Ni ukuaji wa sekta ya Teknolojia nchini Tanzania ambapo Ayo Tv na Millardayo.com inakukutanisha na kijana Michael Kebuh ambaye ametengeza mtandao wa kijamii kama njia ya mawasiliano akiupa jina la Twirro.
Yupo vizuri na Ayo yupo vizuri pia. Ila kuna modality ya kuuliza maswali ya awali msipo kuwa hewani na hivyo kutokana na hilo ukajua namna ya kuhoji ya baadae live, pasipo kuunda tandabui la mashaka kwa msikilizaji juu ya huyo anayehojiwa na bado maswali magumu na ya maana yakaulizwa. "Hard Talk" ni kipindi kilicho mahiri sana kwa sanaa hiyo. (Gavin Asler na Jeremy Paxman).
Mmedanganywa nyie hakuna cha kubuni wala milioni 7 kadanganya watu @ayotv huyo jamaa kawadanganya watanzania eti amebuni yeye ndo mwanzilishi Sio huyo tu kuna mwingine anamiliki mtanzania mtandao wake unaitwa www.jamiihuru.com tangu 2013 upo hewani yeye amengundua mwaka 2020 everything is the same. Nani aliyeanza sasa. Tuseme ukweli kanunua vipuli toka nje Kaunda pikipiki kwani tudanganye watu kutafuta kiki, ukitaka social media kama hiyo nitafute nitakuundia kwa laki 7 tu hakuna cha milioni 7 wala mbili tuwe wakweli tz tusitafute kiki kwa njia za kuongopa
Lakini katudanganya yeye sio aliyebuni huo mtandao yeye ameunga unga tu mbona www.jamiihuru.com Mimi nilianza kuitumia 2013 na IPO kama hiyo anayotudanganya hapa
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
Excellent innovation brother,hongera sana ni jambo jema ,ila ungetumia jina la asili la kitanzania ili kuuza utanzania.Unaonaje majina kama Kiliface,Kilisafari,Serengeti... n.k,ni wazo tu bro,lakini hongera sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
Daah jina laitwa Twirro mh ni kama linaingiliana na Twitter nadh ushindan utkuwa mdgo sana,pilii aaah kama angkuwa na uwez basi afungue kampuni ya mawasiliano ambyo ya mfumo wa kuuza bando tuu,
@@samtelah7578 yeah nimekupata jina linasaidia Sana maana mtu akiandika Twitter automatic na twillo inajisogeza kalibu hivyo inaweza ikasaidia kusambaa kwa haraka
Hongera Sana Sana kwa Mtanzania Kama wewe kwa KuCreate our own Version of Social network integrating AUDIO & VIDEO Calls especially in an OPEN SOURCE Environment which is Fundamentally Built in With Privacy and Security👏👏👏.....
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
Hongera sana kaka, vunja mipaka kaka. Unajua kinachosikitisha na kuniuma sana ni kwamba, tumepokea mindao yote kama Facebook, Instagram, WhatsApp na Twitter (bila kuuliza maswali yeyote). Leo hii Mtanzania kafanya kitu ambacho hamna mtanzania kafanya, baada ya kumfurahia. Mnamuhoji kama hajui anachofanya. Very disrespectful aise, Hii ilikuwa nafasi na kumfurahia na kumsaidia kumarket. Mimi ni developer kama Huyu mweshimiwa. Alichofanya na kuwaelezea ni advance sana (hamuwezi ata elewa). Usiwasikilize watanzania wanaopenda kusema kwamba wewe huwezi au hautaweza. Hawa watu wote hawajawahi jaribu kitu maishani. Big up sana kaka, nimetumia mtandao wako. Mtandao wako ni mzuri sana. Mueke Mungu mbele utafanikiwa kaka. Ukipata nafasi ya kusoma hii message, naomba tu collaborated pamoja Tufanye kazi 😄🙏🏿
