Duuh! Hatari sana hii yaani mchina anajua kiswahili kuliko hata mtanzania. Shida kweli kweli. Mchina anaita wimbo mtanzania anaita nyimbo akimaanisha wimbo. Tujifunze kiswahili vizuri watanzania.
Kwa hlo Sio kweli unajua ss wa Tanzania hatuendelei Kwa sababu tuna roho za Kwa nn na wivu Pia ukisma mchna mzungu mhnd ana roho mbaya Mbna hata wa tz wapo weng wenye roho mbaya Sana Mbna waschana kbao wako China wanadanga na kurud na magar na maisha mazur Mbona ni nch tunategemea kufata biashara Sio kweli kabsa
Ametumwa kujakufanya nn kwamfano labda huyu atakuwa jasusi wa mtu mmoja sio kwa tz yote kwanza anakipi zaidi cha mpaka muanze kumuhisi ni mpelelezi? Mm nimefanya nao kazi yakujenga ikulu zanzbar asilimia mia wachina wanapenda kujfunza kitu wasichokijua ila kuusu kuowa tz ninever atawatia mimba tu mademu akisha anaenda kuowa kwao nahataonekana tena tz
Huyu @juma sharobaro me mwenyew naamin katumwa mana ivy anavyongea unaweza ukamsoma nin anamaanisha ety anasura ya kitoto like it kma una surpot hili.....