Buy it from iTunes: geo.itunes.apple.com/in/album... Watch and share "Asanteni Kwa Kuja" song by Mrisho Mpoto. SUBSCRIBE Mziiki For Best African Music | bit.ly/1uNJIXi #LISTEN | #LOVE | #SHARE
Mrisho Mpoto-mara ya kwanza Mimi kuskia nyimbo zako ni takriban miaka kumi ilopita nikiwa matembezi maeneo ya Taita Taveta -Kenya ,nikiwa nimetokea maeneo ya Magharibi-Kakamega.tangu wakati huo nimebaki kuenzi kazi yako "Mjomba kila kukicha heri ya Jana..... "
Anaelewa maana ya huu wimbo anisaidie manake nausikiliza sielewi Mjimba anasema nini ila nahisi kama nikiusikia napata huzuni kutokana na hii ala ya wimbo
Nyimbo zake mpk sizonje ni mpangilio,hapa yupo safarini kwenda kwa mjomba,hapa ni baada ya kupata nauli,wazazi wanapima uwezo wake kama ametosha kusafiri peke ake,wanajua sasa amekuwa,anaweza kuufikisha ujumbe kwa mjomba,hata yeye anafurahi sana kuona siku ya safari imefika,ajabu lipo kwenye wimbo unaofuata,anakuta mjomba haambiliki,lkn angalau anawaza kuongea na Adela,anaamini Adela ataongea na mjomba,mjomba ambaye ni msiri wa Adela,bado hats Adela hakufikisha ujumbe,basi namna ikafa,ikabidi zichochewe kuni,labda mjomba aondolewe tu,ameshindwa kutusaidia wajomba zake,atoke tu,,lakini mwisho ni sizonje(sizo za nje)jmn ni baada ya mjomba kutupisha hata hivyo amefeli na alitakiwa Kuwaita kwenye WAITE awaite wenzie ambao alishirikiana kuharibu na kujinufaisha wakiita vijisenti walivyoiba,okay nimalizie huyu sizonje ni mgeni kwenye nyumba ya vyumba vinne,ni mtu ambaye wenye kuiendesha nyumba hawajamwelewa bado,lakini hata hivyo wanamshawishi wamjue ili sauti zilizo zoeleka zimrubuni,hata hivyo anaonywa sizonje asiingie kwenye chumba hicho,hiyo ni 2016.
@@shakurfaith haaaahaaa kwani sialisema akipata nauli sasa zilichangwa sasa ndo anasindikizwa safari yake hivo anawashukuru waliokuja kumsindikiza safari ya kwenda kwa mjomba wake
Naomba mpunguze mwendo, mzee Mpili siwezi kumlaumu Maana umri umepita Sasa, naomba msiende mbio mtamuacha wakati na yeye ana nia ya dhati kushuhudia safari yangu ...... 😂😂😂😂😂 2021 baada ya kuona Instagram post
Kichaa mwenye vituko Mapema afungwe kamba,akizidi sokomoko. Tena sio ya mgomba,ataleta tetemeko. Ovyo ovyo kutuchimba,na kutafuna mbeleko. Kichaa mwenye vituko,mapema at iwe kamba. Huku dua tukiomba atulie chokochoko. Tusimwache anatamba,vitapotea vicheko. Shairi atutaimba ,na kucheza mdundiko. Kichaa mwenye vituko,mapema at iwe kamba.
Kwa Mwenye kujua kitu tafsiri ya wimbo huu jamani. maana mashiri ya Mjomba yahitaji kichwa kikubwa katika Fasihi, na kama mjuavyo Fasihi haina maana moja.