Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews RU-vid : www.youtube.com... #ChomozaTv#GospelUpdates#2020
Ndoa takatifu...Baba askofu Zakary Kakobe umekua mwanga katika kanisa la leo lililojaa udunia na kufuatisha mambo yote ya dunia lakini wewe umekataa umekua wa kwanza kujitofautisha na mataifa tunategemea na watumishi wengine walio wa KWELI wafate nyayo zako katika hili pia.
@Trophaina Yesu mwenyewe alitoa mahari ya damu yake ili kutukomboa. Yaani aligharamika kifo, akafa msalabani Yesu ili sisi tuwe wake. Na Yesu ndio mfano kwa kanisa. Yaani Yesu ni Bwana harusi na sisi tuliokoka yaani kanisa ni mabibi harusi. Sasa mimi ni nani nisitoe mahari duuuh!
Mfano wa kuigwa kiroho kabisa......inabariki kweli hakuna udunia hapo FGBF CHURCH makanisa yapate fundisho hapo.....baba yangu kakobe kwake nilijifunza mengi mpaka Leo..
Usome biblia uilewe vzr..nani alikubia walikuwa hawtolewi mahari?? Yakobo alitumikia miaka mingapi kumata Leah?? Huo mfano wa kuuzwa kwa Yusufu una uhusiano gani na mahari??