Asante sana Legend! Wewe ni mtu pekee Mtanzania uliyenipokea nakunipa nafasi ya kushare passion yangu na Watanzania. Sitakusahau. Shukrani kwa timu nzima ya @simulizinasauti kwa kazi nzuri mnayofanya. Love you guys! #oneafrica #swahilination
Nilifanya hivyo nilipokuwa Czechoslovakia 1987. Nimeingia kwenye lecture hall ya wanafunzi zaidi ya 300, mwalimu mmoja chini mbali ametoa lecture kiczechoslovakia nimetoka patupu na hiyo ni baada ya kusoma lugha mwaka mmoja, nilitoka pale nikaanza kulia kujiuliza kwa nini kaka kanileta huku???
Kaka Sky asante kwa video zako. Ombi: Ukiweka video mbili za interview moja tafadhali kwenye jina weka namba pia ili tujue kwa urahisi ipi ya kwanza ipi ya pili
@10:19 uko right not only in Korea but the whole of Asia wanapenda ufanye kila kitu kama wao .mataifa mengine usipo fanya hate inaingia sorry to say ths but ni racist sana
Nipo china 4 yrs unachosema bro kuhusu korea ni the same na ni nacho kiona china huku china bibi kizee wa Miaka 70 anaosha vyoo club na ana mtoto ni boss so naona utafoaut mkubwa xana kati ya africa na Asia
Mi niko Korea mpaka sasa ila ubaguzi sijauona kwa watu ninaojuana nao ni wakalimu na wanaupendo wa kutosha isipokua kwa mtu ambae hujuani nae hawezi kukushobokea kama Tz
Hapo kwenye pesa mika amewapiga..😅😅😅 nani akupe milioni 7 uki perfom vijidakika kidogo tu..hapo alipewa laki tatu..ambayo kwa tz shillings ni laki sita..ni hayo tu
@@minjesha najiuliza kwa nn adanganye na kubwa zaid haukuwepo wakat wanapewa..3000 unadhan ni hela kubwa kwa watu wenye hizo hela..jus be positive, hukuepo eneo la tukio
@@smavilifestyle2471 hahaha yani huku mitandaoni mnajiona mnajuaga kilakitu..sasa unavyoongea utasema wewe ni unajua kuliko mimi..navyoongea hivi najua maana naishi huku..yani hata huyo mikka nimekuja kabla yake..hakuna mtu anaweza kukupa milioni saba ukiperfom vijidakika tu..unless uwe star kama kina bts na wengine..mika hawezi kupewa hiyo hela piga ua garagaza..
Dunia yote ni kwetu,ni wewe huwezi kuifanya dunia iwe nyumbani. Wewe unajipangia lakini marekani, ulaya, China wanataka hata unapoishi ni nyumbani kwao. Just get out
@@narrissajackson3869 nani kasema hivyo mungu kila nchi kaweka mipaka kwenu ulipozaliwa ndio maana huwezi pata tabu za kibaguzi kwan ss si tunaish nje ila hatusahau makwetu na wala hatunashobo na mambo yao