey we ni noma ila ko na zebu mmenishida tabia❤❤❤
@OnesmasMunala
@OnesmasMunala 2 месяца назад
Nawapata loud and clear kutoka Kenya,,likoma kupata mkenya umeyakanyaga,ametoka penye Kuna vita kali😅😅😅😅
@MELVINBBY
@MELVINBBY 2 месяца назад
😂😂😂😂shey shey umepiga aje hpo akili ni ya 🇰🇪 kweli
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 месяца назад
nomaa
@pasikali1792
@pasikali1792 2 месяца назад
Walai😂
@RumbeZainab
@RumbeZainab 2 месяца назад
Lkn likoma❤😂 unafurahisha move zako shei shei nawe nakupenda
@FadhiliMbambisi
@FadhiliMbambisi 2 месяца назад
Sheiraa umependeza kil wakatiii
@HamimuRashidi-o3s
@HamimuRashidi-o3s Месяц назад
Kazi nzuri sana mnaifanya kp pamoja nawezio wote mungu amibariki mzidi kupafom Kila day
@malichanda3146
@malichanda3146 2 месяца назад
😂😂😂 Sheila et mkimaliza kula nawaweka cocomelon 😂😂😂
@NickMtitu
@NickMtitu 2 месяца назад
Mnazingua dakika chache ongezeni
@BrendaKenzie
@BrendaKenzie 2 месяца назад
Ni nzuri sana watoto wazuri kula mkimaliza mtawekewa cocomelon😂😂😂😂😂
@AlfredMusikoyo
@AlfredMusikoyo 2 месяца назад
Mazee ni Alfred kutoka kenya nasemaje daa mmeicheza nimeikubali msichelewe kutoa kwa muda
@gogoloveofficial5666
@gogoloveofficial5666 2 месяца назад
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
@JibranMursali
@JibranMursali 2 месяца назад
Hongera saaana jamanii 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 ongezen juhud
@Ased-qy7sh
@Ased-qy7sh 2 месяца назад
Mr likoma naomba like yako moja2 nifrahi namm😢
@AishaJabir-s6p
@AishaJabir-s6p 2 месяца назад
Ila.kweli
@ImranJusab
@ImranJusab 8 дней назад
𝘔𝘣𝘰𝘯𝘢 𝘩𝘢𝘮𝘪𝘯𝘢𝘦𝘱15
@ImranJusab
@ImranJusab 8 дней назад
Toayingine
@ImranJusab
@ImranJusab 8 дней назад
😮😮
@RoseLuchivya
@RoseLuchivya 2 месяца назад
Walai move tamu dakika kitoko haise ongeseni bc💓💓💓💓
@JackMgaya-qo3qn
@JackMgaya-qo3qn 2 месяца назад
Waooh muvi nzur San kama unaikubali Mr money gonga like hapa
@NitungaIsmail
@NitungaIsmail 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@NeemaSamson-cf7rb
@NeemaSamson-cf7rb 2 месяца назад
Sheishei utafika mbingun umechoka😊😊😊
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 месяца назад
😅😅😅😅
@Eldaheliya-zl5to
@Eldaheliya-zl5to 2 месяца назад
😂😂😂😂😂umeona eee anamuua mzee wa watu kwa kis 2
@pasikali1792
@pasikali1792 2 месяца назад
😂😂
@felly-u9v
@felly-u9v 2 месяца назад
Nilikuwa nimesubiri sana Mr money 🤑 3mzee likoma na dibozi manuva nawapenda sana kazi nzuri wakuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ZulfaCarimo-tm3pu
@ZulfaCarimo-tm3pu 2 месяца назад
Mimi ni wanza nipeni laiki zangu
@SamwelMollel-p1o
@SamwelMollel-p1o 2 месяца назад
❤❤❤❤
@richardelieza1001
@richardelieza1001 2 месяца назад
❤❤
@NipherKwamboka
@NipherKwamboka 2 месяца назад
Shey shei 😂😂😂 daaah kweli n Mukenya
@VBrownseven7
@VBrownseven7 2 месяца назад
A história de Mr MONEY é muito saborosa 🔥🔥🔥, gosto da está história
@PrinceAmos-y8t
@PrinceAmos-y8t 2 месяца назад
Movie nzuri sana master ❤❤❤😂😂🎉😢😮😅😊
@DivailethZakayo
@DivailethZakayo 2 месяца назад
😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 napenda Sanaa kazi zenu kp&zebuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@PurityMwongeli-p9f
@PurityMwongeli-p9f 2 месяца назад
Hii ndio tamu kuliko plan b I say. Iko furaha kabisa big up guys....
