Kwakweli mzee juma mungu akupe maisha malefu uzidi kutupa elimu kinacho niuma wazanzibar wanaonewa nanchi yao mfano mashekh walioletwa Tanganyika. Kwani wao so wanamahakama zao wanashikiliwa huku kalipi,,
Mzee JUMA wewe ni miongoni mwa binadami nnaowaheshimu sana hapa DUNIANI, ukiachia MITUME na MASAHABA, ALLAH akulipe kila jema. you are very straight mzee JUMA.
Huyu ni mwalimu wangu ni mtu safi sana. Kuna mambo mengi sana amenifunza na mpaka sasa ninayatumia katika maisha yangu. Babu Duni ni mchapa kazi na loyal person.
Maneno ya nini? Fanyeni hicho mtakacho muone..tamaa ya uongozi itawapoza NA UCHAGUZI HUU NI MSIMU WAKE WAMWISHO TUNAJUA MNAANZA KUTAYARISHA FUJO TUTAWZIBITI HII NI NCHI YA AMANI ...
Mission yenu ni kupata HAKI na inshaallah HAKI tutaipata WATANZANIA na WANZAZIBARI nawakubali Sana katika EAST AFRICA hakuna kama wa Zanzibar na kweli wamewaelewa Sasa bara wameingiwa na woga, Kwa kujua mtawaamsha waliolala
@@mohamedhamsini9106 Kama hukumuelewa Mwalimu sijui utamuelewa nani, hebu msikilize kwa mara ya pili kwa Makini wacha chuki mchukie yeye penda maneno yake
Karibuni wazee wa Amsha Amsha , Nauona umoja wa Kitaifa sasa..! Maalim seif ni Pande la Almasi walilolipaka tope kwa kitambo sana... Karibuni Bara tumalize uvumi wa kusema upinzani utaligawa taifa.
Nilikua sija kufuatilia, kwakweli unastahili kua mwalimu, Maneno yako ya busara na mpangilio umeeleweka na kila mtu, Tafadhali usirudi nyuma kwani wewe ni hazina kubwa kwa Wana mageuzi.
Mzee anaongea maneno ya hekma sana ila watanzania hasa wazanzibar jipangeni kuikomboa nchi mukiwaachia viongozi peke Yao miaka itakatika nchi haitapatikana
@@mohamedhamsini9106 Hivi ukisema mimi ndie nimeshinda uraisi ,taratibu ni kuufuta huo uchaguzi ?.acha ushambaa wewe acha ushabiki wa kijinga CCM ZANZIBAR 2015 walishindwa uchaguzi wa RAISI ,nani asiyejua ?.huyo aliye ufuta uchaguzi anajua kuwa CCM wameshindwa ndio alifanya vile .
Unajua yaan mpaka nataka kutoa machoz na huyu Duni pia hamumuelewi mimi najiuliza hiv mwenyez mungu kuna watu wengine kawaumba hapa Dunian waje wasumbue watu tu ama ngoja kesho ntulie nichambue Qur'an inasemaje kuhusu watu wanmna hii maana Juma Duni Hajj nimemuelewa vizur je na hawa wenzetu upande wa pili wamemuelewa?je kama hawajamuelewa watu hawa tuwaweke maala gan kwa iman yetu kama kuna Maalim ama yeyote mwenye mtazamo mpana anisaidie kwa hili maana mimi nimefika mwisho kimtazamo nahitaj msaada juu ya viumbe kwakeli .
Kwa umri wako mzee ni sahihi kusema hauogopi kufa ila usiwaunganishi wazanzibar wote kuwa hawaogopi kufa hiyo kauri ni hatari sana kwa taifa letu!!. Sisi tunataka amani maana amani ndiomsingi wa kila kitu, hizo njaa zenu wanasiasa hatuzitaki tutaleta mabadiliko kwa amani na sikwakumwaga damu.
Mzee unavyojisemea UNAWEZA? au waropokwa tu? Unaweza kupigana na serikali? Au ndio mtaji wafuasi kisha nyie mnakimbilia ulaya? Juma na Seif MIMI TU NAWACHAPA...tena na Kabwe wenu ITAKUWA DOLA? TULIENI ACHENI CHOKOCHOKO ZA KUICHOKONOA SERIKALI MTAJUTA
Tanzania shida bado ubinafsi ni mkubwa ndiyo maana mambo yamekuwa ubabe lakini rais ni msikivu lakini wapinzani wamekuwa watoa matusi sana ndiyo wakiwa wanachuki Na yeye lazima azibe masikio lakini kama ni kukaa pamoja kutatua migogoro bila siasa?? Kwani lazima uwe kiongozi ndiyo utatue matatizo??
Babu Duni wewe ni sururu wala si jembe,nakukubali sana na unachosema ni kweli wazanzibari hawaogopi kufa kwani walishakufa na wanaotuchelewesha ni Watanganyika!
ZILONGWA MBALI ZITENDWA MBALI...WAONGO NYIE MLISHINDA LINI? ...HIYO MBINU YA MADEVU MBONA YAKITOTO SANA....KUSHANGILIA WAKATI HAUJAFUNGA NDIO LIWE GOLI? HA HA HAAA HAYA Ingieni barabarani muone