😂😂😂😂😂 ALLAHU AKBAR najibamba tu na maandiko hustadhi Salim watukip bizi umetufanya tumekuw adikted na maandiko Yani mm nikikosa kusikiza Sina Raha nasema nimalize kazi haraka nije ni sikize maandiko ALLAH awalinde walimu wetu kwakila shari
kama kuzungumzia kuhusu kelele,uyo mzee awache kabsaa kuuliza swali ilo,ivi ninacomment hapa,leo ni friday ata watu wamestuka roho zao manake leo kuna ibada ya Wakristo usiku wa leo,ile mziki inapigwa usiku kucha ata wakisto wenyewe majirani zetu wanacomplain,ivi ninaongea kesi ipo kwa chief na waliopeleka kesi ni wakristo wenyewe,watu wanapiga mziki mpaka saa nane usiku
Ukiskia sina dini juwa yeye ni mkristo 😂😂😂 wanaunjanja hawa watu Alfu kama yesu alitumwa kwa wengine basi ya Israeli ni uwongo ama inafaa kesho umuulize uyo msabato juu yaonekana ya yesu ni uwongo