@WemaPanja
@WemaPanja 2 месяца назад
Ila likoma bn mim unanifurahisha sana nakupenda bure ety unapandisha bendera ya taifa
@YahayaSalum-e9x
@YahayaSalum-e9x Месяц назад
Jaman mr money imenikosha 😂😂😂 nawapenda sana timu nzima❤❤❤
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 2 месяца назад
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 месяца назад
kp na timu yake ni bora mnooo kwa hivi sasa , mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu ,you are so much creative
@JibranMursali
@JibranMursali 2 месяца назад
Shela na Mzee likoma hongera saaana jamanii 🎉🎉🎉❤
@azizahmohamed3495
@azizahmohamed3495 2 месяца назад
Aaaah subutuuuu kwa nnavyomjua Sheila apo amumfanyi kitu ngoja tuone 😂😂
@MuineMarry
@MuineMarry 16 дней назад
Hahahah Yan mzee likom ban unanichekesh San
@metrinenyakoe1764
@metrinenyakoe1764 2 месяца назад
Kazi nzuri sana mzee likoma unaweza 😊😊 🇰🇪
@EmilyMagego
@EmilyMagego 2 месяца назад
😂😂😂😂 sheila wetu wa kenya nakupenda bure yan wacheza kikenya kwel
@GadafiBakari
@GadafiBakari 2 месяца назад
Kp na likoma ndio habari mjini...... creative sana alafu venye wakiimba.wanaweka mziki Yani burudani kwa burudani
@SHARONKENYATTA-d3h
@SHARONKENYATTA-d3h 2 месяца назад
Eeeeih KP na zebuu wamalize kula Kisha watawekewa coco melon 😂😂😂😂😮😮😮😂😂,,,eeeih nawapenda team likoma na kp...much love from kenya
@dhahabukalama2635
@dhahabukalama2635 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂chunga likoma na mtoto wa kikenya atakuramba ushangaee 😂😂😂❤❤❤❤❤
@PaulDavid-h2i
@PaulDavid-h2i 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ jamn mko vinzur nawakubali sana
@HawaSwaleheh
@HawaSwaleheh 2 месяца назад
Nimejikuta nacheka mwenyewe kwa saut at roho inarukaruka kichura😅😅😅😅😅❤
@SafiAimerance
@SafiAimerance 2 месяца назад
Mganga sasa etifukuza nguguru😂😂😂na kp nazeebu wanamsaidiye kucheza😂😂
@ConfusedBubbles-pe6cf
@ConfusedBubbles-pe6cf 2 месяца назад
KP na zebuu nawapenda sanaaa ❤
@YacoboZakaria
@YacoboZakaria 6 дней назад
Napenda sana kazi wanazotoa kp na zebu
@OlivetaKapele-wb6bh
@OlivetaKapele-wb6bh 2 месяца назад
😂😂Likoma hayo yanaitwa mahabrati kisayansi kwa shey shey😂 huchomoki
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 2 месяца назад
Mzee likoma unawezaaaa❤
@RuthMwende-qv7jo
@RuthMwende-qv7jo 2 месяца назад
Wow KAZI nzuri hogera❤
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj 2 месяца назад
Nawapenda sana kp na zebuu from Mozambique ❤❤🎉
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 2 месяца назад
Ila Sheila nakupenda ❤❤❤❤
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 2 месяца назад
Likoma ukiwa katika muonekano wa uzee uko poa sana❤❤❤❤❤
@Eldaheliya-zl5to
@Eldaheliya-zl5to 2 месяца назад
😂😂😂 umeona eee kuliko uhalisia wake
@kwizeracedrick-p6u
@kwizeracedrick-p6u 2 месяца назад
Hongeleni san kp n zebu nawapend sn ❤
@mayaashassan3918
@mayaashassan3918 2 месяца назад
Mganga yuwaimba nyimbo zote za Diamond na Mbosso😂😂😂😂
@NkondoGaliyaya
@NkondoGaliyaya 2 месяца назад
Hongereni tunawapenda zebuu kp Add. Likoma 🔥 🔥 Fire
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 2 месяца назад
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@MarthaWilbard-o7m
@MarthaWilbard-o7m Месяц назад
Jaman nawapenda sana❤❤❤❤❤
@AdelinaKatabuhaga-f4h
@AdelinaKatabuhaga-f4h 2 месяца назад
Kazi nzuri sana nawapenda sana❤❤🎉
@MamanEstherEsther
@MamanEstherEsther 2 месяца назад
Poleni jamani kwa kazi nzuri
@Eldaheliya-zl5to
@Eldaheliya-zl5to 2 месяца назад
Ila mzee likoma 😂😂😂😂
@faudhiahassan7907
@faudhiahassan7907 2 месяца назад
Shei shei😂😂😂😂😂 jamani nimecheka kijinga wallah
@EmmanuelUshindi-n9m
@EmmanuelUshindi-n9m 2 месяца назад
Hello mister likoma nakupenda sana we ni munoma kbs niite Emmanuel kutoka DRC congo
@MorinoKalenga-p7z
@MorinoKalenga-p7z 2 месяца назад
Sijui itakuwaje shei shei akiwa mke wa likomaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@demiskemei1739
@demiskemei1739 2 месяца назад
Sheila mwanangu 💞💞
@EdwardTz.
