Тёмный

BIBLIA INAMAKOSA KIBAO 

UNIVERSITY FILMS
Подписаться 702
Просмотров 13 тыс.
50% 1

#sheikhmwaipopotv

Опубликовано:

 

23 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 66   
@bilalabdikun2228
@bilalabdikun2228 7 месяцев назад
Mwaipopo mungu akujalie umri mrefu enye ibadah
@issafaquedalaura8279
@issafaquedalaura8279 7 месяцев назад
Masha Allah 🥰
@user-fg1gg3ec2o
@user-fg1gg3ec2o 7 месяцев назад
Anaeongea mwenyewe sijui kalewa
@samxx411
@samxx411 11 месяцев назад
Mwaipopo wambie ukweli japo watachukia
@jumahamad3723
@jumahamad3723 8 месяцев назад
Mwaipopo mungu akujaalie baraka na elimu zaid inshallah
@meshackmatwinya9396
@meshackmatwinya9396 Месяц назад
sekhe wafundishe hawa wenzetu wamjue Mungu wa kweli ni nani
@marionoti5760
@marionoti5760 8 месяцев назад
Pole sana, kuruani ni kitabu kilichonukuliwa kutoka biblia, na imeanzishwa na mfanyabiashara kati ya uarabuni na Israeli Muhamedi mwaka 630 baada ya kristo.
@moshinyashebo7981
@moshinyashebo7981 7 месяцев назад
Uzima wa milele haupatikani kwa kuamini dini dini ni vikindi vya kutukusanya pamoja katika kujifunza kumtafuta mungu na uzima wa milele unapatikana ndani ya yesu kwa imani
@RashidKasanduku
@RashidKasanduku 7 месяцев назад
Yesu ni MUNGU 😂😂😂
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Месяц назад
Yesu ni mtume wa 24 kati ya mitume 25 wa mwenyezi Mungu.Acha Yale mengi aliyosema kuhusu baba yake mfano wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu pale alipoomba kucha nzima kama yeye ndio Mungu alikua anamuomba nani ? Hivi Mungu alitahiriwa jamani?!?! Haya ni maajabu eti Mungu kazaliwa halafu kauawa na aliowaumba hivi ni vichekesho. Mungu hakuzaa hakuzaliwa hana mshirika hafananishwi nachajatairiwa wala hana jinsia. Hiyo ni elimu ya juu juu na tosha kabisa. Yesu ni mtume tu alitumwa kuwakomboa wana Israel.
@aloycelucas1823
@aloycelucas1823 11 месяцев назад
Iko siku utaomba ubatizwe Tena lkn utakuwa umechelewa, YESU KRISTO ni yeye yule Jana leo na hata milele, na yeye ndie jibu, rejea kusoma Ufunuo wa Yohana utakuta kumbe na wewe umo kwenye utabiri ule!!
@bahatinyandula6425
@bahatinyandula6425 11 месяцев назад
Mungu akulaani mwamposa unapotosha watu wewe unatumiwa na shetani
@dorothswai
@dorothswai 11 месяцев назад
Usipomkubali Yesu Kristo Awe Bwana Na Mwokozi wako hautamwona Mungu.usijifariji.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 8 месяцев назад
Mungu yupi tna na mnasema Yesu ndie Mungu mwenyew
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 8 месяцев назад
Waislamu yesu tunamkubali ni mtume wa mungu lakn nyinyi mnasema ni mwana wa mungu apo ndio mnakufuru mungu hazai tumieni akili
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Месяц назад
Na wale walioishi kabla ya kuzaliwa Yesu?!?? Lakini hats Wayahudi alikotumwa Yesu kuwakomboa hawamwamini na walimuua msalabani. Huoni kama mawazo yako ni finyu.Amini tu kwamba mitume walikua jumla 25 Yesu alikua mtume wa 24. Hayo ya umungu ni ya kutunga na upotoshaji pia uchakachuaji uliotoka katika baadhi ya vitabu zaidi ya 66 vilivyotumika kuandika biblia. Yesu alifundisha Injili ambayo ni maneno ya Mungu baba yake. Yesu alifundisha neno LA Mungu hakufundisha yake
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Месяц назад
Unaona wanajichanganya wenyewe wasemapo bila kupitia kwa Yesu hutamuona Mungu au kupata uzima wa milele,. Wanakariri tu hawaelewi wala kujiuliza hata mambo ya wazi
@israelandemwakalundwa-iz1fc
@israelandemwakalundwa-iz1fc 27 дней назад
V Biblilia.haina.makosa.ila.mtu.ndiye.mwe nyemakosa
@simonmuhoja149
@simonmuhoja149 11 месяцев назад
Mnatumia uhuru vibaya kukosoa dini za watu msituvurugie nchi yetu kosoa dini yako