Kweli Kabisa bro. Nilihisi the interview tuliyoiona hapa ilitakiwa amemuuliza maswali hayo awali na kupata majibu yake kama mwandishi wa habari ... kisha katika kumhoji live ... iwe bado interview iliyo genuine, lakini aweze kukuuzia uzuri wa kilicho buniwa na kijana Mtanzania na kunhighlight na kumpa fursa yabkuji marker ili tujue manufaa tarajiwa ya App, utofauti wake na namna ya kuhakikisha wengine wanafuata nyayo zake. Instead he looked like he did not believe that a Tanzanian was able to do such a thing. Kiukweli tupo qualified Tanzanian IT Security analysts na qualified individuals kwenye Web app na Android, iOS, development, lakini tumeishia kuajiriwa na mashirika yanayotengeneA Mamilioni. Huyu ameamua kujiongeza. Tumpongeze na kumshauri pamoja na kumuomba ushauri au hata ushirikiano. Hata kama tunaajiriwa, tufanye na kubuni vya kwetu. Watu wengi duniani wanatumia code kutoka kwenye code repos, ama frameworks za React, Angular ama Vue na Laradel na code libraries kibao Na ni hekima kutumia Cloud services kama Cloud Flare. Yote ni, ili kuepuka kurudia rudia KAZI ambazo zimesha buniwa na kuthibitika aokoni ... Hata muunda ndege hatengenezi nyaya za umeme anaagiza waya Japan, Matairi ya ndege Canada na hata engine za Rolls Royce kutoka Uingereza, Ila ndege inaitwa Boeing - ya Marekani. Kwa tafsiri ya mtaani "wanaungaunga" mpaka ndege inasimama. Ila unapoitamka Kwa Mtanzania kijana unawaaminisha wasikilizaji kuwa kijana amepelea kiuwezo. Point yako hapo kama mtangazaji Inakuwa si sahihi. Huenda hata sinkwa nia mbaya. Ila ni instinct tulio nayo. Ndiyo Maana hata Jamiii Forum aliichukua Muda mrefu kufanikiwa. Ila tusonge. Kizazi kipya hakichoki. Ngoja niweke hii comment on the main page pia. Bless.
@@yatatusimu2498 mkubwa Naomba nianze hivi, kuna msemo unasema “UNAWEZA KUMTOA MTU UTUMWANI, ILA HUWEZI KUTOA UTUMWA NDANI YA MTU. Nielezee waafrica wengi akilizao zimekuwa damage sana na colonialism/slavery to the point kwamba wanawapenda sana wazungu na kuchukia au kukandamiza ya kwao. Nakubaliana na wewe kabisa,umepatia sana kaka, Mimi najua waafrica wengi sana wanafanya IT njee na kuthaminiwa sana. Maswali yalioulizwa yalikuwa yakaribisha doubt utadhani mtu hawezi. Kama unavyosema kaka, kila kitu kina ecosystem. Hamna kampuni yeyote inayoproduce kila product Yao inhouse, outsourcing its so common. Watu pia haelewi kwamba opensource ndio imepelekea madeveloper wengi kujifunza na kuboresha development. In any development language, either Java, JS au Swift etc. Tupendane jamani kama watanzania na waafrica na tubalishe mawazo kama haya. Muafrica/Mtanzania ndio ataisaidia Africa, mzungu ataiba tu. Support vya kwetu. Peace na amani kaka. Kama uko IT tuongee kaka na kubadilisha mawazo. GitHub yangu: bruno9898
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
@@MilioneaTv hatuwezi jua umeandika codes gani huko ndani , lakini hata ya kwako itangaze...kwenye platform mbalimbali...ndio ushindani...kama kazi nzuri itaonekana tu.
