Nakushukuru sana. Nilifurahi kufanya mahojiano pamoja na Fredriki. Kiswahili changu ni haitoshi lakini nimejisikia furaha sana. Namshukuru na Nakushukuru wote.😆 #swahilitotheworld
Wow I love the lady.she just speaks fluent swahili and I am in love with it. She speaks perfect and with confidence. Pass my greetings to her.love madam Ushindi 👌👌💜💜💜👍👍👍
Sky you doing the best job nafikili unachokifanya ni kama tathimini ya ukuaji wakiswahili maana wote ulio ongeanao walio olewa huko lazima waumezao watakuwa wana tamanikujua lugha ya wakezao
Najivunia kuwa mtanzania, siku zote nimekuwa nikisema kuwa mgeni yeyote anaekaa tanzania hata miezi michache lazima ataondoka na lugha ni tofauti na nchi nyengine utakaa hata miaka minne lakini usiondoke na hata neno moja, hii ni kwa sababu ya ukaribu na upendo wa watanzania kwa wenyewe kwa wenyewe lkn pia kwa wageni. Kiswahili kukijua ni wepes sana, muhimu uwe tu na lengo la kujifunza. Sasa SNS tulitamani umuulize kiswahili anakijua kwa kuzungumza na kuandika au ni kuzungumza tu? Btw, tunakushkuru kututambulisha mtanzania mwenzetu mwenye asili ya kikorea 😂na kwa vile umetuwekea contacts zake tutamtafuta. Ubarikiwe
Apa angekua mtanzania alafu anajarib kuongea kiingereza kam huyu dada anavyoongea kiswahili basi angechekwa sana ila huyu kila mtyu anamsifia kwamb amejitahid basi tusiwe washamb kwa hili mtyu akikosea kiingereza usimcheke sababu sio lugha yake tubadilike wabongo
@@khalfanifarisy7398 Atakayechomwa huenda ikawa wewe ju hujui nafsi yake ilivyo na unamwita Freemason. Kama wewe ni mtakatifu sana, mbona hukumbuki kuwa hufai kujudge nafsi ya mtu. Unafaa uilinde yako. Kama hujawai mwona akiabudu shetani usiongee hivyo na kama ushawaimwona, wewe ulikuwa unafanya nini naye kama sio the same thing? Linda nafsi yako na uhusiano wako na Mungu wako, ya mwenzako achana nayo ju ukimsemea na iwe wongo adhabu yako ni kubwa sana