@EdwardTz. 2 месяца назад
Sema kimeumanaaa!!!!
@MarimGodifrey
@MarimGodifrey 2 месяца назад
Hongeleni sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
@MwanaidMaganga
@MwanaidMaganga 2 месяца назад
Hahaha likoma mpenda mabusu
@isabellahchuma
@isabellahchuma 2 месяца назад
Cocomelon got me down on the floor sheila 😂😂😂😂😂😂,kwani kp na zebuu ni watoto wadogo aje?😂😂😂😂
@ZawadiMhono
@ZawadiMhono 2 месяца назад
Kp na zebuu nawakubali ety 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤❤
@XaviSimons-c9z
@XaviSimons-c9z 2 месяца назад
Au chumvi nyingii😂😂au wamefata uvinzaa
@AdelphinaHaule
@AdelphinaHaule 2 месяца назад
😂😂😂😂😂likoma shikamooo😂😂😂😂
@SusanRioba-h7v
@SusanRioba-h7v 2 месяца назад
Kimeumana😂😂😂😂anyway congratulations🎉🎉🎉
@GigwaMigeke
@GigwaMigeke 2 месяца назад
Sheishei nakukubali sanaaaa
@Leyla-n6x
@Leyla-n6x 2 месяца назад
Mume weza jmn🎉🎉🎉🎉❤❤
@alexluvanga2228
@alexluvanga2228 2 месяца назад
Like Kwa Sheila
@PrincessAtugonza
@PrincessAtugonza 2 месяца назад
Jamani tunawapenda nyote❤❤❤
@hodamzungu4107
@hodamzungu4107 2 месяца назад
sheila unatabasamu tamu sana
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 2 месяца назад
😂😂😂jamani hii 🤗 ☺ movie ni nikali sana nakupenda sheyshey 😅😅Waseca Vittoria having adabu nyie❤❤❤❤❤sana
@MelinaMerlins
@MelinaMerlins 2 месяца назад
Likoma hatar sana much love from kenya ❤❤❤
@aishaomar2287
@aishaomar2287 2 месяца назад
Ila likoma jaman busu linakuzimaaa😂😂😂 # dawa ya kufukuza kunguru alafu kp na zebuu wanavyoiga kunguru sasa 🙌 🙌 🙌 😊 hii team moto wake kuzimwa na watu wengi ni ngumuuuu🤝
@zainzain1163
@zainzain1163 2 месяца назад
Sheishei ameyatimba❤❤❤❤❤❤❤❤
@NishimweDeo-th6qw
@NishimweDeo-th6qw 2 месяца назад
😂😂😂😂❤❤❤❤nabapenda sana 🇧🇮🇧🇮
@AgtressSantos
@AgtressSantos 2 месяца назад
Jamn mpewe tuzo yenu maana mnajua❤❤❤
Далее
MR MONEY_EP04
27:37
Просмотров 307 тыс.
DUNIA (Ep 11)
23:09
Просмотров 80 тыс.
Kp na zebuu _ Pata potea
8:36
Просмотров 240 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /52/ #love
33:54
Просмотров 204 тыс.
JENIFFER ALINIKATAA NIWE MPENZI WAKE - PATRICK KANUMBA
3:13
MR MONEY_EP 01
20:21
Просмотров 457 тыс.
I LOVE MY TEACHER | 2 |
24:47
Просмотров 183 тыс.
SANDRA [1]#kiparabrand #clamvevo #mwakatobe
17:28
Просмотров 114 тыс.
MR MONEY_EP15
18:03
Просмотров 150 тыс.
HOUSE GIRL EP 40  | S3 | LOVE STORY 💞💕
21:41
Просмотров 68 тыс.