@@citylinkproject9901 swala ni kwamba asidanganye watanzania wanyonge kuwa yeye ndo aliyebuni huo mtandao yeye ni mmiliki tu ni sawa na MTU anayeunda mabasi ya Youtong Kenya lakini vifaa vyote kuanzia tairi hadi usukani anatoa china. IPO ivyo ukitaka nikueleweshe zaidi trick aliyetumia Huyo jamaa nitafute nikupe social network kama hiyo hata kwa laki 5 tu
@@citylinkproject9901 Mimi najua hajaandika code hizo amezichukua sehemu na napajua wewe ndo hujui ameandika codes gani. Sina ubaya na kutangaza au yeye kumiliki huo mtandao but atangaze kwa kuongea ukweli kwenye media, mtangazaji amehoji maswali ya msingi sana wewe ndo uliyebuni watanzania wangependa kujua sasa jamaa bila kuona aibu au kufanya search akajua yeye ndo anamiliki hiyo wa kwanza Tz pia alijua watanzania ni laggards hawajui chochote kumbe hadi alipotoa codes na system nzima inavyofanya kazi tunajua. Nimewatengenezea wengi tu social media kama yake tena kabla yeye hajaiunda hiyo yake
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
Nasema Kwa Nia njema hili. Nilihisi the interview tuliyoiona hapa ilitakiwa mhojaji amemuuliza mbunifu huyu maswali hayo awali na kupata majibu yake kama mwandishi wa habari ... kisha katika kumhoji live ... iwe bado interview iliyo genuine, lakini aweze kukuuzia uzuri wa kilicho buniwa na kijana Mtanzania na ku-highlight pengine utofauti wa features za application yake na kumpa fursa ya kuji nadi ili tujue manufaa tarajiwa ya App, utofauti wake na namna ya kuhakikisha wengine wanafuata nyayo zake. Instead he looked like he did not believe that a Tanzanian was able to do such a thing. Kiukweli tupo qualified Tanzanian IT Security analysts na qualified individuals kwenye Web app na Android, iOS, development, lakini tumeishia kuajiriwa na mashirika yanayotengeneA Mamilioni. Huyu ameamua kujiongeza. Tumpongeze na kumshauri pamoja na kumuomba ushauri au hata ushirikiano. Hata kama tunaajiriwa, tufanye na kubuni vya kwetu. Watu wengi duniani wanatumia code kutoka kwenye code repos, ama frameworks za React, Angular ama Vue na Laradel na code libraries kibao Na ni hekima kutumia Cloud services kama Cloud Flare. Yote ni, ili kuepuka kurudia rudia KAZI ambazo zimesha buniwa na kuthibitika aokoni ... Hata muunda ndege hatengenezi nyaya za umeme anaagiza waya Japan, Matairi ya ndege Canada na hata engine za Rolls Royce kutoka Uingereza, Ila ndege inaitwa Boeing - ya Marekani. Kwa tafsiri ya mtaani "wanaungaunga" mpaka ndege inasimama. Ila unapoitamka Kwa Mtanzania kijana unawaaminisha wasikilizaji kuwa kijana amepelea kiuwezo. Point yako hapo kama mtangazaji Inakuwa si sahihi. Huenda hata sinkwa nia mbaya. Ila ni instinct tulio nayo. Ndiyo Maana hata Jamiii Forum aliichukua Muda mrefu kufanikiwa. Ila tusonge. Kizazi kipya hakichoki.
Kama mtanzania ana uwoga wa kutoa maoni yake huko kwenye media za wazungu kwenye karne hii 2021, basi ningekushauri jina liwe ni "CCM OYEE" tu mpaka hapo chama chengine kitakapo ongoza nchi.
@@festokomba4694 tengeneza yako uweke Twiga. Kwanini watu kilasiku mnakosoa na nyie hamjawahi kutengeneza social media ya kwako. Msupport tu mtu na mpe heshima yetu, Na kama tunamawazo tutengeneze vya kwetu wenyewe. Hii sio tabia inayoleta maendeleo
@@eddydauson7525 mtu yeyote aliyahi jenga biashara anaelewa growth stage. Kila kitu kinamda wake, na mambo hubadilika jinsi biashara inavyokuwa. Ninachosema ni mfurahieni kwamba ni mtu wa kwanza kuvunja mipaka. Yeye bado inabidi asort mambo mengi ya biashara. Na ushauri unafaa kama mtu kakuomba ushauri. Sio kutoa tu bila mipaka. Heshima kitu cha bure tu
wenzio wana target kitu ambacho kitajitangaza chenyewe , yaani ukitaka kusach Twitter basi na Twirro inajitokeza so ni rahisi watu kujua ,ndio maana kuna SAMSUNG na SINGSUNG FACETIME na FACEBOOK APPLE na OPPO GUCCI na GUIC
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.
