@Medias. Kwanini Lunya mnamuita sana kufanyanae Intavyu lakini Killer hapewi? Japo mnampa sana Lunya, lkn haumfanyii Killer awe chini na hii n kwasababu Killer anakubalika sana na Jamii kuliko Lunya Endeleeni kumnyima Killer, ila mitaani tunajua kuwa Killer n mkali zaidi 🔥🔥🔥
@@ZeraGeofrey Killer alishashuka mda Sana Wala hakuna mtu atapoteza muda kuanza kumfikiria killer Saivi kwa kipi sasa, ngoma anazotoa haziendi mjini tulishamsahau, amshukuru Lunya maana Bila kum diss Lunya tusingemkumbuka kabisa. Staili anayoitumia imeshapitwa na wakati watu hawataki kusikia mtu anaongea kwenye wimbo wanataka mistari inaendana na flows kali. Msodoki alikuja akahit wakati wake upishapita mda Sana Lunya amekiteka soko toka 2019 mbaka Leo na wakina Conboi vile vile, mfano killer kwa Sasa huwezi mfananosha hata na Conboi, Conboi anatoa ngoma mbaka Fat Joe kutoka marekani kaikubali kwasababu anarap kwa staili inayovutia mtu hata kama haelewi lugha anajua kabisa huyu jamaa ni mkali, msodoki yeye anaongea tu kwenye biti yani wanaomwelewa ni watu wa mikoani ndani ndani huko
@@sharifabahar9905 bro killer anakonection na marapa karibia wote wakubwa Africa wote anakutana nao Kila siku wengine ameshapiga nao ngoma tayari, vitu vingine inabidi ukubali tu msodoki tulishamsahau huku mjini labda huko mikoani ndani ndani ila soko la mjini alishapotea mda Sana tangu 2018 huko Sasa Hivi ashukuru Lunya amempa kiki Subiri kiki iishe hiyo anapotea Tena😆 staili anayoitumia imeshapitwa na wakati watu mjini siku hizi hawasikilizi hizo mambo
Nimechelewa sana kusikiza hii kitu, kama umemsikiza #Alikiba vizuri utaelewa kwamba alimskia Young Lunya alipokua Marekani tena kwa kuambiwa na mtu mwingine imagine unatoka Tz unakwenda kumjua au kumskiza Young Lunya Mtanzania mwenzio nchi nyingine tena mbali sana ina maanisha nini? Ila YoungKiller huwa anamsikiliza😂 shout it to my bro #YoungKillerMsodoki