@barackamosi4116
@barackamosi4116 20 дней назад
Yani wasilamu wengi wameipigania dini hadi wamekuwa machizi hata wanacho kiongea hawaelewi
@simonmuhoja149
@simonmuhoja149 11 месяцев назад
Jikite kwenye kufundisha uislam achana na WA kristo
@danielkanso
@danielkanso 11 месяцев назад
Hiyo ni ushabiki tu kwa sababu yupo mbele ya watu lakini akitafakari mwenyewe atajua tu wapi amefanya makosa yeye
@officialomyclassic3424
@officialomyclassic3424 24 дня назад
Yakobo 1:26-27 [26]Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai. If any man among you seem to be religious, and bridleth not his tongue, but deceiveth his own heart, this man's religion is vain. [27]Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa. Pure religion and undefiled before God and the Father is this, To visit the fatherless and widows in their affliction, and to keep himself unspotted from the world.
@barackamosi4116
@barackamosi4116 20 дней назад
Huyu mwaipopo ni mjinga 2 mana halielewi kitu majini yamesha mwalibu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 6 месяцев назад
Kuna shida kubwa mahali fulani !! Kusahihisha usichokiamini..
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 5 месяцев назад
Bila Yesu mbinguni hakwendeki
@ramadhanathumani8661
@ramadhanathumani8661 7 часов назад
Yesu c mungu acha ufinyu wa fikira
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 6 часов назад
@@ramadhanathumani8661 Mohamed sio mtume wa kweli acha ufinyu
@jasminedamian6032
@jasminedamian6032 8 месяцев назад
Uklisto c dn
@user-fg1gg3ec2o
@user-fg1gg3ec2o 7 месяцев назад
Duhuuu waislamu sijui kwanini wanateseka na ukrsto wetu mbona sis hatuhangaiki na nyie
@Jameskuresoi6865
@Jameskuresoi6865 Месяц назад
Ukristo sio dini bro KRISTO NDIO DINI ukristo ni tabia ya wafuasi wa KRISTO
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 19 дней назад
Unao ushahidi kwenye bibilia kuwa ukristo ni tabia?
@hafidhramadhni934
@hafidhramadhni934 5 месяцев назад
jamani huyu hajawatukana wakristo ila ameufafanua ukristo sasa ushauri soma bibilia nawewe ujionee sio ufate dhana tu
@user-rs4zf8ik2q
@user-rs4zf8ik2q 11 месяцев назад
Mwanzo 21:14 umegusia sawa Nashaka Hapo kwenye"wakristo ni jina lililo itwa na kupangwa na wapagani" halipo na sijaliona zaidi ya neno lenyewe la Matendo 11:25, hili hilo neno limetoka wapi?
@AM-rr3jr
@AM-rr3jr 11 месяцев назад
Kula Kitimoto utajua uiamini ipi. Hayo ya Biblia ipi waachie wenye Biblia... Wao ndo wanazijua we si yalikushinda??
@AM-rr3jr
@AM-rr3jr 11 месяцев назад
Ukristo una amani ndiyo maana Mashehe wanahudfhuria kwa Wakristo, lakini huwezi ona Wachungaji wameingia Msikitini au Makusanyiko ya Kiislamu. Mashehe wanatisha muda wowote wanaweza jaa jazba.
@slimanshaz7311
@slimanshaz7311 9 месяцев назад
Inauma
@AM-rr3jr
@AM-rr3jr 11 месяцев назад
Hubiri uislamu dini yako. Ukristo waachie Wakristo...
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 8 месяцев назад
Wwe ni mdudu taa unakingwa usiingie motoni lakn unalazimisha..ssa yesu akija wauliza nnani aliwaambia ukristo ni dini jibu mtalitoa wapi
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 месяцев назад
Utamtenga mkristo kwa kipi?. Sisi atuna Shida na ninyi ninyi. Ninyi ndiyo mnaangaika na sisi. Angalieni maisha yetu minyi. Mwamposa amekua mwiba kwenu. Tuombe uzima mwakani WAKRISTO TUTAFANYA MENGI SANA TENA YA MAKUBWA. PENDENI AMANI NINYI. AMEN.
@user-bv9cx7xe5o
@user-bv9cx7xe5o 5 месяцев назад
Siohivyo utume kapewa nanani
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 месяцев назад
Kumbe ni ninyi walipinga KRISTO YESU MWOKOZI?. AMNAGA KAZI NINYI. TAFUTE KAZI YA KUFANYA. IMANI YETU ACHENI. ANGAIKENI NA YENU. AMEN.
