hongera sana dada kwa kumshauri baba hii inatufundisha ukipata wazo jipya lifanyie kazi haijalishi anaye kwambia ni nani hata nchi za marekani na ulaya wanatengeneza nyumba za mbao
Nyumba za holiday za kizungu bana , zimejaa ulaya na marekani kibao . Labda huyo mtoto aliziona kwenye mitandao. Mimi mwenyewe Niko na yangu hapa ya uani ya kuwekea matakataka yangu .
😳🤔🤔🤔Mchwaaa je ? Nyoka , panya chini ya nyumba , je nyumba ikiibiwa usiku tukiwa tumelala??? Tutajilindaje Na majiko ya mkaa ??? Hii nyumba yahitaji somo sana kabla hujachukua nyumba.
Yani wa TZ tuna mawazo ya hovyo hovyo tu lakini sasa kweli kwa hapo kwenye kuweka matairi nyumba 😅😅😅😅 imagine unaamka asubuhi unakuta umehamishiwa mtoni 😅😅😅😅
Nauliza Utafunga tair kwenye nyumba ukitaka kuhamisha huo mnyumba kuitoa sehem moja kwenda sehem nyinhine Itakua unaipisha wp angani au Nahitaji Elim kwenye hilo 😮😮
@@MrA24G Si moto tu akizishika mchwa hizo mwezi tu hakuna nyumba kwetu kaingia mchwa milango yote kaiyangusha kwa ndugu yangu kaingia juu ya dali anakata mbao
😂😂😂😂😂😂hii nyumba ni unyama sana unajenga afu unapangishia wapangaji baada ya hapo wakienda kazini unaenda chap kuhamisha vitu unapata faida ya nyumba yako, kodi zao na mali zao😂😂😂
Mchwa,panya,dhoruba Kali na upepo vitaiezua, pia NI hatari kwa ajali ya Moto?NYUMBA NI MSINGI,NYUMBA ISIYO NA MSINGI HATUTAHIMILI MISUKOSUKO.Lkn kwa temporary habitat sio mbaya
Huku ulaya zinahamishika , zinabebwa na yale magari yanayobeba container . Hizo nyumba ni Kwa ajili ya holiday hapa Europe . Kwa america utazikuta nyingi Kwa makazi kwasababu ya hali ya hewa zao za vimbunga Kila wakati kwahiyo zinakuwa sio makazi ya kudumu.