Tanzania ni nchi ya vipaji Aina nyingi ukilinganisha na nchi zengne za Africa mashabiki Tanzania inashika namba moja lazima tujipongeze na kwa sisi tuliombali na Tanzania acha tupige promo juu ya hili tujitangaze wenyewe watanzania
Pongezi. Nadhan angeuita KEBUH ingekaa powa zaid na kama tatizo ni kiingereza tafuta hata jina zuri la kiingereza. Ukislei twitter utanominet twirro kwaio hapo km mtanzania haitakaa sawa sn ila hongera sn
@@citylinkproject9901 shida ni kusema yeye ndo mwanzilishi from scratch wakati mwanzilishi na mmiliki wa codes hizo yupo tena sio mtanzania huoni ni uongo mchana kweupe. Pia kadanganya kuwa ameandika codes hizo na kidogo amechukua open source codes ni uongo 100% amezichukua codes hajaedit hata kitu mbaya mbaya zaidi hadi jina alitaka lifanane na popular twitter tunaita impersonalization, akaenda mbali zaidi ametumia milioni 7 daaa hata milioni haijafika hosting yenyewe mwaka mmoja toka aanzishe, Kuhusu Facebook IPO hiyo sio ishu hata kabla ya Facebook zilkuwepo community website Facebook alichofanya ni kudevelop codes zake tofauti na zilizokuwepo enzi hizo. Mfano tukizungumzia jamii Forums hatuwezi kusema macsense merro ndo mgunduzi wa ule mtandao akapewa hati miliki ya ugunduzi no, yeye ni mmiliki waliogundua ni ngozi nyeupe why? Kwasababu nikitaka forum kama Jamii forums muda huu naipata vile vile kama ilivyo Jamii forums nitabadili tu jina na kupata hati yangu ya umiliki lakini sio i made from scratch mbwbwe nyingi za uongo, ajifunze tu kuongea ukweli kwenye teknology tukileta uongo uongo kwenye teknolojia tutaharibu fani, nadhani umenielewa
@@MilioneaTv Mkuu nimekuelewa, sana ninachotaka kushare na wewe , unafikiri mchina kwa mfano sasa hivi ana mitandao yake ya kijamii , anajali kwamba nani aliandika code za mwanzo ? , Sisi hatujafikia level ya kuwa fore front kwenye technology , lakini pia , isituzuie kutumia technolojia zilizopo kwenda mbele...Angalia sasa hivi Elon musk anachofanya kwenye magari ya umeme ya Tesla , anatumia electric motors kwenye magari ya umeme , electric motor imekuwepo miaka mingi iliyopita , lakini kuifanya itumike kwenye Gari ilikuwa bado mpaka yeye alivyokuja kuonyesha HOW , Kwa hiyo mie nataka ni wa support nyie mnaoitafuta technology, kutoangalia kama ni ya nani mradi, inaweza kutumika kwenye, kitu kipya unachotaka kufanya BIG UP SANA
Safi, bado kuna kuna shida kwenye kulogin na password ukiweka huwezi kuona kama upo correct au la, hakuna optin ya ku-hide and unhide password pia haina option ya phone number inataka kuweka google account please check
Wabongo acheni kudanganywa kirahisi hivyo tazama hii www.jamiihuru.com tangu 2013 ipo hewani, kawadanganya asilimia 100. Yoyote anayetaka social network kama hiyo Mimi namtengenezea kwa sh laki 7 tu sio milioni saba wala sijui from scratch wabongo tuache uongo bwana.