Kwenye dini ya kislam hakuna 50 50 mwanamme kaamrishwa ndio provider kwenye ndowa sasa yy kasoma dini ipi hataki kukubali kama kafata kitu kwa mkewe ila ukweli upo wazi
Wasanii au watu wa mitandaoni mkitaka kuowa su kuolewa tafuteni watu walokuwa sahihi msitafute matapeli huyu jamaa anaonesha ni tapeli na ni mzuri kwa mazingumzo kuweni makini na ndoa au mahusiyano au mapenzi ya kweli halafu ni uchafu tu huyu katembea na huyu ambapo huyu mtu wake huyu naona mapenzi ya dhati hamna jirekebisheni
Jamani Huyu jamaa ni Boss wa Matapeli ona anavyoongea .Sasa angekuwa na pesa ni wewe ulisema Analipa nyumba ya milioni 5 tana kwa kuungaunga Sana which hukupenda Yaani hapa anasema hivyo ili mahakamani Diva akose ushahidi ukweli kaoa Binti na hapo anamchezea AKILI Dada wa watu ili azidi kuwehuka
Hakuna cha hamsini kwa hamsini ni watu wa dunia wamebadilisha kupingana na Mungu kama ni hamsini kwa hamsini na wanaume waende leba sasa na pia wanawake watungishe mimba wanaume
Hivi mnatoaga wapi nguvu za kuahukumu wenzenu? Hivi wew umemwingilia Mungu kazi yake? Ewe mwenyezi waangalie Hawa watu waliogeuka miungu mtu kuwanyoshea mkono wenzao huku macho Yao yakiwa na borit hawaoni mapungufu Yao lakini Cha ajabu wanaona ya wanzao..
Subhanallah we kaka weee yawezekana kua hujui hii ila nikuambie tu mwanamke anaolewa kwa mambo haya Mali yake, nasaba yake, uzuri wake na dini yake sasa huo ukafiri kautoa wapi? Muwe mnasoma dini