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Месяц назад
Hivi wayahudi walioletewa Yesu awakomboe wanamkubali?
@shebatimathayo8471
@shebatimathayo8471 7 месяцев назад
Mwaipopo huna jipya nenda shika jembe kalime hiyo kurani mmenukuu vifungu kutoka biblia tena vifungu mnavyo taka ninyi.
@DesderiusHaule
@DesderiusHaule 12 часов назад
Wewe mwaipopo na elimu yako yote, hivi ni kitabu gani kilikuwa kwanza ya kingine kati ya biblia na quran?
@bumijamshana1045
@bumijamshana1045 Месяц назад
Nyie hajui lolotebukristo ndo dini yamungu mwaipopo hunalolote na uislamu ni dini ya kichawi mtume kasena mjifunze kwa waliowatangulia waulizeni waarabu na hakuna kitabu alipewa mhamadi dini ya uongo hiyo subirini Yesu awatokee na kuwashugulikia kama paulo uta
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 19 дней назад
Wew unajua kitu gani? Bibilia kuisoma mara moja kwa wiki tena andiko moja
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 11 месяцев назад
Wewe unaongea Mungu yupi na nani majina yake? Mungu ni cheo,hata muimba mziki wa matusi anasema amepewa kipaji na mungu. Wewe tuambie huyo mungu wako anaitwa nani? Hata wachawi wanamuomba mungu wao. Tuambie majina ya huyo mungu unayemtaja.
@bumijamshana1045
@bumijamshana1045 Месяц назад
Hunalolote wewe umefeli hakuns mhubiri hapo hakuns lolote huna jipya Yesu ni kiboko ya wabishi mtu kakakataa ukriso kenda uslam huna elimu wewe
@bahatinyandula6425
@bahatinyandula6425 11 месяцев назад
Ulisha amua kuwa kafiri hubiri ukafiriwako bwana
@dickngimba4333
@dickngimba4333 7 месяцев назад
acha ujinga huna jipya
@DesderiusHaule
@DesderiusHaule 11 часов назад
Hiyo quran inatambua uwepo wa dini ya ukristo wewe mwaipopo huutambui! Huu ni msiba
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 8 месяцев назад
Wakristo sisi waislamu tukikaa kimya bila kuwaambia kwamba ukristo sio dini ni vigumu sisi kupata uzima wa milele kwa sababu..tumewaacha mkapotea yesu hakuwa mkristo cristo ni jina lake sio dini tumieni akili
@user-fg1gg3ec2o
@user-fg1gg3ec2o 2 месяца назад
Mbona mnateseka watoto muhamadi na ukrsto wetu
@dorothysamwel2648
@dorothysamwel2648 11 месяцев назад
Kwenda huko fuata dini yako kama unaiona ndio sahihi. Achana na ukristo,/wakristo inakuuma nini? Kama dini yako itakufikisha peponi kwa imani yako endelea. Achana na Biblia achana na wakristo . Tusubiri fainali.
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Месяц назад
Fainali mtahukumiwa kwa kumdhalilisha Mungu kwa mambo ya ajabu eti Yesu ndio Mungu. Hivi Mungu alitahiriwa jamani? Looh Mungu alibebwa mimba kazaliwa halafu kauawa na aliowaba huu unafanana na utani na dharau.Mungu kazaliwa bandani? Mtahukumiwa kwa kutomuamini Yesu kwani Yeye kila kitu alikua akifanya na kusema wazi wazi kwamba kuna baba yake ndio kila kitu na si yeye na hats alipopatwa na matatizo alimkumbuka baba yake Mungu hata pale aliposema baba mbona unaniacha, wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba na aliomba kucha nzima kwa baba yake. Yote haya hamuamini mnamngangania tu Mungu Mungu. Yote hayo mtajibu. Mtajibu kwa nini wote hamtahiriwi kama yeye kwa nini hamvai mavazi kama yake hata alisali kwa kusujudu
@dickngimba4333
@dickngimba4333 7 месяцев назад
kwani ww dn yako ni ip
@dickngimba4333
@dickngimba4333 7 месяцев назад
Sasa hivyo unavyo ongea vimeandikwa wapi
Далее
Задержали в аэропорту
00:56
Просмотров 213 тыс.
WAISLAMU AMKENI MCHUNGAJI AMKUBALI MUNGU NA MTUME
25:39
100 PUTA DONESIMO SALAVAT NA RESULULLAHA ...
11:08
Просмотров 698 тыс.
Majina saba ya Mwenyezi Mungu yenye Miujiza.
10:47
Просмотров 17 тыс.